Kinoamiguu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2018
- 11,936
- 15,196
aliyekuambia Ruto masikini ni nani? mwambie akuambie tena.kwa taarifa yako ruto ni miongoni mwa watu matajiri sana kenyaWaliambiwa wakenya hawakusikia Acha wavune, huwezi mpa nchi masikini hadi ashibe kwanza na sio leo. Nchi wapewe kina Lowasa
Kwahio nae mlambaji asali kitamboaliyekuambia Ruto masikini ni nani? mwambie akuambie tena.kwa taarifa yako ruto ni miongoni mwa watu matajiri sana kenya
Ngoja tuone pengine kuna jambo la kujifunza.William Ruto amemjibu Raila Odinga kuwa asithubutu kuingiza wananchi barabarani kwani Kenya inaongozwa kwa sheria sio maandamano.
Ikumbukwe kuwa Raila Odinga alihitisha maandamano ya kitaifa tarehe 20, jumatatu ijayo, sababu ikiwa ni ugumu wa maisha, kuporwa kwa kura wakati wa uchaguzi uliopita, na Ruto kutotimiza ahadi zake ndani ya siku 100 tangu aingie madarakani km alivyoahidi kwenye kampeni.
Sasa ngoja tusubiri km Ruto atawapiga waandamanaji hadi wachakae. AFRICA figisu za uchaguzi zitaendelea kutoa roho za watu. Pia wanasiasa wasiwe wana wachukulia wapiga kura km wajinga. Wanasiasa wamekuwa waongo sana ili tu wapewe kura, na wakishapewa wanaanza kunyanyua makwapa.
In fact, there are no real politicians in Africa but political mongers.
Jumatatu siyo mbali let's wait.
Katiba mpya imewasaidia nini kupata chaguzi bila makelele kama haya?
...kumuweza au kumshindwa mtu ni kila mmoja ana namna yake ya ku handle issues. Raila alijiandaa kumsumbua Uhuru mwisho wake tuliona vile Uhuru alim neutralize in a way amnayo yeye Raila alijikuta anapoteza mbele ya Rutto, hiyo ni brain ya jinsi ya kum handle mtu.Whatever the case lakini mkusanyiko ulikutana kwa kazi hiyo mbona hawakuwazuia? Kuna machafuko yalitokea?
Yule Odinga hata Moi alimshindwa ndio sembuse Ruto ambaye Odinga ndio alimpa uongozi ODM!!
Ajaribu kutoa pua yake jumatatu ndio ataelewa why Kenyatta alikubali yaishe. Odinga ana watu akiamua kulianzisha trust me nchi itaingia vitani
Katiba mpya imewasaidia nini kupata chaguzi bila makelele kama haya?
What is way forward is there is no politician in Africa!.....stop blaming.....at least there are tryingWilliam Ruto amemjibu Raila Odinga kuwa asithubutu kuingiza wananchi barabarani kwani Kenya inaongozwa kwa sheria sio maandamano.
Ikumbukwe kuwa Raila Odinga alihitisha maandamano ya kitaifa tarehe 20, jumatatu ijayo, sababu ikiwa ni ugumu wa maisha, kuporwa kwa kura wakati wa uchaguzi uliopita, na Ruto kutotimiza ahadi zake ndani ya siku 100 tangu aingie madarakani km alivyoahidi kwenye kampeni.
Sasa ngoja tusubiri km Ruto atawapiga waandamanaji hadi wachakae. AFRICA figisu za uchaguzi zitaendelea kutoa roho za watu. Pia wanasiasa wasiwe wana wachukulia wapiga kura km wajinga. Wanasiasa wamekuwa waongo sana ili tu wapewe kura, na wakishapewa wanaanza kunyanyua makwapa.
In fact, there are no real politicians in Africa but political mongers.
Jumatatu siyo mbali let's wait.
Ruto Hana baya ila huyu Mzee yeye ndiye alikuwa kwenye systeam ,anapaswa kutuambia alishindwaje na mtu aliye nje ya systeam? Hana jeshi na Hana polisi wote walikuwa kwa raila odinga! Kama aliwashinda bila msaada wowote wa Dola ndio mtamuweza akiwa na dollar?Ktb ya kenya ingebainisha uwakilishi serekalini utegemee asilimia za kura alizo pata mgombea uraisi wa chama kwenye uchaguzi!
Kama alipata asilimia.50%, 30%, 10%.... apewe mkate serkalini kwa asilimia hizo alizo pata kwenye uchaguzi!
Wenzenu TZ tunaelekea huko kuondoa bugudha!
INSHAALLAH!
