Hujuma waliofanyiwa wachezaji wetu wa Yanga tunatakiwa tujifunze

Hujuma waliofanyiwa wachezaji wetu wa Yanga tunatakiwa tujifunze

Habari zenu wakubwa, Kwanza nipende kuwashukuru wachezaji wetu wa Yanga kwa kuweza kuitangaza Tanzania kuwa tunaweza kupambana, pia nipende kutoa shukrani Kwa mashabiki, wadau wa mpira na pia mheshimiwa Rais wetu mpendwa kuwapa Ari ya kufanya vizuri.

Tumejionea hujuma zilizofanywa na wachezaji wa USM hivyo tujifunze na sisi Mbinu ambayo itakayoleta matokeo mazuri kwa kutumia Mbinu zifuatazo.
1. Ikitokea timu zetu zimefika hatua kama walioifikia yanga tunatakiwa tuwe kitu kimoja hakuna simba Wala Azam sote tuwe kitu kimoja.
2. Kuundwe kamati yahujuma.
3. kamati ishirikiane na TFF kusiwe kuna pande mbili zinazovutana.
4. TFF iruhusu kila shabiki Angie na paka kwenye kiroba,idadi ya paka isipungue 1000,timu ikishinda tuwe standby kuwafungulia paka hao waingie uwanjani ili kupoteza muda.

Asanteni.

Mkuu hii mbinu ya paka ni noma [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ile ya moshi ndio nzuri, paka elfu moja wakiruhusiwa itakua ngumu kuwamudu na kuendelea na mpira tena
 
Habari zenu wakubwa, Kwanza nipende kuwashukuru wachezaji wetu wa Yanga kwa kuweza kuitangaza Tanzania kuwa tunaweza kupambana, pia nipende kutoa shukrani Kwa mashabiki, wadau wa mpira na pia mheshimiwa Rais wetu mpendwa kuwapa Ari ya kufanya vizuri.

Tumejionea hujuma zilizofanywa na wachezaji wa USM hivyo tujifunze na sisi Mbinu ambayo itakayoleta matokeo mazuri kwa kutumia Mbinu zifuatazo.
1. Ikitokea timu zetu zimefika hatua kama walioifikia yanga tunatakiwa tuwe kitu kimoja hakuna simba Wala Azam sote tuwe kitu kimoja.
2. Kuundwe kamati yahujuma.
3. kamati ishirikiane na TFF kusiwe kuna pande mbili zinazovutana.
4. TFF iruhusu kila shabiki Angie na paka kwenye kiroba,idadi ya paka isipungue 1000,timu ikishinda tuwe standby kuwafungulia paka hao waingie uwanjani ili kupoteza muda.

Asanteni.
Achana na mambo ya paka. Kama mko serious kwa vita hiyo, kusanyeni viatu mvirushe uwanjani, hiyo ni dharau kubwa kwa mwarabu. Ila najua nyie waswahili mnaongea tu maana hizi figisu zimekuwepo miaka yote.
 
Wale jamaa kufika dk ya 70 upepo ulikata, wakaanza kurusha mafataki,mara warushe mipira mitatu mitatu,wajiangushe, ili mradi kututoa mchezoni maana dk hizo yanga kwa zile sub alifungulia busta.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa busta gani nawee? Acha fix bhana, hata km waarabu wasingefanya hujuma bado msingepata bao jingine palee.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa busta gani nawee? Acha fix bhana, hata km waarabu wasingefanya hujuma bado msingepata bao jingine palee.
Mwakarobo na mwakani tena,tuna set standard nyie mtafuata.
 
Habari zenu wakubwa, Kwanza nipende kuwashukuru wachezaji wetu wa Yanga kwa kuweza kuitangaza Tanzania kuwa tunaweza kupambana, pia nipende kutoa shukrani Kwa mashabiki, wadau wa mpira na pia mheshimiwa Rais wetu mpendwa kuwapa Ari ya kufanya vizuri.

Tumejionea hujuma zilizofanywa na wachezaji wa USM hivyo tujifunze na sisi Mbinu ambayo itakayoleta matokeo mazuri kwa kutumia Mbinu zifuatazo.
1. Ikitokea timu zetu zimefika hatua kama walioifikia yanga tunatakiwa tuwe kitu kimoja hakuna simba Wala Azam sote tuwe kitu kimoja.
2. Kuundwe kamati yahujuma.
3. kamati ishirikiane na TFF kusiwe kuna pande mbili zinazovutana.
4. TFF iruhusu kila shabiki Angie na paka kwenye kiroba,idadi ya paka isipungue 1000,timu ikishinda tuwe standby kuwafungulia paka hao waingie uwanjani ili kupoteza muda.

Asanteni.

Yanga ni washindi, mengine hayana maana
 
Acheni ushamba hamjui na hamna uzoefu na mashindano. Sasa huko ni kwa loosers ingekuwa Champions League ingekuaje. Nyamazeni jipangeni. Mko vizuriiii
Kama umeangalia final ya Al ahly na wydad nafikiri umeona mpira ukichezwa uwanjan na sio upumbavu wa huko algeria.

Mbona Al ahly wamecheza Mpira bila huo upumbavu wa kurusha mipira 4 uwanjani kuchoma ,kutumia moshi mzito mpka mechi kusimama?

Ach ushabiki usio na maana
 
Kama umeangalia final ya Al ahly na wydad nafikiri umeona mpira ukichezwa uwanjan na sio upumbavu wa huko algeria.

Mbona Al ahly wamecheza Mpira bila huo upumbavu wa kurusha mipira 4 uwanjani kuchoma ,kutumia moshi mzito mpka mechi kusimama?

Ach ushabiki usio na maana
Nashkuru kwa kunisaidia kumjibu
 
Back
Top Bottom