Huku jeshi la Israel likijaribu kuingia Rafah wapiganaji wa Hamas wameibuka maeneo mengine mengi ya Gaza.

Huku jeshi la Israel likijaribu kuingia Rafah wapiganaji wa Hamas wameibuka maeneo mengine mengi ya Gaza.

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Kwa ukaidi wa hali ya juu jeshi la Israel limesema litaingia Rafah ili kuwamaliza Hamas.Hata hivyo vijana wa Hamas wameonekana kujikushanya maeneo mengine mengi ya Gaza wakitoa upinzani mkali kwa jeshi hilo.
Miongoni mwa maeneo yaliyolazimisha Israel kupeleka vikosi vyenye zana nzito ni pamoja kambi ya Jabalia ambayo hapo awali ilikwishavurugwa kwa makombora kutoka angani na mizinga mpaka IDF wakaridhika kwa kuona wameshawashinda Hama.
Upinzani kama huo umeonekana pia maeneo ya kati ya Gaza.

As Israel pushes deeper into Rafah, Hamas regroups elsewhere in ungoverned Gaza

 
Naomba kuuliza;

•Inaposemwa mapigano makali yametokea kati ya Askari wa Israel na Hamasi, je, huwa ni mapigano ya uso kwa uso au Israel anakuwa anatumia ndege huku Hamas anatumia bunduki za mkononi?

•Israel anaposhambulia kutokea angani huwa anawashambulia wapiganaji wa Hamas kweli, mbona hawaishi?

•Au wapalestina wote vijana na wanaume ni Hamas?

Yote kwa yote, Hamas wamedumu katika vita hii, siki zinazidi kusonga.
 
Kwa ukaidi wa hali ya juu jeshi la Israel limesema litaingia Rafah ili kuwamaliza Hamas.Hata hivyo vijana wa Hamas wameonekana kujikushanya maeneo mengine mengi ya Gaza wakitoa upinzani mkali kwa jeshi hilo.
Miongoni mwa maeneo yaliyolazimisha Israel kupeleka vikosi vyenye zana nzito ni pamoja kambi ya Jabalia ambayo hapo awali ilikwishavurugwa kwa makombora kutoka angani na mizinga mpaka IDF wakaridhika kwa kuona wameshawashinda Hama.
Upinzani kama huo umeonekana pia maeneo ya kati ya Gaza.

As Israel pushes deeper into Rafah, Hamas regroups elsewhere in ungoverned Gaza

Hiyo haitawafanya wa Israel wasiende rafah.. rafah ilikua ni eneo pekee ambalo makombora hayakurushwa sasa inaenda kuwa maghofu.
 
Naomba kuuliza;

•Inaposemwa mapigano makali yametokea kati ya Askari wa Israel na Hamasi, je, huwa ni mapigano ya uso kwa uso au Israel anakuwa anatumia ndege huku Hamas anatumia bunduki za mkononi?

•Israel anaposhambulia kutokea angani huwa anawashambulia wapiganaji wa Hamas kweli, mbona hawaishi?

•Au wapalestina wote vijana na wanaume ni Hamas?

Yote kwa yote, Hamas wamedumu katika vita hii, siki zinazidi kusonga.
Mara nyingi shambulizi la anga linalenga kuharibu miundo mbinu ya kambi pinzani.

Shida Hamas, wanaishi kwenye mahandaki hivyo hawaathiriki na hayo mashambulio ya anga.

Ndipo inawaladhimu IDF kuingia front ardhini hapo ndipo wanapo chinjwa na Hamas bila huruma.

Kiukweli tukiingia vita vya ana kwa ana. Hao IDF hawana lolote. Ogopa sana vita vya ana kwa ana na mtu ambae hana la kupoteza [emoji16]
 
Kwa ukaidi wa hali ya juu jeshi la Israel limesema litaingia Rafah ili kuwamaliza Hamas.Hata hivyo vijana wa Hamas wameonekana kujikushanya maeneo mengine mengi ya Gaza wakitoa upinzani mkali kwa jeshi hilo.
Miongoni mwa maeneo yaliyolazimisha Israel kupeleka vikosi vyenye zana nzito ni pamoja kambi ya Jabalia ambayo hapo awali ilikwishavurugwa kwa makombora kutoka angani na mizinga mpaka IDF wakaridhika kwa kuona wameshawashinda Hama.
Upinzani kama huo umeonekana pia maeneo ya kati ya Gaza.

As Israel pushes deeper into Rafah, Hamas regroups elsewhere in ungoverned Gaza

Rafah inaenda kugeuzwa jangwa
 
Mara nyingi shambulizi la anga linalenga kuharibu miundo mbinu ya kambi pinzani.

Shida Hamas, wanaishi kwenye mahandaki hivyo hawaathiriki na hayo mashambulio ya anga.

Ndipo inawaladhimu IDF kuingia front ardhini hapo ndipo wanapo chinjwa na Hamas bila huruma.

Kiukweli tukiingia vita vya ana kwa ana. Hao IDF hawana lolote. Ogopa sana vita vya ana kwa ana na mtu ambae hana la kupoteza [emoji16]
Vita vipi vya ana kwa ana hamas wanaviweza zaidi yakupigana wamevaa nguo za kiraia na kuvizia hii inasababisha vifo vya raia wa gaza
 
Mara nyingi shambulizi la anga linalenga kuharibu miundo mbinu ya kambi pinzani.

Shida Hamas, wanaishi kwenye mahandaki hivyo hawaathiriki na hayo mashambulio ya anga.

Ndipo inawaladhimu IDF kuingia front ardhini hapo ndipo wanapo chinjwa na Hamas bila huruma.

