Tetesi: Huenda uchaguzi wa CHADEMA wa taifa ukaahirishwa hadi baada ya uchaguzi mkuu october 2025

Tetesi: Huenda uchaguzi wa CHADEMA wa taifa ukaahirishwa hadi baada ya uchaguzi mkuu october 2025

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Inasemekana,
barua inayelezea kinagaubaga sababu mahususi za msingi za kuahirishwa kwa uchaguzi huo wa ndani Chadema, tayari imewasilishwa na kupokelewa kwenye taasisi mahususi, inayohusika na masuala ya vyama vya siasa nchini.

Haijafahamika bado ikiwa wajumbe wahusika wa uchaguzi huo wa nafasi za ngazi ya taifa wamejulishwa juu ya taarifa hiyo muhimu ama laa.

Ustahimilivu na subra ni muhimu sana katika mambo haya. Huenda taarifa rasmi ikatolewa kwenye kikao maalumu au kwa njia ya mtandao na press conference.

Kama mdau wa siasa za Tanzania,
Una maoni gani ikiwa uchaguzi huo wa ndani wa Chadema, utaahirishwa mpaka baada ya uchaguzi mkuu wa Oct 2025?🐒

Mungu Ibariki Tanzania.
 
Haahaa ikitokea hivo msajili atoe adhabu kubwa kwa chama, hatuwezi kuweka mbadala katika kuchagua viongozi.Je chadema watakubali tukihairisha uchaguzi mkuu Hadi 2030?
kwanini gentleman,
mbona hata uchaguzi huu umeahirishwa mara kadhaa kutokana na sababu mballimbali?

Ni jambo la kawaaida katika siasa za vyama nchi, chaguzi za ndani kuahirishwa. Msajili anaarifiwa tu sababu za kufanya hivyo kwa barua na mambo yanakwenda 🐒
 
Mbowe hajawahi kushindanishwa ndani ya Chama chake 😂
si kweli gentleman,
mara nyingi washindani wake hukimbia mapema kabla ya siku ya ushindani..

Wengineo kama huyu anaetaka kushindana nae tayari ameanza kuweka masharti, ya mara ooh watakubali matokeo ikiwa tu uchaguzi utakua huru na wa haki n.k

Hiyo ni kumaanisha pumzi ni fupi hiyo, ni exit gear strategy hiyo 🐒
 
Inasemekana,
barua inayelezea kinagaubaga sababu mahususi za msingi za kuahirishwa kwa uchaguzi huo wa ndani Chadema, tayari imewasilishwa na kupokelewa kwenye taasisi mahususi, inayohusika na masuala ya vyama vya siasa nchini.

Haijafahamika bado ikiwa wajumbe wahusika wa uchaguzi huo wa nafasi za ngazi ya taifa wamejulishwa juu ya taarifa hiyo muhimu ama laa.

Ustahimilivu na subra ni muhimu sana katika mambo haya. Huenda taarifa rasmi ikatolewa kwenye kikao maalumu au kwa njia ya mtandao na press conference.

Kama mdau wa siasa za Tanzania,
Una maoni gani ikiwa uchaguzi huo wa ndani wa Chadema, utaahirishwa mpaka baada ya uchaguzi mkuu wa Oct 2025?🐒

Mungu Ibariki Tanzania.
Ona Mwehu mropokaji huyu! Tafsiri ya ndoto yako ni kuwa CCM watatoa fomu zaidi ya moja kugombea uenyekiti wa Taifa!
 
Ona Mwehu mropokaji huyu! Tafsiri ya ndoto yako ni kuwa CCM watatoa fomu zaidi ya moja kugombea uenyekiti wa Taifa!
Gentleman,
punguza mihemko na ukurupukaji.
Jitahidi uwe na mawazo mapya na fikra mpya mbadala bora na muhimu zaidi ya hoja iliyoko mezani..

Mbona rahisi tu,
makasiriko ya nini aise na tetesi inajitosheleza?🐒
 
Inasemekana,
barua inayelezea kinagaubaga sababu mahususi za msingi za kuahirishwa kwa uchaguzi huo wa ndani Chadema, tayari imewasilishwa na kupokelewa kwenye taasisi mahususi, inayohusika na masuala ya vyama vya siasa nchini.

Haijafahamika bado ikiwa wajumbe wahusika wa uchaguzi huo wa nafasi za ngazi ya taifa wamejulishwa juu ya taarifa hiyo muhimu ama laa.

Ustahimilivu na subra ni muhimu sana katika mambo haya. Huenda taarifa rasmi ikatolewa kwenye kikao maalumu au kwa njia ya mtandao na press conference.

Kama mdau wa siasa za Tanzania,
Una maoni gani ikiwa uchaguzi huo wa ndani wa Chadema, utaahirishwa mpaka baada ya uchaguzi mkuu wa Oct 2025?🐒

Mungu Ibariki Tanzania.
Yaani wewe, kikipanda tu, maluweluwe unayoyaona ukiwa katika hali hiyo, unatuletea humu!!
 
Wewe hujamwelewa mleta mada mpaka leo!! Huyu ni wa hivyo hivyo, mpuuze tu.
acha upotoshaji,
unadhani nae ana mihemko na makasiriko kama yako..

jitahidi uwe na akili makini bongo kali kamanda, sio kila kitu ni kukurupuka na mihemko tu,

sawa?🐒
 
Inasemekana,
barua inayelezea kinagaubaga sababu mahususi za msingi za kuahirishwa kwa uchaguzi huo wa ndani Chadema, tayari imewasilishwa na kupokelewa kwenye taasisi mahususi, inayohusika na masuala ya vyama vya siasa nchini.