Raila Amolo Odinga [RAO]William Ruto amemjibu Raila Odinga kuwa asithubutu kuingiza wananchi barabarani kwani Kenya inaongozwa kwa sheria sio maandamano.
Ikumbukwe kuwa Raila Odinga alihitisha maandamano ya kitaifa tarehe 20, jumatatu ijayo, sababu ikiwa ni ugumu wa maisha, kuporwa kwa kura wakati wa uchaguzi uliopita, na Ruto kutotimiza ahadi zake ndani ya siku 100 tangu aingie madarakani km alivyoahidi kwenye kampeni.
Sasa ngoja tusubiri km Ruto atawapiga waandamanaji hadi wachakae. AFRICA figisu za uchaguzi zitaendelea kutoa roho za watu. Pia wanasiasa wasiwe wana wachukulia wapiga kura km wajinga. Wanasiasa wamekuwa waongo sana ili tu wapewe kura, na wakishapewa wanaanza kunyanyua makwapa.
In fact, there are no real politicians in Africa but political mongers.
Jumatatu siyo mbali let's wait.
Kwako wewe faida ya katiba mpya ni uchaguzi?hata kama Taifa litapata mgawanyiko mkubwa mradi uchaguzi uingize watu unao wataka basi katiba mpya ndo ina faidakatiba imewasaidia kupata kiongozi chaguo la raia na hata walipo ya challenge matokeo mahakamani walishindwa. haya ni makelele tu ambayo kama hayana msingi hata raia watayapuuzia hiyo siku.
Na kama yana msingi na maandano yakamfikia bila shaka ujumbe utamfikia aliyemadarakani na atajirekebisha au kuondolewa.
wenye katiba mbovu hatuwezi kuchallenge matokeo wala kuingia barabarani.
Kwako wewe faida ya katiba mpya ni uchaguzi?hata kama Taifa litapata mgawanyiko mkubwa mradi uchaguzi uingize watu unao wataka basi katiba mpya ndo ina faida
Raila na Ruto ni 50/50William Ruto amemjibu Raila Odinga kuwa asithubutu kuingiza wananchi barabarani kwani Kenya inaongozwa kwa sheria sio maandamano.
Ikumbukwe kuwa Raila Odinga alihitisha maandamano ya kitaifa tarehe 20, jumatatu ijayo, sababu ikiwa ni ugumu wa maisha, kuporwa kwa kura wakati wa uchaguzi uliopita, na Ruto kutotimiza ahadi zake ndani ya siku 100 tangu aingie madarakani km alivyoahidi kwenye kampeni.
Sasa ngoja tusubiri km Ruto atawapiga waandamanaji hadi wachakae. AFRICA figisu za uchaguzi zitaendelea kutoa roho za watu. Pia wanasiasa wasiwe wana wachukulia wapiga kura km wajinga. Wanasiasa wamekuwa waongo sana ili tu wapewe kura, na wakishapewa wanaanza kunyanyua makwapa.
In fact, there are no real politicians in Africa but political mongers.
Jumatatu siyo mbali let's wait.
But I politics Ruto is smarter than Odinga by far. Odinga ataambulia aibu ktk hili.maana Raila alianza maandamano karibu county zote alivomaliza sasa anataka afanye maandamano kitaifa ili aende hadi ikulu kumtoa ruto, Raila yuko more calculated kwenye hiyo move
Acha tuone. Jumatatu siyo mbaliYule Odinga hata Moi alimshindwa ndio sembuse Ruto ambaye Odinga ndio alimpa uongozi ODM!!
Ajaribu kutoa pua yake jumatatu ndio ataelewa why Kenyatta alikubali yaishe. Odinga ana watu akiamua kulianzisha trust me nchi itaingia vitani
Handshake ya Raila na uhuru, Raila alilipwa kama Rais kwa kila kitu na alipewa privaleges zote kama Rais na alikua mshauri mkuu wa uhuru hadi Ruto akageuzwa kama secretary na matiangi akawa na nguvu sana juu ya Ruto, hivo alichofanya Ruto ni kisasi na Raila anapewa nguvu ya kuvuruga na uhuru ili Ruto aharibikiwe kabisa na kwa akili za wakenya wameshaingia box , maana Raila alianza maandamano karibu county zote alivomaliza sasa anataka afanye maandamano kitaifa ili aende hadi ikulu kumtoa ruto, Raila yuko more calculated kwenye hiyo move
But I politics Ruto is smarter than Odinga by far. Odinga ataambulia aibu ktk hili.
Naomba kuuliza...je legality ya matokeo ya uchaguzi ambayo imekuwa ikisemwa na kina Raila ikoje...ni kweli kura ziliibwa ama la..!! Tuanzie hapa twende mbele Sasa