Huko Kenya moto si wa kitoto

Huko Kenya moto si wa kitoto

Nairobi ni ya ODM na bunge la kaunti lipo chini Yao. Pia na makabila ya mrengo wa Odinga yaani akamba, luo, Luhya ni wengi pale Nairobi so maandamano yoyote Yale Ruto atazidiwa nguvu.
Kila mpiga kura ataingia barabarani?

Au ni vijana jobless wasio na mbele wala nyuma ndo wataingia barabarani?
 
Kila mpiga kura ataingia barabarani?

Au ni vijana jobless wasio na mbele wala nyuma ndo wataingia barabarani?
Nairobi ni 80% Odinga whether Wana kazi or not kule siasa ni kufa na kupona. Watu wameandaa mabasi kutoka kisumu Famasiala Nini?
 
Hakika nakuambia Mzee Odinga, kabla jogoo hajawika Leo usiku wa kuamkia kesho Jumatatu, watu wako watakukana mara tatu.
 
Wakianza mambo yao ya kuuana wasije bongo,wakimbilie huko somalia!huku sie wenyewe hali ngumu
 
Back
Top Bottom