Huku Haji Manara ukiendelea Kubwabwaja Wasafi FM kuhusu Sakata la Kocha Gomez, hatimaye mwana Yanga Maulid Kitenge amemgeuka

Huku Haji Manara ukiendelea Kubwabwaja Wasafi FM kuhusu Sakata la Kocha Gomez, hatimaye mwana Yanga Maulid Kitenge amemgeuka




Ukiangalia taarifa za Coach wa Simba utagundua amefundisha vilabu vingi tangu aje Africa mwaka 2012 akiwa na miaka 42. Kuna uwezekano kwamba mafanikio kwenye vilabu mbalimbali alivyofundisha vilimfanya asahau kujiendeleza.
 
Manara ni Chawa hatari sana,Simba walifanya vyema kumtimua .

Hii ni Dhambi ya usaliti inamtesa.
 
Sikia da rosa hajamaliza kusoma ila anaendelea kusoma ndio maana simba wameamua kumchukya kocha wa mtibwa hitimana kwa muda,na kwa sasa hitimana kishaonfoka mtibwa

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Hitimana anachukua nafasi ya matola wakati matola anamalizia kupata grade B yake ili afiti kuwa kocha msaidizi kwenye michiuano ya CAF
 
Ukweli ni kuwa mbaka sasa Simba hawana kocha mwenye vigezo vya kukaa kwenye bench wakati timuyake inacheza kulingana na taratibu mpya za CAF. Uo ndio ukweli mengine ni kujaribu kupindishapindisha.
 
Huku akiwa kaomba Interview na Wasafi FM katika Kipindi cha Michezo cha Sports Arena ili aizungumzie Yanga SC yake Msukule Haji Manara umejikuta unatumia muda mwingi Kuiongelea Simba SC isiyomhusu badala ya Yanga SC yake.

Wakati akiendelea Kubwabwaja kutokana na Uwendawazimu unaomsumbua huku akiwa hana hata details zozote za uhakika Msukule Haji Manara umejikuta ukiumbuliwa kutokana na Sakata la Kocha Gomez wa Simba SC na safari hi tena na mwana Yanga SC Mwenzake Mtangazaji Maulid Kitenge.

Msukule ( Haji Manara ) ukiendelea Kuikashifu Simba SC na Kocha Gomez kuhusiana na Sakata zima hatimaye Mtangazaji mwana Yanga SC Maulid Kitenge akizungumza katika EFM Sports Headquarters Program amesema kuwa Kocha Gomez ameshamaliza Kusoma hiyo Kozi inayotakuwa kupitia Online na kinachosubiriwa tu sasa ni kwa CAF Kuithibitisha rasmi na kumpa Leseni yake muda wowote kuanzia sasa.

Wasafi FM hasa kupitia Watangazaji wana Yanga SC lia lia Yusuph Mkule na Paul Mkai na Mchambuzi Mnafiki na mwana Yanga SC Edward ( Edo ) Kumwembe hongereni kwa leo Kumfurahia Msukule Haji Manara akiwa anaichafua na Kuidhalilisha Simba SC huku nyie mkiwa mnafurahia na mkimchajisha ( mkimjaza upepo ) mkidhani ndiyo yatakuwa mafanikio ya Yanga SC.
Mtakufa bure kwa pressure bila sababu ya maana..

Kwanza timu zenyewe hizi moja inaitwa Mbumbumbu SC na nyingine inaitwa Vyura SC!
 
huyu haji mwenyewe ana vyeti gani hivi anasahau alivyoanza kulialia wakati TFF wanataka kukazia vyeti vya wasomaji
 
mashudu matupu
Kocha wenu kaishia la saba muwahisheni shule
 
Back
Top Bottom