Acha tuone hiyo jumatatuRuto Hana usmart wowote, kabila ndilo limembeba.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha tuone hiyo jumatatuRuto Hana usmart wowote, kabila ndilo limembeba.
Whatever the case lakini mkusanyiko ulikutana kwa kazi hiyo mbona hawakuwazuia? Kuna machafuko yalitokea?
Yule Odinga hata Moi alimshindwa ndio sembuse Ruto ambaye Odinga ndio alimpa uongozi ODM!!
Ajaribu kutoa pua yake jumatatu ndio ataelewa why Kenyatta alikubali yaishe. Odinga ana watu akiamua kulianzisha trust me nchi itaingia vitani
Rutto hajampatia tu Odinga!
Ampe tu asali mbona atatulia tu
Huyu mzee odinga mpumbavu anataka kuleta machafuko nchi isitawalike ruto piga hao wasiotaka kutulia majumbani mwao.
Katiba mpya imewasaidia nini kupata chaguzi bila makelele kama haya?
Huu upuuzi unaitwaga maandamano kwa nchi za kiafrica unatuchelewesha sana. Eti unaandamana kisa unga umepanda bei. Huyo raila watoto wake wapo mamtoni kama wa Lissu anatumia maskini kufanya fujo.
Ruto tandika virungu vya ugoko hao tukupe manyota.
Ushauli muruaRutto hajampatia tu Odinga!
Ampe tu asali mbona atatulia tu
Ila tuwajulishe majirani wetu kwamba hapa kwetu kumejaa hakuna mahali pa kukimbilia, hivyo acheni hizo fujo.
Afrika hakuna wanasiasa bali kuna wachumia tumbo.
Tulikuwa tunasifu katiba yao...sasa ni wazi kwamba kwa mwafrika katiba ni maandishi tu haina tafsiri yoyote katika maisha halisi.
katiba imewasaidia kupata kiongozi chaguo la raia na hata walipo ya challenge matokeo mahakamani walishindwa. haya ni makelele tu ambayo kama hayana msingi hata raia watayapuuzia hiyo siku.
Na kama yana msingi na maandano yakamfikia bila shaka ujumbe utamfikia aliyemadarakani na atajirekebisha au kuondolewa.
wenye katiba mbovu hatuwezi kuchallenge matokeo wala kuingia barabarani.
Mfumo wa uchaguzi na uongozi hauendani na hali halisi ya Afrika. Tanzania inatakiwa tuwe makini sana sana tukiandika katiba mpya ili tusifanye makosa. Kenya walitakiwa waondoe mfumo wa kumpa mtu mmoja madaraka makubwa.Huku mmeambiwa kulalamika maisha magumu ni unafiki maana hata UK vitu vimepanda bei.
BTW: Kauli ya Ruto kwamba yeye siyo muumini wa Handshake imechangia pakubwa kuibua hiki kinachotokea.
Wapinzani wa kiafrika wanapenda tu recognition hizo za ugumu wa maisha ni porojo tu.
...kumuweza au kumshindwa mtu ni kila mmoja ana namna yake ya ku handle issues. Raila alijiandaa kumsumbua Uhuru mwisho wake tuliona vile Uhuru alim neutralize in a way amnayo yeye Raila alijikuta anapoteza mbele ya Rutto, hiyo ni brain ya jinsi ya kum handle mtu.
The last time I heard, sikumsikia Rutto akimpiga beat Raila, bali watu wanatengeneza hizo story kwa sababu zao, nilichokisikia ni Rutto akim please Raila ku reconsider ili mchi idonge and lastly Raila anachohitaji ni kamnofu kadogo tu kama alivyo rudhiwa na Uhuru, na hivyo mdivyo wanavyom handle and it has no harm kwao sababu kwa Raila tayari ni jioni hivyo wataenda naye kwa mwendo wa kumrushia vimnofu tu.
Kenya wamejivua nguo na dunia iliwaheshimu hasa baada ya kuhoji matokeo mahakamani, lakini Raila kuanza kuandamana kwa madai ya kuibiwa kura ilihali alikubali matokeo mahakamani ni ujinga mkubwa na wenye akili kwa sasa wamemdharau jumla, hapo atawanasa vijana wasio na ajira wengi na wale wakenya waliokata tamaa na maisha, lakini kiuhalisia mabadiliko ya kidunia yamepelekea kila sehemu na nchi zote gharama za maisha kua juu, na kinachofanyika ni kila serikali kubalancebalance mambo ili yakae sawa lakini cost of living ni dunia nzima ziko juu
Ruto Hana baya ila huyu Mzee yeye ndiye alikuwa kwenye systeam ,anapaswa kutuambia alishindwaje na mtu aliye nje ya systeam? Hana jeshi na Hana polisi wote walikuwa kwa raila odinga! Kama aliwashinda bila msaada wowote wa Dola ndio mtamuweza akiwa na dollar?
Kwakweli Raila alimwambia ruto huwezi tawala hii nchi nikiwa hai, kuna uwezekano ruto akatolewa madarakani pengine jeshi likaongoza nchi ili wakose wote...... Raila... wangemuacha tu kwa 5yrs ya urais...ili azeeke vyema.Ruto aache kibri.
Alishauriwa amkaribishe ODINGA washare power sababu walikuwa 50/50 akapuuza.
Hana HAKI ya kuzuia maandamano kikatiba, na hivyo polisi wanaweza kuwaachia wananchi wakapige selfie IKULU.
Matokeo, Jeshi litachukua usukani na wakimbizi watakuwa mlangoni kwetu.
TANZANIA iwe makini sababu kutotulia Kwa majirani kunaweza ambukiza na watoto wetu ukorofi, maana huku njaa pia IPO.