Hujafa hujaumbika: Msanii Justin Bieber apatwa na ugonjwa wa facial paralysis


Huyo anaelekea kupooza
 
Huyo anaelekea kupooza
Hiyo mbaya sana ,labda kwa vile ana mkwanja mkubwa anaweza kupatiwa huduma za kiwango na haraka na Mungu kumsaidia apone vinginevyo hali itakuwa mbayazaidi maana sura haiwezi kutabasamu tena..
 
"Kila siku imekuwa bora zaidi na Ktk maumivu yote haya nimepata faraja Ktk yule aliyeniumba na anayenifahamu"

" Ninakumbushwa kuwa anajua mambo yangu mimi yote. Anajua mabaya yangu yote ambayo sitaki mtu yeyote ayajue na wakati wote ananikaribisha Ktk mikono yake ya upendo"

" Mtazamo huu umenipa amani wakati wa thoruba la kutisha ninalo likabili"Ameaandika Justin Bieber
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…