goroko77
JF-Expert Member
- Jul 9, 2019
- 8,845
- 13,072
Hata Jana leo Kuna mtu kanitonya kuwa wanyaturu na. Wasambaa Ni jamii moja tuNasikia wasambaa na wanyaturu ni jamii moja. Walitengana kwa namna fulani. Hata wasambaa wengi ni weupe sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata Jana leo Kuna mtu kanitonya kuwa wanyaturu na. Wasambaa Ni jamii moja tuNasikia wasambaa na wanyaturu ni jamii moja. Walitengana kwa namna fulani. Hata wasambaa wengi ni weupe sana.
Jamii ya wasambaa, kabila la WAMBUGU ndio watu kutoka ethiopia huko. Ni weupe na wazuri mnoo.Ikiwa WASAMBAA umewaweka kwenye kundi la jamii ya KUSHITIC, inabidi urudie kuisoma vizuri nchi yako na jamii zinazotokana na makabila yake
May be kweliTanzania kuna wabantu ambao ndiyo wengi.
Kuna wa Nilotics, wamasai na wajaluo.
Kuna wa San kama wabushmen, hawa wasandawe na wahadzabe. Hawa ndiyo wenye nchi yao.
Kuna wakush kama wa Iraq (wambulu) nasikia na wanyaturu na wasambaa nao ni wakush.
Nchi zingine kama Malawi, DRC, au Zambia ni watu wa aina moja tu. Unakuta wabantu mtindo mmoja. Nchi nzima wanafanana.
Mchi gani ina watu wa aina nyingi kuliko Tz. Watu ambao wameishi mingi nyuma.
Wewe unailimika kwa kutonywa au unatafiti na kuelimika?Hata Jana leo Kuna mtu kanitonya kuwa wanyaturu na. Wasambaa Ni jamii moja tu
Vipi kuhusu misriHawatufikii. Nigeria kusini kuna wabantu na wale juu kule wafulani nafikiri ni Nilotics. Ethiopia ni kam ina wabantu, wakushi, na wa nilo(sina hakika). Hayo matatu ni mataifa yenye watu wengi zidi Africa. Lakini hakuna diversity.
Wanyatiru kwa kuwaangalia tu wana damu ya kibantu asilimia fulani.Hata lugha ya wanyaturu ni kibantu lakini wao inasemekana siyo wabantu. Lughaa inaweza badilika baada ya miaka mingi.
Kuna wachina kariakoo😅😅😅 na waburushi Tabora kule mbokaTanzania kuna wabantu ambao ndiyo wengi.
Kuna wa Nilotics, wamasai na wajaluo.
Kuna wa San kama wabushmen, hawa wasandawe na wahadzabe. Hawa ndiyo wenye nchi yao.
Kuna wakush kama wa Iraq (wambulu) nasikia na wanyaturu na wasambaa nao ni wakush.
Nchi zingine kama Malawi, DRC, au Zambia ni watu wa aina moja tu. Unakuta wabantu mtindo mmoja. Nchi nzima wanafanana.
Mchi gani ina watu wa aina nyingi kuliko Tz. Watu ambao wameishi mingi nyuma.
Nasikia wagogo walitoka afrika ya kati huko.Historia inaonesha kuwa wanyaturu/wanyiramba walihamia Bongo kutokea Ethiopia.
Wagogo hapa Do kwao kitambooNasikia wagogo walitoka afrika ya kati huko.