Huenda wakati wowote nikawa milionea

Kuna harufu ya utapeli mkuu.hao ni matapeli wa west africa ndo kazi zao.huwa wana mbinu tofauti tofauti sana.
 
Hahahhaah! Wacha niishie hapa..! Naomba tu ukumbuke kutoa sadaka upatapo hiyo mi pounds! Hahah! Asee! Amazing post ever!!
 
Huyo mama kapewa ushauri na mganga ili afanikiwe kesi yake aroge kwa kumtoa kafara mtu sasa usije kuwa ni wewe mbuzi wa sadaka
 
kikubwa tu ni maombi yako mkuu. Yani afanye kosa tukutane hachomoi. Mimi sinaga aibu ndio maana Niko Leo Denmark. Nilimpiga saundi mdada flan wa kidenish bongo 2007
Mkuu nimecheka sana huu Uzi wako,naimani imeandika utani ili kurefusha maisha ya watu,ila kama ni kweli all the best,ila usijebreak moyo wa mama milionea mara ya pili kama akiingia kingi
 
Mtu aliepata Zali la maana ni Prof jay tu la kumchukua binti watu
 
Mkuu Yani ni njooz ya ushindi. Yani nikipata hata pauni million moja naiweka kwenye fixed deposit account baada ya mwaka napata faida ya pauni zaid ya laki moja na nusu.
Usiombe Benji ikafilisika
 
vp alikupa mchezo ?
 
Mtu aliepata Zali la maana ni Prof jay tu la kumchukua binti watu
hahaha kwenye upepo unapovuma?? Zali za NGESEKI hizo hazina hata gerentii. Na Magu anavyotumbua mijipu sasa hivi
 
Wanaume wa diaspora hao
ebwana kamanda katika maisha lazima uwe na mikakati thabiti na malengo yaliotukuka. Kamwe bahat haiwez kukuangukia kama mana. Lazima uitafute na hata uondoe mshipa wa aibu. Hata walioshinda lottery hawakununua tiket za lottery tu mara moja wamenunua mara nyingi tu.
 
kweli wanaume wanapungua kwa kasi unadhihilisha kwamba ww n shogo sio
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…