Huko Arusha kuna ndoa imevunjika kisa mke kachora tattoo yenye jina la nabii GeorDavie

Huko Arusha kuna ndoa imevunjika kisa mke kachora tattoo yenye jina la nabii GeorDavie

mdukuzi

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2014
Posts
20,925
Reaction score
51,688
Ule msemo wa mwanamke mjinga huvunja ndoa yake mwenyewe unaendelea kujidhihirisha.

Mkoani Arusha kuna mama mmoja mrwmbo kajilipua kuchora jina lanabii GeorDavie begani.

Mama huyo mrembo kweli kweli baada ya kuchora tatoo hiyo, mumewe alimkomalia aifute ila akagomaa Baada ya kugoma mume aliamua kumtwanga talaka.

Nabii baada ya kusikia hayo alimualika kanisani na kuvutiwa na kitendo hicho cha kuchorwa jina lake begani kwa mshangazi huyo bila kusikitishwa na kitendo cha talaka.

Kuonyesha furaha yake alimzawadia milioni sita kama shukrani kwa alichokiita mahaba yaliyopitiliza.

Wajinga wangalipo,take care
 
Kuna single mother nimempenda ila kachora tatuu shingoni na kwenye titi lake, namuona ni muhuni tu na kahaba fulani. Sasa huyo mwanandoa kuchora jina la nabii huyo nao ni uhuni tu
 
Hii habari mbona ni ya muda sana na ilitrend sana huyo dada akihojiwa kanisani na huyo Pasta na hiyo tatoo ilikuwa begani kwa nyuma kuelekea mgongoni
Leo ni kumbukizi ya miaka kadhaa tangu tukio hilo litokee.
Hata Yesu alikufa miaka 2000 ila habari zake bado tunazisoma
 
Ule msemo wa mwanamke mjinga huvunja ndoa yake mwenyewe unaendelea kujidhihirisha.

Mkoani Arusha kuna mama mmoja mrwmbo kajilipua kuchora jina lanabii GeorDavie begani.

Mama huyo mrembo kweli kweli baada ya kuchora tatoo hiyo, mumewe alimkomalia aifute ila akagomaa Baada ya kugoma mume aliamua kumtwanga talaka.

Nabii baada ya kusikia hayo alimualika kanisani na kuvutiwa na kitendo hicho cha kuchorwa jina lake begani kwa mshangazi huyo bila kusikitishwa na kitendo cha talaka.

Kuonyesha furaha yake alimzawadia milioni sita kama shukrani kwa alichokiita mahaba yaliyopitiliza.

Wajinga wangalipo,take care
Umenunua lini simujanja ?
 
Jamaa uko nyuma sana ya wakati haya mambo yalitukia enzi ya nyerere ndio umeyaleta leo
 
Hii taarifa ya early 90's ndo unaileta huku leo

Kale kazee kakakshangilia kabisa,

Kazi ni kipimo cha utu.
 
Hii ya kitambo mbona? Huyo mama alipewa million 6 kama asante na mchungaji
 
Mkeo akiwa mtu wa kanisani kwa nabii yoyote yule hawezi ku submit 100 kwa mumewe.

Na kama anafanya kazi ndio balaa lingine.

Badala ya list ya ku submit kuwa hivi;
1. Mume
2.Mchungaji
3.Boss


Mambo hugeuka na kuwa juu chini.
1.Mchungaji(hapa mkeo akiambiwa vua chupi iombewe anavua, wewe ukimwambia atakataa)

2.Boss(hapa akiambiwa jumapili aende kazini ataenda hata ukimkatalia)

3.Mume(ndio unakua wa mwisho, unaeza kumwambia akuvulie chupi akakataa na usiwe na uwezo wa kumfanya chochote)

Kataa ndoa kuliko kuteseka kumlinda mtu mzima mwenzio kwa kisingizio cha ndoa.
 
Nabii baada ya kusikia hayo alimualika kanisani na kuvutiwa na kitendo hicho cha kuchorwa jina lake begani kwa mshangazi huyo bila kusikitishwa na kitendo cha talaka.

Picha ya mshangazi tafadhali...
 
Mkeo akiwa mtu wa kanisani kwa nabii yoyote yule hawezi ku submit 100 kwa mumewe.

Na kama anafanya kazi ndio balaa lingine.

Badala ya list ya ku submit kuwa hivi;
1. Mume
2.Mchungaji
3.Boss


Mambo hugeuka na kuwa juu chini.
1.Mchungaji(hapa mkeo akiambiwa vua chupi iombewe anavua, wewe ukimwambia atakataa)

2.Boss(hapa akiambiwa jumapili aende kazini ataenda hata ukimkatalia)

3.Mume(ndio unakua wa mwisho, unaeza kumwambia akuvulie chupi akakataa na usiwe na uwezo wa kumfanya chochote)

Kataa ndoa kuliko kuteseka kumlinda mtu mzima mwenzio kwa kisingizio cha ndoa.
Na maana halisi ya ndoa ni submission kwa mwanamke, provision kwa mwanaume. Umeongea kitu kikubwa
 
Back
Top Bottom