Huenda ukastaajabu. Lakini huu ulikuwa upande wa pili wa maisha yangu ndani ya JamiiForums

Du! wana JF tutafika mbinguni tumechoka sana,kwahio unaanzisha mada,unabishana nayo kwa ID nyingine halafu mtu anakuunga mkono kumbe wewe unamchora tu

Halafu hii ya kujifanya mwanamke lengo inakuwa nini?
Attention seeking disorder.

Kuna mwingine yule jamaa wa matusi Gentamycine,pia Kuna mkulungwa/zee korofi.

Hawa watu wanasumbuliwa na;

1.Bipolar

2.Oestrogen homones (mwanaume aliyetimia hawezi kufanya huu upuuzi). Imagine mtu Kama Ushimen anauingia mkenge wa kutongoza I'd ya roselyn Kumbe Ni kijamaa kina makende.

3.Malezi mabovu..Mtu aliyelelewa vizuri na wazazi hawezi kuwatukana wenzie bila sababu za msingi Ili tu kuwasababishia ban Kama wafanyavyo hawa watu.

Utagundua watu wenye IDs nyingi ni watu wenye matusi Sana na hawana adabu Wala hekima kwa members wenzao.

Hawa watu wanatakiwa wachukuliwe hatua Kali sana maana mtu kuwa na IDs nyingi ana uwezekano mkubwa wa kuwatapeli watu humu ndani.
 
Du! wana JF tutafika mbinguni tumechoka sana,kwahio unaanzisha mada,unabishana nayo kwa ID nyingine halafu mtu anakuunga mkono kumbe wewe unamchora tu

Halafu hii ya kujifanya mwanamke lengo inakuwa nini?
Kulikuwa na shidano la member bora Jukwaa la Sports. Ndipo mtaalamu GENTAMYCINE akaibua ID zake zote mafichoni. Akajipigia kura kisha akashinda
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
 
Aiseee 😲
 
Sometimes niliunda uzi na kuanza kuchangia mwenyewe huku nikibishana na kujitukana kwa ID hii na kusuluhisha kwa ID nyingine, lengo ni kusogeza uzi na kuufanya uzi kupamba moto


[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…