You ass ever! By the way I am wondering why I used my expensive time arquing with u ass??!!You're a Stupid 'Member' forever.
You ass ever! By the way I am wondering why I used my expensive time arquing with u ass??!!
Kabisa atajifunza kujibu hoja za watu kwa nidhamu ili kuepuka kuleta mkanganyiko kwa mada husika. Amesahau watu wanashinda na boss wake muda wote na wapo kimya tu.Kunywa nae tu Mvinyo hakutoshi Mkuu bali ajue kuwa pamoja na Yeye kujifanya anamkubali mno ila kuna wengine hapo Ikulu ni Nyumbani Kwetu.
Remembering Ass!Hiki 'Kiingereza' chako cha 'Kishoga / Utambaliziwaji' umakianza Kukitumia lini? Mkuu yaani na Wewe mara hii 'Masela' wanakupigia kwa Tigo Line?
Kabisa atajifunza kujibu hoja za watu kwa nidhamu ili kuepuka kuleta mkanganyiko kwa mada husika. Amesahau watu wanashinda nae muda wote na wapo kimya tu.
Na wewe wamekuambia chenji imeongezeka?Nipo huko huko unakokuzungumzia!Na nina marafiki wa mabaka mabaka,huwa tunakula nao tungi sana tu!
π€£π€£π€£π€£π€£Huoni unanitafutia nyongeza ya mshahara ifanye kazi kwa sifa na so weledi mkuuIli ujue kuwa 'Uoga' unalipa hebu libadili hili Jina lako la ID hapa na utuwekee lile lako kabisa la NIDA ya 'Malawi ya Kaskazini' tuone Ushujaa wako.
Nimegundua jamaa ni njaa kali pengi amesha lisahau jina la Bwana Mungu wake sasa ana mwabudu binaadamu mwenzake!Hasa kutokana na hizo 'Herufi' Nne ( 4 ) za hilo Jina lake ( ID yake ) Mkuu. Asikusumbue hao wanataka Kusikia mazuri Kwao, ila mabaya hawataki.
Kuna 'Tai' kadhaa nawajua naona kwa Siku za Karibuni 24/7 wana Nyuso za 'Furaha' sana na 'Wanatanua' mno nahisi nao pia mambo ni Mswano.
Eeh ni wapi huko mkuuNi kweli, kuna mmoja juzi ameenda dukani kununua simu za million 3 za malawi ya kaskazini, ziko 3. Labda napo mambo yamejipa! Amenunua yake, ya mkewe na ya dadaye.
Huku huku malawi ya kaskazini mkuu πEeh ni wapi huko mkuu
Hakika huyu kiongozi anajua kula na watu wake wa karibu amesahau wapiga kura wake walio wengi wananung'unika kwa kupokea mshahara mdogo hili kundi la walimu na watumishi wa Tamiseni ndio ingeamua mstakabari wake ila ni wajinga sijawahi ona hawa ndio wa kwanza kumpigia kura πHuku huku malawi ya kaskazini mkuu π
Nipwa, rogomoro na NgariI hiyo ndio mikoa inapatikana na kambi za Malawi kaskaziniKama kweli nawe upo hapa hapa nchini 'Malawi ya Kaskazini' nitajie Mikoa Miwili tu inayopatikana hizi Kambi 'Kubwa' za Renge Renge na Lindumo.
Anayekubishia hili ni wa kuhurumia, maana inaonekana wazi yeye anashinda mitandaoni kwa malipo kiduchu wakati wenzake wanongezwa Laki 1 kila Mjeda bila kujali cheo.Sijawahi kuwa na 'Sponsor' aliye 'Popoma' wa 'Kutukuka' wa mfano wake Mkuu. Kama IQ yangu ni Juu naweza kuwa na 'Sponsor' Juha kama huyo?
Remembering Ass!
Hakika huyu kiongozi anajua kula na watu wake wa karibu amesahau wapiga kura wake walio wengi wananung'unika kwa kupokea mshahara mdogo hili kundi la walimu na watumishi wa Tamiseni ndio ingeamua mstakabari wake ila ni wajinga sijawahi ona hawa ndio wa kwanza kumpigia kura π
Ila ccm akili huwa zinaruka mara nyingine, et lijitu linakwambia tumeibiwa sana wakati nyinyi wenyewe ccm ndiwo mlikuwa mnasaini mikataba na mibovu na wakoloni haohao, misaada hampati toka kwa hao wakoloni basi mnawaita mabeberu.Kwa tulioko hapa nchini 'Malawi ya Kaskazini' tunajua kuwa sasa Kampeni za Uchaguzi Mkuu zimeshaanza japo nimegundua kuwa kumbe kwa mara ya Kwanza Uchaguzi Mkuu wa hapa 'Malawi ya Kaskazini' umefanana mno 'Kiratiba' na ule Uchaguzi Mkuu ambao nimesikia kuwa unaenda Kufanyika pia kwa 'Majirani' zetu Watanzania ( Tanzania ) japo ambalo limeleta 'Utamu' wa Kidemokrasia.
Kilichotushangaza sana Sisi wana 'Malawi ya Kaskazini' ni Kitendo cha huyu Rais wetu Kuwapandishia 'Mishahara' Wanajeshi wetu 'Kisirisiri' huku 'Watendaji' wengine ambao nao pia wana 'Umuhimu' mkubwa wa 'Kiufanisi' hapa nchini nilipo 'Kimakazi' wakiachwa na Mishahara yao ile ile midogo na ya kawaida sana.
GENTAMYCINE nimetembelea nchi kadhaa za Afrika ila sijawahi Kukutana na 'Wanajeshi' ambao ni 'Wambea' na wasio na 'Vifua' vya Kutunza 'Siri' zao kama wa hapa 'Malawi ya Kaskazini' hasa hasa wakiwa 'Vijiweni' wanakunywa 'Gongo' au wanataka Kununua 'Mbunye' Mitaani. Upuuzi huu kamwe huwezi 'Kuukuta' kwa Majeshi yenye Nidhamu na Uweledi kama ya Tanzania, Rwanda na Angola.
Nadhani ipo haja sasa ya huyu Rais wa hapa 'Malawi ya Kaskazini' na Jeshi lake 'Kujifunza' Uweledi wa Majeshi ya Tanzania, Rwanda na la Angola.