William Ruto amemjibu Raila Odinga kuwa asithubutu kuingiza wananchi barabarani kwani Kenya inaongozwa kwa sheria sio maandamano.
Ikumbukwe kuwa Raila Odinga alihitisha maandamano ya kitaifa tarehe 20, jumatatu ijayo, sababu ikiwa ni ugumu wa maisha, kuporwa kwa kura wakati wa uchaguzi uliopita, na Ruto kutotimiza ahadi zake ndani ya siku 100 tangu aingie madarakani km alivyoahidi kwenye kampeni.
Sasa ngoja tusubiri km Ruto atawapiga waandamanaji hadi wachakae. AFRICA figisu za uchaguzi zitaendelea kutoa roho za watu. Pia wanasiasa wasiwe wana wachukulia wapiga kura km wajinga. Wanasiasa wamekuwa waongo sana ili tu wapewe kura, na wakishapewa wanaanza kunyanyua makwapa.
In fact, there are no real politicians in Africa but political mongers.
Jumatatu siyo mbali let's wait.