Salaam, Shalom!!
I declare interest, Mimi ni mwalimu wa watoto. Sasa Huwa tunakaa tunajiuliza, walimu Hasa tunakosea wapi?
Tuseme kwamba labda Kuna watoto wengine hawapiti mikononi mwetu, hili Si Kweli,
Mbona huku darasani tunawafundisha msiibe, tunawafundisha msizini, Kila mtu awe na mke wake mwenyewe muda ukifika, tunawakataza pombe, madhara ya pombe tunawaonyesha wazi, tunajitahidi sana kuwaelekeza Maadili na kumcha na kuhofu Mungu, Uadilifu nk nk
Na mara nyingi mpatapo fursa za KAZI mbalimbali au fursa katika siasa Huwa mnatujia, tunawaombea na kuwakumbusha kutenda HAKI, kuchukia RUSHWA na UOVU, kutunza raslimali za nchi Ili tupige hatua kimaendeleo nk nk.
Nini Hasa Huwa kinatokea mkiingia huko serikalini?
Unasikia mtoto yule yule uliyemfundisha amehusishwa na ubadhirifu wa Mali za umma, mtoto yule yule utasikia Eti ameficha bilioni 7 nyumbani, kazitoa wapi?
Mtoto uliyemfundisha anapata KAZI, mwaka mmoja tu tayari ana nyumba na gari, unajiuliza Kwa mshahara upi?
Hata Hawa wezi wa kura, wamepita kwenye Sunday schools na madarasa!!
Fanyeni mnayofanya ila mjue walimu wenu hatufurahishwi na vitendo vyenu vya uasi Kwa kutofuata mafundisho na maelekezo yetu.
Mungu anawaona.
Karibuni🙏
I declare interest, Mimi ni mwalimu wa watoto. Sasa Huwa tunakaa tunajiuliza, walimu Hasa tunakosea wapi?
Tuseme kwamba labda Kuna watoto wengine hawapiti mikononi mwetu, hili Si Kweli,
Mbona huku darasani tunawafundisha msiibe, tunawafundisha msizini, Kila mtu awe na mke wake mwenyewe muda ukifika, tunawakataza pombe, madhara ya pombe tunawaonyesha wazi, tunajitahidi sana kuwaelekeza Maadili na kumcha na kuhofu Mungu, Uadilifu nk nk
Na mara nyingi mpatapo fursa za KAZI mbalimbali au fursa katika siasa Huwa mnatujia, tunawaombea na kuwakumbusha kutenda HAKI, kuchukia RUSHWA na UOVU, kutunza raslimali za nchi Ili tupige hatua kimaendeleo nk nk.
Nini Hasa Huwa kinatokea mkiingia huko serikalini?
Unasikia mtoto yule yule uliyemfundisha amehusishwa na ubadhirifu wa Mali za umma, mtoto yule yule utasikia Eti ameficha bilioni 7 nyumbani, kazitoa wapi?
Mtoto uliyemfundisha anapata KAZI, mwaka mmoja tu tayari ana nyumba na gari, unajiuliza Kwa mshahara upi?
Hata Hawa wezi wa kura, wamepita kwenye Sunday schools na madarasa!!
Fanyeni mnayofanya ila mjue walimu wenu hatufurahishwi na vitendo vyenu vya uasi Kwa kutofuata mafundisho na maelekezo yetu.
Mungu anawaona.
Karibuni🙏