ephen_
JF-Expert Member
- Oct 28, 2022
- 14,949
- 54,485
LindiHii location wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
LindiHii location wapi?
Gender balance 😂🤣😂huku nilipo yanachakachuliwa, nusu lita ya maziwa 1000tsh. nusu lita ya maji 1000tsh.
=2000tsh.
Ni vyema zaidi kama ukimuona dakitariHiv naweza kunywa dawa afu nikanywa maziwa fresh hapo hapo au baada ya muda gani?
Unaweza lkn sio dawa zote Sasa hapo kwa sie wabongo ndiyo mtihani unapoanzia na ndiyo Mana tunakataza kunywa dawa na maziwaHiv naweza kunywa dawa afu nikanywa maziwa fresh hapo hapo au baada ya muda gani?
Inategemea na dawaHiv naweza kunywa dawa afu nikanywa maziwa fresh hapo hapo au baada ya muda gani?
Hapa na wapi mkuu??
Mpanda si ndio huko showtime na demu jero kulala bukuKidumu cha lita 5 tsh 2000/
Lubalisi/mwese mpanda.
Arusha MkuuHii location wapi?
Hii location wapi?Buku
Sasa Hao Ndio Dada Poa 😂Mpanda si ndio huku showtime na demu jero kulala buku
Yeah.Mpanda si ndio huku showtime na demu jero kulala buku
hamsini kwa hamsini🤣Gender balance 😂🤣😂