Wazolee
JF-Expert Member
- Sep 1, 2018
- 3,183
- 3,660
Kwa sababu kiboko Yao ameshakufaKichwa cha habari chajitosheleza, yaani mambo yamelala mno ule usharpness haupo, kujali hakupo. Kitu cha dk 2 kinachukua dk30. Aisee hii ni hatari, Serikali mlala mno....
Mda wao hu wa kula bata