Hujaoa/Hujaolewa alafu unatumia Tsh 10,000 au zaidi kwa siku kwa ajili ya chakula tu! Ni anasa hizo

Kawaida sana mfano leo nilikuwa kariakoo pale wanapouza zile Cd za kikorea kuna Cafe moja.Nimeingia nkaagiza ugari dona na kuku mkavu hipsi na mtindi nlivomaliza nkashushia na juice ya parachichi bili ikaja alfu 8 na nlikuwa sijakunywa chai so ni kawaida tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yani haupo siriaz kabisa mkuu.

Alfu nane nakunywa chai siku nne

Sent using Jamii Forums mobile app
Inategemea mkuu assume ofisi yangu ni hapa makumbusho utataka nikanywe supu kwa mtogole au mwananyamala....

Binafsi nitakua sija save kitu zaidi ya kuongeza gharama, so bora hiyo 8000 kuliko kwenda kunywa supu za elfu 2 huko ndanindani boss....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio mbaya mradi matumizi yasizidi kipato

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu vipi huwezi kuandaa menyu homu mfano muhogo wako wa kuchemsha na samaki wa nguvu pembeni unatia kwenye akiba yako fresh hyo vipi?

Kesho unabadili unachemsha suou ya kuku na chapati zako unabeba ikifika time unafungua tu unajisevia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha hizo wewe hio supu 2000 nakunywa sehemu posh kuliko makumbusho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…