Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzee weekend ukiwa na muda uwe unaenda Pale Kiluvya Madukani kuna duka la chama cha wafugaji. Maziwa fresh lita ni tsh 1600 na maziwa mtindi lita ni tsh 2000. Gallons wanauza pale nje ya lita 3 ni 1200, na lita 5 ni 1500.Fresh 2400 Kimara.. Hapo Maji 1/4 maziwa 3/4.
Hv malori yenye container yashaanza route za kwenda Kwala700 Kwa Lita ,mkoa wa Pwani kata ya vigwaza.
Bado wanamalizia malizia kuweka sawa barabaraHv malori yenye container yashaanza route za kwenda Kwala
Hapo mkoa gani, ukitaja na wilaya mbayaHuku Lita Moja buku!
Hapo mkoa gani, ukitaja na wilaya mbaya1000/=
Hapo mkoa gani, ukitaja na wilaya mbaya1200
Hapo mkoa gani, ukitaja na wilaya mbayaLita 300 asbuhi jioni unafata nusu lita bure maana jioni hawauzi maziwa usiniulize location tafadhali
Hapo mkoa gani, ukitaja na wilaya mbayaBuku
Hii ni balaaa sasaHuku mkoa wa Lindi tangu nije sijaona ngombe kunywa maziwa mpaka unywe sumu
ArushaHapo mkoa gani, ukitaja na wilaya mbaya