Huenda Tanzania ndiyo nchi yenye aina nyingi ya watu katika Afrika

Huenda Tanzania ndiyo nchi yenye aina nyingi ya watu katika Afrika

hivi inawezekanaje waggosi wasiwe wabantu lakini wapare ni wabantu
 
Ikiwa WASAMBAA umewaweka kwenye kundi la jamii ya KUSHITIC, inabidi urudie kuisoma vizuri nchi yako na jamii zinazotokana na makabila yake
Jamii ya wasambaa, kabila la WAMBUGU ndio watu kutoka ethiopia huko. Ni weupe na wazuri mnoo.
Nywele zao ni maboya maboya kama warabu.
(hiyo jamii ndio aliowalenga mleta mada).
 
Tanzania kuna wabantu ambao ndiyo wengi.

Kuna wa Nilotics, wamasai na wajaluo.

Kuna wa San kama wabushmen, hawa wasandawe na wahadzabe. Hawa ndiyo wenye nchi yao.

Kuna wakush kama wa Iraq (wambulu) nasikia na wanyaturu na wasambaa nao ni wakush.

Nchi zingine kama Malawi, DRC, au Zambia ni watu wa aina moja tu. Unakuta wabantu mtindo mmoja. Nchi nzima wanafanana.

Mchi gani ina watu wa aina nyingi kuliko Tz. Watu ambao wameishi mingi nyuma.
May be kweli
 
Hawatufikii. Nigeria kusini kuna wabantu na wale juu kule wafulani nafikiri ni Nilotics. Ethiopia ni kam ina wabantu, wakushi, na wa nilo(sina hakika). Hayo matatu ni mataifa yenye watu wengi zidi Africa. Lakini hakuna diversity.
Vipi kuhusu misri
 
Hata lugha ya wanyaturu ni kibantu lakini wao inasemekana siyo wabantu. Lughaa inaweza badilika baada ya miaka mingi.
Wanyatiru kwa kuwaangalia tu wana damu ya kibantu asilimia fulani.
Waafrika wote babu yao ni mmoja.
 
Tanzania kuna wabantu ambao ndiyo wengi.

Kuna wa Nilotics, wamasai na wajaluo.

Kuna wa San kama wabushmen, hawa wasandawe na wahadzabe. Hawa ndiyo wenye nchi yao.

Kuna wakush kama wa Iraq (wambulu) nasikia na wanyaturu na wasambaa nao ni wakush.

Nchi zingine kama Malawi, DRC, au Zambia ni watu wa aina moja tu. Unakuta wabantu mtindo mmoja. Nchi nzima wanafanana.

Mchi gani ina watu wa aina nyingi kuliko Tz. Watu ambao wameishi mingi nyuma.
Kuna wachina kariakoo😅😅😅 na waburushi Tabora kule mboka
 
Back
Top Bottom