Melki Wamatukio
JF-Expert Member
- May 3, 2022
- 6,156
- 10,974
- Thread starter
- #81
Ulipitwa na mengi sana mkuuDuh, mimi mbona sijawahi kusoma uzo wako hata mmoja?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulipitwa na mengi sana mkuuDuh, mimi mbona sijawahi kusoma uzo wako hata mmoja?
Kumbe na wewe unawaza kama mimi 😂😂😂Hili ni fundisho kubwa mno kwa wale tongoza tongoza😂😂.
Mara pap To yeye anakuja kukiri kuwa ni kidume kimoja kifupi na kakitambi kama Pierre Liquid😂😂😂😂😂😂😂😂😂 (jokes).
We kiumbe upo?Funga inzinasije ingia 😂
🤣🤣🤣Inaonyesha u kigeugeu wewe,you can't be trusted.Kwa hiyo unaniweka kwenye ignore list mkuu? Licha ya madini ninayoyamwaga Jamii Check?
Hapana mkuu, nimeamua kusarenda. Naahidi kubadilika. Nitabaki na ID mbili tu mkuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Inaonyesha u kigeugeu wewe,you can't be trusted.
Hatari sanaAsikwambie mtu. Ni balaaah
Nipo best 😂😂 mpaka avatar umechungulia 😂😂We kiumbe upo?
Naona umeamua ujiweke kwenye avatar kabisa
Aisee hayo ni matatizo ya akili niamini mimi.Ili watu wasikuchoke pale wanapoona ID yako inaongoza kwa nyuzi. Haina utofauti na kubadili mbususu
Nilikumiss best🤣Nipo best 😂😂 mpaka avatar umechungulia 😂😂
😂😂😂😂 etSisi tuna amini wewe ni Rose
Me more kipenzi🥰Nilikumiss best🤣
Ulikua unafanya kaz saa ngap?Ila kuna raha yake mkuu. Ukijaribu huwezi kuacha, utajikuta una list ya IDs mpaka ushangae
Haina utofauti na wale wala tigo, ukijaribu ndo umekwenda na maji
Ila mimi nimekiri kosa na siwezi kurudia huu utoto
Ulikua unapata hata muda wa kuoga na kula mbususu kweli?Nilitumia simu ya mke wangu, za kwangu mbili na PC. Kwa hiyi uzi ulikuwa unadispalay sehemu zote nne. Na hiyo ikawa ni sehemu ya refresh yangu ya kila siku
[emoji23][emoji23]Bahati, hapa izo biz angenisaidia kurusha makombora. Karan lutha angeungana na wewe kujibu mashambulizi. Wamatukio angekuja kusuluhisha
Kazi nilifanya kama kawaida. Ila free time niliitumia humu JF kwa 98%Ulikua unafanya kaz saa ngap?
Pole sana
Kwenye ulaji wa mbususu sikujisumbua sana, nilisukuma tako zangu mbili, wazungu haooo. Kisha nikarudi mitamboniUlikua unapata hata muda wa kuoga na kula mbususu kweli?
Inaonekana all free time yako inaishia JF.
You need help mkuu.
Hauko sawa
Serious ni shida ya akili. Hao wote nisingewaona sababu nimewalamba block.[emoji23][emoji23]Bahati, hapa izo biz angenisaidia kurusha makombora. Karan lutha angeungana na wewe kujibu mashambulizi. Wamatukio angekuja kusuluhisha
Eeeh 🤦🙌Na kweli mkuu. Najihisi huru sasa ingawa bado sijamaliza kuorodhesha ID zangu zote
[emoji16][emoji16][emoji16] Hivi huwa unapata muda wa kucheka na Mumeo kweli! Mbona uko siriazi kama kuruti wa kambi ya Manyaunyau?Serious ni shida ya akili. Hao wote nisingewaona sababu nimewalamba block.
Sent using Jamii Forums mobile app