Huko Arusha kuna ndoa imevunjika kisa mke kachora tattoo yenye jina la nabii GeorDavie

Mtoa mada alikuwa hayupo duniani kipindi hicho, karudi leo na kufunuliwa hilo tukio ndo akalileta hapa....

Msamehe bure πŸ˜‚
Habari za Yesu kufa na kufufuka ilitokea lini,mbona kila mara tunahubiriwa
 
kuna malaya niikuwa nakula nkakutana nae kajipiga tatoo aiseee nikampa tiki kuwa kafuzu na cheti ktunikiwa cha umalaya.....sikuwa na hamu nae tena
 
Kumbe wanaume Bado wapi.bSio wale wanaokimbilia JF washauriwe wafanye Nini.
Mwamba nimemkubali,akiact kiume,lumshangazi luzuri kweli ila mwamba hakuangalia sura
 
Issue imeripotiwa miaka mitatu sijui minne iliyopita wewe ndiyo mpia kwako.

Ulikuwa dunia ya ngapi wewe ebu amka.
 
Halafu halindwa na mabaunsa kwa maana kwamba haamini ulinzi wa Mungu.
hapo kwenye kulindwa mwache tu anajua yeye maadui zake,,coz maandiko hayo hayo yanakwambia watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa.
 
Kuna single mother nimempenda ila kachora tatuu shingoni na kwenye titi lake, namuona ni muhuni tu na kahaba fulani. Sasa huyo mwanandoa kuchora jina la nabii huyo nao ni uhuni tu
Kuna demu aliwahi nichora jina langu tattoo kwenye bega lake.

Siku moja niligumia simu yake nikakuta anachat na jamaa mwingine akiwa anamuondoa wasiwasi kuwa hilo jina la tattoo ni la marehemu kaka yake na walikuwa close sana ndio maana alimchora kumuenzi.
 
Hahahaha πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ™ŒπŸΎ
 
Hahahaha πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ™ŒπŸΎ
 
Hii habari mbona ni ya muda sana na ilitrend sana huyo dada akihojiwa kanisani na huyo Pasta na hiyo tatoo ilikuwa begani kwa nyuma kuelekea mgongoni
Na ipo celebrity
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…