Huenda wakati wowote Mahakama ya uhalifu wa kivita ikatoa kibali cha kukamatwa viongozi kadhaa wa M23 na Rwanda

Huenda wakati wowote Mahakama ya uhalifu wa kivita ikatoa kibali cha kukamatwa viongozi kadhaa wa M23 na Rwanda

Mateso chakubanga

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2021
Posts
587
Reaction score
800
Kufuatilia vikao vizito vinavyoendelea vyenye agenda ya kurudisha utulivu na amani DRC pia ushahidi na hesabu za idadi vta vifo vya raia, ubakaji, utesaji na mauaji kadhaa mamlaka za haki zinategemea kukaa na kumshauri mwendesha mashtaka mkuu wa ICC kuorodhesha ushahidi na wahusika katika vita hivyo, aidha viongozi wanaomulikwa ni kiongozi wa M23 Colonel Naanga, msemaji wa M23 Kanyuka, viongozi wa AFC na viongozi kadhaa wa Rwanda,Waziri wa mambo ya kigeni wa Rwanda, na kiongozi wa ADF
 
Kuingia kwenye kumi na nane za watu ndio huku.
 
Kampuni za ufaransa na uingereza zimetajwa kwenye sababu za kumpiga vikwazo kaberebe, dizaini trump hana mrija DRC
Sasa hawa Banyamulenge wakiambia wao Sio raia, Wana dai wanatengwa sasa iweje Kaberebe kuwa kwenye jeshi la Kongo na baadae jeshi la Rwanda
 
Waache unaa kama kweli wanafatata haki wawakamate kwanza Netanyau,Hayatollah na Putin kwa maelfu ya watu waliowauwa.
Hapo congo ni milions sio maelfu wamekufa. Hapo ndio genocide zimefanyika sasa kwa miaka mingi. Watu wamekuwa wakizungumzia genocide ya watutsi lakin ile ikotany ya kagame imeua sio chini ya wahutu milion 4 ndani ya Rwanda na nje yake hasa ndani ya Congo kwa kisingizio cha kuwauwa watu waliofanya mauaji ya kimbari
 
Back
Top Bottom