Kijenetiki watoto wa kiume na kike huzaliwa kwa idadi sawa, lkn watoto wa kiume hufa wengi kabla ya kufikisha miaka 5.
Watoto wa kiume wakiwa wakubwa wengi huingia kwenye kazi ngumu au hatarishi (mfano migodini, vitani, etc) na kupoteza maisha.
Kanuni ya kula kwa jasho huwafanya wanaume wengi kujiingiza kwenye mambo ya hovyo kama wizi hivyo kuishia jela ama kuuawa. Wengine hutafuta hela kupitia ushoga na Kisha kupoteza thamani ya uanaume
Ndiyo maana idadi ya wanawake mitaani ni kubwa kuliko ya wanaume kila mahala duniani.
Sasa huyu tajiri Elon Musk kaja kuongeza idadi ya wanawake kwa kuunda mwanamke roboti. Hapa ndiyo kaua kabisa soko la mwanamke.
Itafika mahala mwanamke atakosa hata mwanaume wa kumsalimia
Mwanamke roboti huyu hapa;
Watoto wa kiume wakiwa wakubwa wengi huingia kwenye kazi ngumu au hatarishi (mfano migodini, vitani, etc) na kupoteza maisha.
Kanuni ya kula kwa jasho huwafanya wanaume wengi kujiingiza kwenye mambo ya hovyo kama wizi hivyo kuishia jela ama kuuawa. Wengine hutafuta hela kupitia ushoga na Kisha kupoteza thamani ya uanaume
Ndiyo maana idadi ya wanawake mitaani ni kubwa kuliko ya wanaume kila mahala duniani.
Sasa huyu tajiri Elon Musk kaja kuongeza idadi ya wanawake kwa kuunda mwanamke roboti. Hapa ndiyo kaua kabisa soko la mwanamke.
Itafika mahala mwanamke atakosa hata mwanaume wa kumsalimia
Mwanamke roboti huyu hapa;