National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,121
Mwanamke ane enda mwezini anabaki na upekee wake .. hakuna mmbadala wake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi vinauzwaje, maana huyo Elon ni mpiga pesa nguli nahofia kuna wajinga watapigwa hela na Elon 😂😂😂Hakuna gono
Hakuna tuma nauli
Neuralink😆Hivyo vibinti pichani ni vizuri umevitolea wapi..?
Una jeuri ya kumiliki hivyo viroboti.Heri tu..😅
NinayoH
Una jeuri ya kumiliki hivyo viroboti.
Huyu sexless ni ke au me? Mbona halieleweki ni kama dubwasha tu fulaniKijenetiki watoto wa kiume na kike huzaliwa kwa idadi sawa, lkn watoto wa kiume hufa wengi kabla ya kufikisha miaka 5.
Watoto wa kiume wakiwa wakubwa wengi huingia kwenye kazi ngumu au hatarishi (mfano migodini, vitani, etc) na kupoteza maisha.
Kanuni ya kula kwa jasho huwafanya wanaume wengi kujiingiza kwenye mambo ya hovyo kama wizi hivyo kuishia jela ama kuuawa. Wengine hutafuta hela kupitia ushoga na Kisha kupoteza thamani ya uanaume
Ndiyo maana idadi ya wanawake mitaani ni kubwa kuliko ya wanaume kila mahala duniani.
Sasa huyu tajiri Elon Musk kaja kuongeza idadi ya wanawake kwa kuunda mwanamke roboti. Hapa ndiyo kaua kabisa soko la mwanamke.
Itafika mahala mwanamke atakosoa hata mwanaume wa kumsalimia
Mwanamke roboti huyu hapa;
View attachment 2638041
Unadhani hivyo viroboti ni vya kulipia mahali ya ng'ombe kama wale mademu wa kisukuma?Ninayo
Na unaitumia mwenyewe ukijua hamna kusalitiwa, hivyo haipanuki inabaki size yako tu [emoji41]Hizo roboti Kali mno hapo mtindi haulali mwanzo mwisho saa 6
Huoni ninavyoona tulia ndugu ..Unadhani hivyo viroboti ni vya kulipia mahali ya ng'ombe kama wale mademu wa kisukuma?
Jitahidi umjue vyema baba wa hivyo viroboti ndio uje hapa kujitapa kuwa una jeuri ya kuvimiliki 😂
Na aweke face ID ili iwe hivyoNa unaitumia mwenyewe ukijua hamna kusalitiwa, hivyo haipanuki inabaki size yako tu [emoji41]
Mi nachojua vitakuwa vingi mtaani tutavitongoza vitatukubalia tutavila..🤣Unadhani hivyo viroboti ni vya kulipia mahali ya ng'ombe kama wale mademu wa kisukuma?
Jitahidi umjue vyema baba wa hivyo viroboti ndio uje hapa kujitapa kuwa una jeuri ya kuvimiliki 😂
Tena kama wewe Baki na kiburi chako..😂Jamani msitufanyie hivyo.....
Sijui n 2-3mHivi vinauzwaje, maana huyo Elon ni mpiga pesa nguli nahofia kuna wajinga watapigwa hela na Elon 😂😂😂
Huko mtauziwa vile fekiHuku kwetu mabondeni vitafika vikiwa vimechoka Sana 😂
[emoji23][emoji23][emoji23] hapo itakua huibiwi kabisaaaNa aweke face ID ili iwe hivyo