Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Diamond platnumz miguu inakondaaa na inazidi kuoondaMwingine ambae amepata side effects kama hizo ni nani mkuu?
Kwani kqongeza nini dogo alikua mtumiaji sana wa sembeWabongo kwa kuongezea story kiboko
[emoji23][emoji23][emoji23]Diamond platnumz miguu inakondaaa na inazidi kuoonda
Moja kwa Moja..
Msanii maarufu Justin Bieber ameshea video kwenye account yake ya instagram akieleza hali hiyo iliyompata inayosababishwa na virus aitwae 'Varicella zoster' ambao hushambulia nerves za sikio na uso.
Kutokana na ugonjwa huo Justin Bieber upande mmoja wa uso hawezi kutabasamu na macho yanashindwa kupepesa tena. Hali hiyo imesababisha shows zake zilizopangwa kufanyia siku za karibuni kufutwa vile vile amesisitiza kuwataka watu wamuombee kwa Mwenyezi Mungu arejee Ktk hali yake ya kawaida.
View attachment 2258852
Enzi za ujana na uzima
View attachment 2258855
Hali mpya
View attachment 2258856
Wewe endelea kubwia tu.Mwingine ambae amepata side effects kama hizo ni nani mkuu?
Bieber teja kitambo, sasa story gani au mpaka Moyo ungesimama ndiyo ungeamini,alishachafua damu kitambo tu.Wabongo kwa kuongezea story kiboko
Bieber aliacha unga miaka kama miwili iliyopita labda kama alirudia
Unataka kusema nini wewe Mburula uliambiwa mimi pusha,huyo dogo teja kitambo tu.Naona ndo mteja wako mkubwa, maana sio kwa mwandiko huo wenye uhakika wa 100% dah, waja mna mambo
Unga na Virus wapi na wapi?.Huyo Dogo anabwia sana Unga,hizi ndiyo side effects za kubwia hayo madude.
Endeleeni kubwia tu , na sindano changieni na mateja wenzenu kama ngoma itawaacha.Unga na Virus wapi na wapi?.
Justin wa kutumia mabomba ya ku share kweli?.Endeleeni kubwia tu , na sindano changieni na mateja wenzenu kama ngoma itawaacha.
Pole saña, mtu humjui, hujui maisha yake, ila matumizi ya ngada we ndo unayajuaUnataka kusema nini wewe Mburula uliambiwa mimi pusha,huyo dogo teja kitambo tu.
Wabongo mnapenda na kuamini sana hizo story.Uyu dogo tangu awatolee nje wazee wa kafara na kumrudia Jesus kama wazee wa vilinge wanamuundia zengwe na yaona ya wacko jacko hv any ways ni mtizamo tu no hard feelings.