Huenda Tanzania ndiyo nchi yenye aina nyingi ya watu katika Afrika

Huenda Tanzania ndiyo nchi yenye aina nyingi ya watu katika Afrika

Red Giant

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2012
Posts
15,657
Reaction score
20,967
Tanzania kuna wabantu ambao ndiyo wengi.

Kuna wa Nilotics, wamasai na wajaluo.

Kuna wa San kama wabushmen, hawa wasandawe na wahadzabe. Hawa ndiyo wenye nchi yao.

Kuna wakush kama wa Iraq (wambulu) nasikia na wanyaturu na wasambaa nao ni wakush.

Nchi zingine kama Malawi, DRC, au Zambia ni watu wa aina moja tu. Unakuta wabantu mtindo mmoja. Nchi nzima wanafanana.

Mchi gani ina watu wa aina nyingi kuliko Tz. Watu ambao wameishi mingi nyuma.
 
Ikiwa WASAMBAA umewaweka kwenye kundi la jamii ya KUSHITIC, inabidi urudie kuisoma vizuri nchi yako na jamii zinazotokana na makabila yake
 
Historia inasema nyayo na vinasaba vya mtu/watu wa kale kabisa zilipatikana Tanzania (ambapo awali ilikuwa Tanganyika).

Kwa mantiki hiyo hao uliowataja mababu zao walisambaa sehem mbali mbali za dunia kutafuta aina mpya ya maisha, na walipoona kwamba baadhi yao hawakufanikiwa wakaamua kurudi katika ardhi yao ya asili.
 
Ikiwa WASAMBAA umewaweka kwenye kundi la jamii ya KUSHITIC, inabidi urudie kuisoma vizuri nchi yako na jamii zinazotokana na makabila yake
Nasikia wasambaa na wanyaturu ni jamii moja. Walitengana kwa namna fulani. Hata wasambaa wengi ni weupe sana.
 
Nasikia wasambaa na wanyaturu ni jamii moja. Walitengana kwa namna fulani. Hata wasambaa wengi ni weupe sana.
Wasambaa wazigua na wabondei ni koo moja ambao tamaduni zao zinafanana na hata luga zao zinafanana tena wapo kwenye kundi za jamii za KIBANTU.
 
Tanzania kuna wabantu ambao ndiyo wengi.

Kuna wa Nilotics, wamasai na wajaluo.

Kuna wa San kama wabushmen, hawa wasandawe na wahadzabe. Hawa ndiyo wenye nchi yao.

Kuna wakush kama wa Iraq (wambulu) nasikia na wanyaturu na wasambaa nao ni wakush.

Nchi zingine kama Malawi, DRC, au Zambia ni watu wa aina moja tu. Unakuta wabantu mtindo mmoja. Nchi nzima wanafanana.

Mchi gani ina watu wa aina nyingi kuliko Tz. Watu ambao wameishi mingi nyuma.
Ume google vizuri? Etheopia,Nigeria Misri(Nchi ya kale zaidi Africa).
 
Jaluo ni lake nilotes pamoja la lang'o wa uganda kabila ya obote
Bantu people ndio watu wengi zaidi Africa na wame mix damu na kila watu kuanzia kush, San,Egyption,nilote nk.
Nilusoma mahala wamasai ni mchanganyiko wa bantu na kushite.
Usishangae kuona bantu featurs katika kila jamiu ya waafrika hata wahamiaji kama warabu, wahindi,wazungu (SA na Zimbabwe).
Usishau kuna watu wanaitwa moorish people huko moroco, amazargh people wa sudan wamekuwepi for thousnds of years, they had mixed with Arabs and adapted Arab culture and identfy themselves as Arab but historicalky they are purely Africans.
 
Wasambaa wazigua na wabondei ni koo moja ambao tamaduni zao zinafanana na hata luga zao zinafanana tena wapo kwenye kundi za jamii za KIBANTU.
Nchi hadi ina wahindi ambao nao ni watanzania, any way cha kufurahia wote tuna furaha.
Mkuu Mbeya kuna Baruch(Waburushi) walihamia kutoka Iran na kupewa eneo na chifu wa usangu.
Historia ya Tanzania na Africa n kama yaijaandijwa vizuri kuba mambo mingi yanamisi.
 
Wapare na wasambaa pia jamii moja
Sema wapare na Wasambaa jamii hizi mbili zinakaa pamoja, maeneo ya Lushoto huko milimani ila sio jamii moja.
Wabondei, washambaa na wazigua ni uzao mmoja wa Baba yao MGUU kwa ujumla wao wanaitwa BOSHAZI, jamii hizi tatu lugha zao zinafanana pamoja mila na dasturi zao
 
Ume google vizuri? Etheopia,Nigeria Misri(Nchi ya kale zaidi Africa).
Hawatufikii. Nigeria kusini kuna wabantu na wale juu kule wafulani nafikiri ni Nilotics. Ethiopia ni kam ina wabantu, wakushi, na wa nilo(sina hakika). Hayo matatu ni mataifa yenye watu wengi zidi Africa. Lakini hakuna diversity.
 
Wasambaa wazigua na wabondei ni koo moja ambao tamaduni zao zinafanana na hata luga zao zinafanana tena wapo kwenye kundi za jamii za KIBANTU.
Hata lugha ya wanyaturu ni kibantu lakini wao inasemekana siyo wabantu. Lughaa inaweza badilika baada ya miaka mingi.
 
Back
Top Bottom