Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Nyie mnapiga mizinga sana, pambaneni na hali zenuJamani msitufanyie hivyo.....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyie mnapiga mizinga sana, pambaneni na hali zenuJamani msitufanyie hivyo.....
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sasa hivi hamtashindana na wanaume. Mtashindana na miroboti
Hiyo atakua ameupga mwingi[emoji23][emoji23][emoji23] hapo itakua huibiwi kabisaaa
😂 Viburi vitawaisha.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Astaghafiru llah [emoji23][emoji23][emoji23]Sijui n 2-3m
Huku kwetu mabondeni vitafika vikiwa vimechoka Sana [emoji23]
Vitakuja Kama mtumba kwenye mabelo
[emoji38] Hakika watakua wapole sana hasa viumbe[emoji23] Viburi vitawaisha.
Tutanunua UsedAstaghafiru llah [emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahaha mtumba
Wamezidi Sana musk apewe maua yake[emoji38] Hakika watakua wapole sana hasa viumbe
Hakika anastahiliWamezidi Sana musk apewe maua yake
Hatari Sana anapita mule muleHalafu havina vitambi!!
Mimi ni miongoni mwa watakao miliki hivi vifaa.Kijenetiki watoto wa kiume na kike huzaliwa kwa idadi sawa, lkn watoto wa kiume hufa wengi kabla ya kufikisha miaka 5.
Watoto wa kiume wakiwa wakubwa wengi huingia kwenye kazi ngumu au hatarishi (mfano migodini, vitani, etc) na kupoteza maisha.
Kanuni ya kula kwa jasho huwafanya wanaume wengi kujiingiza kwenye mambo ya hovyo kama wizi hivyo kuishia jela ama kuuawa. Wengine hutafuta hela kupitia ushoga na Kisha kupoteza thamani ya uanaume
Ndiyo maana idadi ya wanawake mitaani ni kubwa kuliko ya wanaume kila mahala duniani.
Sasa huyu tajiri Elon Musk kaja kuongeza idadi ya wanawake kwa kuunda mwanamke roboti. Hapa ndiyo kaua kabisa soko la mwanamke.
Itafika mahala mwanamke atakosoa hata mwanaume wa kumsalimia
Mwanamke roboti huyu hapa;
View attachment 2638041
Tena hapa unapata option zote tako na matiti pia utakavyo.Kijenetiki watoto wa kiume na kike huzaliwa kwa idadi sawa, lkn watoto wa kiume hufa wengi kabla ya kufikisha miaka 5.
Watoto wa kiume wakiwa wakubwa wengi huingia kwenye kazi ngumu au hatarishi (mfano migodini, vitani, etc) na kupoteza maisha.
Kanuni ya kula kwa jasho huwafanya wanaume wengi kujiingiza kwenye mambo ya hovyo kama wizi hivyo kuishia jela ama kuuawa. Wengine hutafuta hela kupitia ushoga na Kisha kupoteza thamani ya uanaume
Ndiyo maana idadi ya wanawake mitaani ni kubwa kuliko ya wanaume kila mahala duniani.
Sasa huyu tajiri Elon Musk kaja kuongeza idadi ya wanawake kwa kuunda mwanamke roboti. Hapa ndiyo kaua kabisa soko la mwanamke.
Itafika mahala mwanamke atakosoa hata mwanaume wa kumsalimia
Mwanamke roboti huyu hapa;
View attachment 2638041
[emoji23][emoji23][emoji23] tutapata vilivyotumika kishenzi..vimeenda makilomita..Sijui n 2-3m
Huku kwetu mabondeni vitafika vikiwa vimechoka Sana [emoji23]
Vitakuja Kama mtumba kwenye mabelo
Haturudii tena dearNyie mnapiga mizinga sana, pambaneni na hali zenu