Huenda Tanzania ikawa inauza data kwa bei ndogo kuliko nchi zote Afrika

1725Tsh. = $0.75
 
Sasa kama mtu kima cha chini analipwa USD 15 kwa lisaa anashindwaje kulipia data ya 1GB kwa usd 12 ambayo anatumia siku nzima? Ukipiga 15x8=120 USD na hii ndio hela anaingiza mtu wa kima cha chini kwa masaa 8!

120USD ni equivalent ya almost TZS250,000 kwa siku kwa hela ya kibongo utashindwa kununua data ya 23,000 GB 1 kweli?
 
Huyu jamaa aliyeleta hii mada msameheni tu, hajui anachoongea. Yaani yeye analinganisha bei ya data kwa kuangalia nchi gani wanalipa hela nyingi in nominal value badala ya kulinganisha vipato vya wananchi wa hizo nchi. Haoni tofauti ya dola 2 ukiwa Marekani na ukiwa Tanzania, ni sawa na kulinganisha dola 2 ukiwa Marekani utanunua nini na dola 2 ukiwa Tanzania utanunua nini.
 
Je nguvu ya sarafu kimanunuzi inalingana? Mfano Marekani jana Biden kapandisha kiwango cha chini cha ujira kuwa $15 kwa saa piga mara masaa 40 kwa wiki uone mtu anaingiza $ ngapi afu uone kama mtanzania ana hicho kipato. So Mmarekani hata akinunua GB kwa $ 6 kwake bado ni cheap kulingana na kipato chake tofauti na mTZ
 
Israel is now offering the most affordable mobile internet in the world at $0.05, moving from second place last year, while India shockingly moved from first place last year to 28th this year at $0.68.

Israel is followed by Kyrgyzstan ($0.15), Fiji ($0.19), Italy ($0.27) and Sudan.

The UK is 78th in the world, with 1GB of mobile data costing an average of $1.42. The US is one of the most expensive economies for mobile data, coming in 154th in the world, with an average 1GB cost of $3.33.

Other developed economies with high data prices are Germany, Japan, Portugal, South Korea, Switzerland, Belgium, Canada and Norway which charge $3.38, $3.38, $3.85, $4.72, $5.24, $5.28, $5.72 and $5.81 respectively.
 
Eeh yani nchi za kuangalia na kulinganisha ni hawa hawa maskini wenzetu waliotuzunguka maybe Kenya,Uganda! Sababu GDP zao nazo ziko hoi!
 
soma hii
 

unajua nn! usinchoshe unauliza maswali ambayo ndo field nnayofanya, na nmekuuliza maswali machache sana ambayo ni very easy , sjaenda into more technical, usihangaike bure maaana amna unachojua.
 
Ndungulile at work

ndugulile amekuta data zikiwa chini toka mda, aliefanya kazi hii kubwa nii jakaya kikwete yeye ndo mwanzilishi wa fibre network inaitwa MKONGO WA TAIFA, au some people call it EGA, kama huu mkongo usingekuepo basi tungelipa data kutokana na infrastructure za makampuni binafsi
 

kwan tanzania na zimbabwe nani ana uchumi mkubwa kushinda mwenzake? na Je price per Gb kwao ni bei gan! tuanzie apo
 

kwan tanzania na zimbabwe nani ana uchumi mkubwa kushinda mwenzake? na Je price per Gb kwao ni bei gan! tuanzie apo
 

i have been to zimbabwe mara kibao sana and they dont sell cheap data at all:

in addition to hio hio kampuni ya JIO wanauza the cheapest phone dunia nzima, waliingia contract na kampuni moja nmeisahau jina wauza simu znaitwa Freedom 251, zna muonekano wa iphone na zna 4G ila znauzwa kwa $4 roughly (8.000Tsh)
 
Hapo kwa bundle sio halisi ndio wanatupiga kisawa sawa, gb 10 ya Tanzania unaweza kukuta kwa wenzetu ni mb 500,
 

Dogo unataka kujikuta unajua kumbe we ni pimbi tu. Kelel zote izo kuruka maswali nliokuuliza,yaani we ni hopeless na hujui kitu, Technically nshajua we ni pimbi basi geographically tuambie Gb moja zimbabwe inauzwa kwa kiasi gan alafu tanzania pia gb moja inauzwa kiasi gan!
 
Haya maswali ningependa pia na mm kujua majib yake
 
Hapo kwa bundle sio halisi ndio wanatupiga kisawa sawa, gb 10 ya Tanzania unaweza kukuta kwa wenzetu ni mb 500,
- ivi wewe unalalamikaje kwa kitu ambacho hauna uelewa nacho? unatoa wap hio courage?

weka bundle then download this app

- Bundle ikiisha rudi kwenye hio app then complain
 
Kwa mwaka wa pili mfululizo, Tanzania imetajwa kuwa ni Nchi ya kwanza Afrika Mashariki ambayo bei ya Bando zake za Internent ni nafuu kwa mujibu wa Takwimu zilizotolewa na Mtandao wa Utafiti wa Cable wa nchini Uingereza.

Kwenye ripoti hiyo yenye Takwimu za Dunia nzima ambazo zimekusanywa kuanzia December 08,2020 hadi February 25,2021 inaonesha kuwa Tanzania ina Bando rahisi ambayo ni USD 0.75 (Tsh. 1,742.81) kwa GB moja ikifuatiwa na Rwanda (USD 1.25), Uganda (USD 1.56) na Burundi (USD 2.10).

Kenya ilikuwa ya pili mwaka jana ambapo bando iligharimu USD 1.04 kwa kila GB lakini kwa mwaka huu gharama zimepanda na kufikia USD 2.25 .

Source #MillardAyoUPDATES
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…