Kiukweli tukiingia vita vya ana kwa ana. Hao IDF hawana lolote. Ogopa sana vita vya ana kwa ana na mtu ambae hana la kupoteza [emoji16]
Huyo Hamas anapigana kwa kasi hiyo huku hana silaha za kutosha na amekatiwa chakula.
Kama hao vijana wangepata msaada mdogo sana basi Israel wangeshakimbizana .Hata hivyo IDF wanaisha nao.
 
Naomba kuuliza;

•Inaposemwa mapigano makali yametokea kati ya Askari wa Israel na Hamasi, je, huwa ni mapigano ya uso kwa uso au Israel anakuwa anatumia ndege huku Hamas anatumia bunduki za mkononi?

•Israel anaposhambulia kutokea angani huwa anawashambulia wapiganaji wa Hamas kweli, mbona hawaishi?

•Au wapalestina wote vijana na wanaume ni Hamas?

Yote kwa yote, Hamas wamedumu katika vita hii, siki zinazidi kusonga.
acha kuangalia muvi zitakuharibu asee
 
Mara nyingi shambulizi la anga linalenga kuharibu miundo mbinu ya kambi pinzani.

Shida Hamas, wanaishi kwenye mahandaki hivyo hawaathiriki na hayo mashambulio ya anga.

Ndipo inawaladhimu IDF kuingia front ardhini hapo ndipo wanapo chinjwa na Hamas bila huruma.

Kiukweli tukiingia vita vya ana kwa ana. Hao IDF hawana lolote. Ogopa sana vita vya ana kwa ana na mtu ambae hana la kupoteza [emoji16]
kwann walikimbia kule Israel ile trh 7 oct si wanajua vita vya ana kwa ana ?
 
Rafah inaenda kugeuzwa jangwa
Tatizo hamfahamu mji wa Rafah ni matent tu na vibanda vya wakimbizi Israel hajui anacho fanya Gaza.

Alidhani kawamaliza Hamasi akawa naulizwa mbona hatuoni silaha za Hamasi akawa anakwepa kujibu 😄

Hakujua Hamasi alikuwa anawavuta taratibu mpaa walipo fika Rafah sa ndio kawazunguka, kila kukicha unasikia askari 15 mpaa 30 wa Israel wameuliwa na kujehuriwa.

Leo hi Netanyahu kanza kukiri vita hi ni ngumu taratibu mwisho atakimbia Gaza mwenyewe 😄
 
Naomba kuuliza;

•Inaposemwa mapigano makali yametokea kati ya Askari wa Israel na Hamasi, je, huwa ni mapigano ya uso kwa uso au Israel anakuwa anatumia ndege huku Hamas anatumia bunduki za mkononi?

•Israel anaposhambulia kutokea angani huwa anawashambulia wapiganaji wa Hamas kweli, mbona hawaishi?

•Au wapalestina wote vijana na wanaume ni Hamas?

Yote kwa yote, Hamas wamedumu katika vita hii, siki zinazidi kusonga.
Nyuma ya Hamas wako wanaume wanaomshughulikia Israel na jeshi lake dhaifu la IDF, hapo hakuna tena vita vya panda na manati mzigo wenyewe hasa unapigwa
 
Mara nyingi shambulizi la anga linalenga kuharibu miundo mbinu ya kambi pinzani.

Shida Hamas, wanaishi kwenye mahandaki hivyo hawaathiriki na hayo mashambulio ya anga.

Ndipo inawaladhimu IDF kuingia front ardhini hapo ndipo wanapo chinjwa na Hamas bila huruma.

Kiukweli tukiingia vita vya ana kwa ana. Hao IDF hawana lolote. Ogopa sana vita vya ana kwa ana na mtu ambae hana la kupoteza [emoji16]
Na ndio maana mrusi anawaweza NATO kwakuwa anamiliki anga akishawachakaza anapeleka Mandevu wa Kichechen wanapiga njugu balaa 😂
 
Kwa ukaidi wa hali ya juu jeshi la Israel limesema litaingia Rafah ili kuwamaliza Hamas.Hata hivyo vijana wa Hamas wameonekana kujikushanya maeneo mengine mengi ya Gaza wakitoa upinzani mkali kwa jeshi hilo.
Miongoni mwa maeneo yaliyolazimisha Israel kupeleka vikosi vyenye zana nzito ni pamoja kambi ya Jabalia ambayo hapo awali ilikwishavurugwa kwa makombora kutoka angani na mizinga mpaka IDF wakaridhika kwa kuona wameshawashinda Hama.
Upinzani kama huo umeonekana pia maeneo ya kati ya Gaza.

As Israel pushes deeper into Rafah, Hamas regroups elsewhere in ungoverned Gaza

Umefurahi eeeeeeeeh?
 
Kwa ukaidi wa hali ya juu jeshi la Israel limesema litaingia Rafah ili kuwamaliza Hamas.Hata hivyo vijana wa Hamas wameonekana kujikushanya maeneo mengine mengi ya Gaza wakitoa upinzani mkali kwa jeshi hilo.
Miongoni mwa maeneo yaliyolazimisha Israel kupeleka vikosi vyenye zana nzito ni pamoja kambi ya Jabalia ambayo hapo awali ilikwishavurugwa kwa makombora kutoka angani na mizinga mpaka IDF wakaridhika kwa kuona wameshawashinda Hama.
Upinzani kama huo umeonekana pia maeneo ya kati ya Gaza.

As Israel pushes deeper into Rafah, Hamas regroups elsewhere in ungoverned Gaza

.
 

Attachments

  • IMG_20240518_154355.jpg
    IMG_20240518_154355.jpg
    181.1 KB · Views: 8
Ila msianze tena kukimbilia the Hague acha mtanange uendelee 🤔
 
Back
Top Bottom