Haijafahamika bado ikiwa wajumbe wahusika wa uchaguzi huo wa nafasi za ngazi ya taifa wamejulishwa juu ya taarifa hiyo muhimu ama laa.

Ustahimilivu na subra ni muhimu sana katika mambo haya. Huenda taarifa rasmi ikatolewa kwenye kikao maalumu au kwa njia ya mtandao na press conference.

Kama mdau wa siasa za Tanzania,
Una maoni gani ikiwa uchaguzi huo wa ndani wa Chadema, utaahirishwa mpaka baada ya uchaguzi mkuu wa Oct 2025?🐒

Mungu Ibariki Tanzania.
Nadhani hii itakuwa bonge la move kwasababu kuu mbili zifuatazo.

Mosi Lissu ni aina ya binadamu ambao ujifikiria yeye kwanza.Hana muda wa kuwaza juu ya mustakabali wa chama ambacho yeye ni mwanachama na kiongozi.

Mheshimiwa Lissu nimemsikia mara kadhaa akikibagaza chama ungefikiri yeye si kiongozi kabisa.Kwake yeye kuleta vurugu, kuwanyonyonyeza viongozi wenzake ndio siasa anazozipenda.

Pili Mheshimiwa Mbowe mara kadhaa amekuwa akijaribu kuonyesha hana mgogoro na Mheshimiwa Lissu.Hali ni tofauti kabisa Mheshimiwa Lissu anapojitokeza katika hadhara yoyote.

Mwisho Mheshimiwa Lissu ni msomi lakini kanyimwa hekima,busara na subra.
 
Inasemekana,
barua inayelezea kinagaubaga sababu mahususi za msingi za kuahirishwa kwa uchaguzi huo wa ndani Chadema, tayari imewasilishwa na kupokelewa kwenye taasisi mahususi, inayohusika na masuala ya vyama vya siasa nchini.

Haijafahamika bado ikiwa wajumbe wahusika wa uchaguzi huo wa nafasi za ngazi ya taifa wamejulishwa juu ya taarifa hiyo muhimu ama laa.

Ustahimilivu na subra ni muhimu sana katika mambo haya. Huenda taarifa rasmi ikatolewa kwenye kikao maalumu au kwa njia ya mtandao na press conference.

Kama mdau wa siasa za Tanzania,
Una maoni gani ikiwa uchaguzi huo wa ndani wa Chadema, utaahirishwa mpaka baada ya uchaguzi mkuu wa Oct 2025?🐒

Mungu Ibariki Tanzania.
Acha ramli chonganishi,ila najua hilo linawezekama kwa maslahi ya wanakijani na mwandishi wake anaweza kuwa msajili.
 
Nadhani hii itakuwa bonge la move kwasababu kuu mbili zifuatazo.

Mosi Lissu ni aina ya binadamu ambao ujifikiria yeye kwanza.Hana muda wa kuwaza juu ya mustakabali wa chama ambacho yeye ni mwanachama na kiongozi.

Mheshimiwa Lissu nimemsikia mara kadhaa akikibagaza chama ungefikiri yeye si kiongozi kabisa.Kwake yeye kuleta vurugu, kuwanyonyonyeza viongozi wenzake ndio siasa anazozipenda.

Pili Mheshimiwa Mbowe mara kadhaa amekuwa akijaribu kuonyesha hana mgogoro na Mheshimiwa Lissu.Hali ni tofauti kabisa Mheshimiwa Lissu anapojitokeza katika hadhara yoyote.

Mwisho Mheshimiwa Lissu ni msomi lakini kanyimwa hekima,busara na subra.
Kawapambanie rangi mboga mboga acha ramli chonganishi
 
Inasemekana,
barua inayelezea kinagaubaga sababu mahususi za msingi za kuahirishwa kwa uchaguzi huo wa ndani Chadema, tayari imewasilishwa na kupokelewa kwenye taasisi mahususi, inayohusika na masuala ya vyama vya siasa nchini.

Haijafahamika bado ikiwa wajumbe wahusika wa uchaguzi huo wa nafasi za ngazi ya taifa wamejulishwa juu ya taarifa hiyo muhimu ama laa.

Ustahimilivu na subra ni muhimu sana katika mambo haya. Huenda taarifa rasmi ikatolewa kwenye kikao maalumu au kwa njia ya mtandao na press conference.

Kama mdau wa siasa za Tanzania,
Una maoni gani ikiwa uchaguzi huo wa ndani wa Chadema, utaahirishwa mpaka baada ya uchaguzi mkuu wa Oct 2025?🐒

Mungu Ibariki Tanzania.

Wakifanyq hivyo tu wajue mbowe atabaki na robo , na lisu atabaki na robo tatu.
 
Nadhani hii itakuwa bonge la move kwasababu kuu mbili zifuatazo.

Mosi Lissu ni aina ya binadamu ambao ujifikiria yeye kwanza.Hana muda wa kuwaza juu ya mustakabali wa chama ambacho yeye ni mwanachama na kiongozi.

Mheshimiwa Lissu nimemsikia mara kadhaa akikibagaza chama ungefikiri yeye si kiongozi kabisa.Kwake yeye kuleta vurugu, kuwanyonyonyeza viongozi wenzake ndio siasa anazozipenda.

Pili Mheshimiwa Mbowe mara kadhaa amekuwa akijaribu kuonyesha hana mgogoro na Mheshimiwa Lissu.Hali ni tofauti kabisa Mheshimiwa Lissu anapojitokeza katika hadhara yoyote.

Mwisho Mheshimiwa Lissu ni msomi lakini kanyimwa hekima,busara na subra.
maelezo ya maana sana mazito yenye mantiki kubwa sana, halafu ni short and clear dah 💪👊
 
Back
Top Bottom