Hujuma waliofanyiwa wachezaji wetu wa Yanga tunatakiwa tujifunze

Hujuma waliofanyiwa wachezaji wetu wa Yanga tunatakiwa tujifunze

mdalamishi

Senior Member
Joined
Apr 15, 2023
Posts
190
Reaction score
187
Habari zenu wakubwa, Kwanza nipende kuwashukuru wachezaji wetu wa Yanga kwa kuweza kuitangaza Tanzania kuwa tunaweza kupambana, pia nipende kutoa shukrani Kwa mashabiki, wadau wa mpira na pia mheshimiwa Rais wetu mpendwa kuwapa Ari ya kufanya vizuri.

Tumejionea hujuma zilizofanywa na wachezaji wa USM hivyo tujifunze na sisi Mbinu ambayo itakayoleta matokeo mazuri kwa kutumia Mbinu zifuatazo.
1. Ikitokea timu zetu zimefika hatua kama walioifikia yanga tunatakiwa tuwe kitu kimoja hakuna simba Wala Azam sote tuwe kitu kimoja.
2. Kuundwe kamati yahujuma.
3. kamati ishirikiane na TFF kusiwe kuna pande mbili zinazovutana.
4. TFF iruhusu kila shabiki Angie na paka kwenye kiroba,idadi ya paka isipungue 1000,timu ikishinda tuwe standby kuwafungulia paka hao waingie uwanjani ili kupoteza muda.

Asanteni.
 
Habari zenu wakubwa, Kwanza nipende kuwashukuru wachezaji wetu wa Yanga kwa kuweza kuitangaza Tanzania kuwa tunaweza kupambana, pia nipende kutoa shukrani Kwa mashabiki, wadau wa mpira na pia mheshimiwa Rais wetu mpendwa kuwapa Ari ya kufanya vizuri.

Tumejionea hujuma zilizofanywa na wachezaji wa USM hivyo tujifunze na sisi Mbinu ambayo itakayoleta matokeo mazuri kwa kutumia Mbinu zifuatazo.
1. Ikitokea timu zetu zimefika hatua kama walioifikia yanga tunatakiwa tuwe kitu kimoja hakuna simba Wala Azam sote tuwe kitu kimoja.
2. Kuundwe kamati yahujuma.
3. kamati ishirikiane na TFF kusiwe kuna pande mbili zinazovutana.
4. TFF iruhusu kila shabiki Angie na paka kwenye kiroba,idadi ya paka isipungue 1000,timu ikishinda tuwe standby kuwafungulia paka hao waingie uwanjani ili kupoteza muda.

Asanteni.
Heading ni nzuri ila humo ndani ni utumbo mtupu
 
Habari zenu wakubwa, Kwanza nipende kuwashukuru wachezaji wetu wa Yanga kwa kuweza kuitangaza Tanzania kuwa tunaweza kupambana, pia nipende kutoa shukrani Kwa mashabiki, wadau wa mpira na pia mheshimiwa Rais wetu mpendwa kuwapa Ari ya kufanya vizuri.

Tumejionea hujuma zilizofanywa na wachezaji wa USM hivyo tujifunze na sisi Mbinu ambayo itakayoleta matokeo mazuri kwa kutumia Mbinu zifuatazo.
1. Ikitokea timu zetu zimefika hatua kama walioifikia yanga tunatakiwa tuwe kitu kimoja hakuna simba Wala Azam sote tuwe kitu kimoja.
2. Kuundwe kamati yahujuma.
3. kamati ishirikiane na TFF kusiwe kuna pande mbili zinazovutana.
4. TFF iruhusu kila shabiki Angie na paka kwenye kiroba,idadi ya paka isipungue 1000,timu ikishinda tuwe standby kuwafungulia paka hao waingie uwanjani ili kupoteza muda.

Asanteni.
Hujuma Gani emu ziorodheshe
 
Msg kutoka kwa Yahya toure
 

Attachments

  • IMG-20230604-WA0062.jpg
    IMG-20230604-WA0062.jpg
    71 KB · Views: 1
Habari zenu wakubwa, Kwanza nipende kuwashukuru wachezaji wetu wa Yanga kwa kuweza kuitangaza Tanzania kuwa tunaweza kupambana, pia nipende kutoa shukrani Kwa mashabiki, wadau wa mpira na pia mheshimiwa Rais wetu mpendwa kuwapa Ari ya kufanya vizuri.

Tumejionea hujuma zilizofanywa na wachezaji wa USM hivyo tujifunze na sisi Mbinu ambayo itakayoleta matokeo mazuri kwa kutumia Mbinu zifuatazo.
1. Ikitokea timu zetu zimefika hatua kama walioifikia yanga tunatakiwa tuwe kitu kimoja hakuna simba Wala Azam sote tuwe kitu kimoja.
2. Kuundwe kamati yahujuma.
3. kamati ishirikiane na TFF kusiwe kuna pande mbili zinazovutana.
4. TFF iruhusu kila shabiki Angie na paka kwenye kiroba,idadi ya paka isipungue 1000,timu ikishinda tuwe standby kuwafungulia paka hao waingie uwanjani ili kupoteza muda.

Asanteni.
Acheni ushamba hamjui na hamna uzoefu na mashindano. Sasa huko ni kwa loosers ingekuwa Champions League ingekuaje. Nyamazeni jipangeni. Mko vizuriiii
 
Habari zenu wakubwa, Kwanza nipende kuwashukuru wachezaji wetu wa Yanga kwa kuweza kuitangaza Tanzania kuwa tunaweza kupambana, pia nipende kutoa shukrani Kwa mashabiki, wadau wa mpira na pia mheshimiwa Rais wetu mpendwa kuwapa Ari ya kufanya vizuri.

Tumejionea hujuma zilizofanywa na wachezaji wa USM hivyo tujifunze na sisi Mbinu ambayo itakayoleta matokeo mazuri kwa kutumia Mbinu zifuatazo.
1. Ikitokea timu zetu zimefika hatua kama walioifikia yanga tunatakiwa tuwe kitu kimoja hakuna simba Wala Azam sote tuwe kitu kimoja.
2. Kuundwe kamati yahujuma.
3. kamati ishirikiane na TFF kusiwe kuna pande mbili zinazovutana.
4. TFF iruhusu kila shabiki Angie na paka kwenye kiroba,idadi ya paka isipungue 1000,timu ikishinda tuwe standby kuwafungulia paka hao waingie uwanjani ili kupoteza muda.

Asanteni.
Wale jamaa kufika dk ya 70 upepo ulikata, wakaanza kurusha mafataki,mara warushe mipira mitatu mitatu,wajiangushe, ili mradi kututoa mchezoni maana dk hizo yanga kwa zile sub alifungulia busta.
 
Back
Top Bottom