Genio the great
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 298
- 842
700 Kwa Lita ,mkoa wa Pwani kata ya vigwaza.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣🤣Huku mkoa wa Lindi tangu nije sijaona ngombe kunywa maziwa moaka unywe sumu
Hii location wapi?800 hadi 1000 inategemea na muuzaji
Asante kwa mchango wako700 Kwa Lita ,mkoa wa Pwani kata ya vigwaza.
Wape salama mjini UngujaHapa Unguja ni 2,000
Nipo Mjini Magharibi KaskaziniWape salama mjini Unguja
Hehehe alitia maji ya mtoni😢Umenikumbusha niliwahi ngombana na muuza maziwa ngumi sio ngumi asee.
Wife anachuja maziwa amchemshie mtoto anaona guliguli (wadudu wa kwenye maji sijui jina lao kiswazi) nikamwambia yatunze Hadi kesho ayakute tumuonyeshe.kabla hata hajafika yameanza toa harufu Kali alipofika nilimuuliza umetunywesha maziwa ya maji ya bwawani mara ngapi ? Akaanza kujiuma uma nikampa Kofi akarudisha nae halafu mbele ya wife. Daah ila alinyooka akakimbia Hadi baiskeli yake
Kwetu mgando ni 3,000 kwa lita ya ASAS yaani 15,000 kwa dumu la lita 5Daslama
Kwenu, kwenu ni wapi? Kwa faida yasikilizaji😂🤣Kwetu mgando ni 3,000 kwa lita ya ASAS yaani 15,000 kwa dumu la lita 5
Kwao na AtotoKwenu, kwenu ni wapi? Kwa faida yasikilizaji😂🤣
Tangu hapo maziwa Hadi niende kwetu kijijn huko. Siwezi tenaHehehe alitia maji ya mtoni😢
Pole sana mwanakwetuTangu hapo maziwa Hadi niende kwetu kijijn huko. Siwezi tena
Hii location wapi?Buku
Acha uongo weweHuku mkoa wa Lindi tangu nije sijaona ngombe kunywa maziwa mpaka unywe sumu