mdalamishi
Senior Member
- Apr 15, 2023
- 190
- 187
- Thread starter
-
- #21
Walikua tayari pumzi ishakataWale jamaa kufika dk ya 70 upepo ulikata, wakaanza kurusha mafataki,mara warushe mipira mitatu mitatu,wajiangushe, ili mradi kututoa mchezoni maana dk hizo yanga kwa zile sub alifungulia busta.
Habari zenu wakubwa, Kwanza nipende kuwashukuru wachezaji wetu wa Yanga kwa kuweza kuitangaza Tanzania kuwa tunaweza kupambana, pia nipende kutoa shukrani Kwa mashabiki, wadau wa mpira na pia mheshimiwa Rais wetu mpendwa kuwapa Ari ya kufanya vizuri.
Tumejionea hujuma zilizofanywa na wachezaji wa USM hivyo tujifunze na sisi Mbinu ambayo itakayoleta matokeo mazuri kwa kutumia Mbinu zifuatazo.
1. Ikitokea timu zetu zimefika hatua kama walioifikia yanga tunatakiwa tuwe kitu kimoja hakuna simba Wala Azam sote tuwe kitu kimoja.
2. Kuundwe kamati yahujuma.
3. kamati ishirikiane na TFF kusiwe kuna pande mbili zinazovutana.
4. TFF iruhusu kila shabiki Angie na paka kwenye kiroba,idadi ya paka isipungue 1000,timu ikishinda tuwe standby kuwafungulia paka hao waingie uwanjani ili kupoteza muda.
Asanteni.
Ndio kitu kinachopatikana kiurahisi mitaani wapo wengi sanaMkuu hii mbinu ya paka ni noma [emoji23][emoji23][emoji23]
Haya mambo tukiwaambia Simba wamekutana nayo toka 1974 mnatoa mnasema hizo ni stori za zamani. Pambaneni na hali zenu.Msg kutoka kwa Yahya toure
Mlisema mko tayari kwenda kuwa watumwa katika mechi hiyo. Utumwa ndiyo huo sasa.
Achana na mambo ya paka. Kama mko serious kwa vita hiyo, kusanyeni viatu mvirushe uwanjani, hiyo ni dharau kubwa kwa mwarabu. Ila najua nyie waswahili mnaongea tu maana hizi figisu zimekuwepo miaka yote.Habari zenu wakubwa, Kwanza nipende kuwashukuru wachezaji wetu wa Yanga kwa kuweza kuitangaza Tanzania kuwa tunaweza kupambana, pia nipende kutoa shukrani Kwa mashabiki, wadau wa mpira na pia mheshimiwa Rais wetu mpendwa kuwapa Ari ya kufanya vizuri.
Tumejionea hujuma zilizofanywa na wachezaji wa USM hivyo tujifunze na sisi Mbinu ambayo itakayoleta matokeo mazuri kwa kutumia Mbinu zifuatazo.
1. Ikitokea timu zetu zimefika hatua kama walioifikia yanga tunatakiwa tuwe kitu kimoja hakuna simba Wala Azam sote tuwe kitu kimoja.
2. Kuundwe kamati yahujuma.
3. kamati ishirikiane na TFF kusiwe kuna pande mbili zinazovutana.
4. TFF iruhusu kila shabiki Angie na paka kwenye kiroba,idadi ya paka isipungue 1000,timu ikishinda tuwe standby kuwafungulia paka hao waingie uwanjani ili kupoteza muda.
Asanteni.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa busta gani nawee? Acha fix bhana, hata km waarabu wasingefanya hujuma bado msingepata bao jingine palee.Wale jamaa kufika dk ya 70 upepo ulikata, wakaanza kurusha mafataki,mara warushe mipira mitatu mitatu,wajiangushe, ili mradi kututoa mchezoni maana dk hizo yanga kwa zile sub alifungulia busta.
Mwakarobo na mwakani tena,tuna set standard nyie mtafuata.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa busta gani nawee? Acha fix bhana, hata km waarabu wasingefanya hujuma bado msingepata bao jingine palee.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sisi tumesha set mbna, wala hatuna shidaa na standards sie.Mwakarobo na mwakani tena,tuna set standard nyie mtafuata.
Robo ndio standard yenu.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sisi tumesha set mbna, wala hatuna shidaa na standards sie.
Acha kuota hii haipo kamwe.. Ikitokea timu zetu zimefika hatua kama walioifikia yanga tunatakiwa tuwe kitu kimoja hakuna simba Wala Azam sote tuwe kitu kimoja.
Itafutie chapati supu safi sana hiyo.Heading ni nzuri ila humo ndani ni utumbo mtupu
Habari zenu wakubwa, Kwanza nipende kuwashukuru wachezaji wetu wa Yanga kwa kuweza kuitangaza Tanzania kuwa tunaweza kupambana, pia nipende kutoa shukrani Kwa mashabiki, wadau wa mpira na pia mheshimiwa Rais wetu mpendwa kuwapa Ari ya kufanya vizuri.
Tumejionea hujuma zilizofanywa na wachezaji wa USM hivyo tujifunze na sisi Mbinu ambayo itakayoleta matokeo mazuri kwa kutumia Mbinu zifuatazo.
1. Ikitokea timu zetu zimefika hatua kama walioifikia yanga tunatakiwa tuwe kitu kimoja hakuna simba Wala Azam sote tuwe kitu kimoja.
2. Kuundwe kamati yahujuma.
3. kamati ishirikiane na TFF kusiwe kuna pande mbili zinazovutana.
4. TFF iruhusu kila shabiki Angie na paka kwenye kiroba,idadi ya paka isipungue 1000,timu ikishinda tuwe standby kuwafungulia paka hao waingie uwanjani ili kupoteza muda.
Asanteni.
Playoffs ndio standard yenu CAFCL.Robo ndio standard yenu.
Kama umeangalia final ya Al ahly na wydad nafikiri umeona mpira ukichezwa uwanjan na sio upumbavu wa huko algeria.Acheni ushamba hamjui na hamna uzoefu na mashindano. Sasa huko ni kwa loosers ingekuwa Champions League ingekuaje. Nyamazeni jipangeni. Mko vizuriiii
Mwakarobo.Playoffs ndio standard yenu CAFCL.
Nikweli nikipata muda nitaelezea kwann Tanzania haina wachezaji wengi wanaocheza nje ya nchi.Acha kuota hii haipo kamwe.
Nashkuru kwa kunisaidia kumjibuKama umeangalia final ya Al ahly na wydad nafikiri umeona mpira ukichezwa uwanjan na sio upumbavu wa huko algeria.
Mbona Al ahly wamecheza Mpira bila huo upumbavu wa kurusha mipira 4 uwanjani kuchoma ,kutumia moshi mzito mpka mechi kusimama?
Ach ushabiki usio na maana