Huku Kwetu Kuko hivi, Vipi Huko Kwenu?

Huku Kwetu Kuko hivi, Vipi Huko Kwenu?

Amani Msumari

JF-Expert Member
Joined
Aug 21, 2016
Posts
1,830
Reaction score
972
Wapendwa watanzania wenzangu, salaam.

Kuna matukio naona yametoweka kabisa au kupungua sana huku Kwetu:

1.Ujambazi wa silaha
2.Ajali za barabarani, hasa mabasi na bodaboda
3.Migogoro ya wakulima na wafugaji
4.Vifo vya akina mama wajawazito na watoto wachanga
5.Mgao wa umeme
6.Dharau za watumishi wa umma kwa wananchi wa kawaida
7.Udhalilishaji, vipigo na usumbufu wa askari mgambo kwa wafanyabiashara wadogowadogo maarufu kama wamachinga
8.Rushwa

Ningependa kufahamu hali ikoje maeneo mengine ya nchi.

Kama mwendo ni huohuo basi nadhani itatupasa tusichukulie poa, yaan "we shouldn't take things for granted" (Mheshimiwa Lissu atanisahihisha grammar hiyo) ni vyema kujiuliza nini kimetokea?

Mgosi nina kiu ya kufahamu.

Amani Msumari
Tanga
 
Tulikuwa na wodi kwenye hospitali yetu ya mkoa, Bombo ambayo ilikuwa ni Kama wodi maalumu kwa waendesha bodaboda. Tulizika sana vijana wetu na abiria wasiokuwa na hatia yoyote. Kuna wengi wamebaki na ulemavu wa kudumu
 
Huku kijijini kwetu mambo yako vilevile wala hatuoni tofauti!Kilichoongezeka ni kuwa umeme umefika,basi mengine naona yako vilevile na mengine yamepungua!
Yaliyopungua ni kuwa fedha haipatikani kwa sasa,kazi unayofanya ni tembo ila kitu unachopata ni sisimizi!Hali ya maisha imekuwa ngumu!
 
Wapendwa watanzania wenzangu, salaam.

Kuna matukio naona yametoweka kabisa au kupungua sana huku Kwetu:

1.Ujambazi wa silaha
2.Ajali za barabarani, hasa mabasi na bodaboda
3.Migogoro ya wakulima na wafugaji
4.Vifo vya akina mama wajawazito na watoto wachanga
5.Mgao wa umeme
6.Dharau za watumishi wa umma kwa wananchi wa kawaida
7.Udhalilishaji, vipigo na usumbufu wa askari mgambo kwa wafanyabiashara wadogowadogo maarufu kama wamachinga
8.Rushwa

Ningependa kufahamu hali ikoje maeneo mengine ya nchi.

Kama mwendo ni huohuo basi nadhani itatupasa tusichulie poa, yaan "we shouldn't take things for granted" (Mheshimiwa Lissu atanisahihisha grammar hiyo) ni vyema kujiuliza nini kimetokea?

Mgosi nina kiu ya kufahamu.

Amani Msumari
Tanga
Tatizo umri wako bado mdogo sana 90s
 
Huku kijijini kwetu mambo yako vilevile wala hatuoni tofauti!Kilichoongezeka ni kuwa umeme umefika,basi mengine naona yako vilevile na mengine yamepungua!
Yaliyopungua ni kuwa fedha haipatikani kwa sasa,kazi unayofanya ni tembo ila kitu unachopata ni sisimizi!Hali ya maisha imekuwa ngumu!
Hongereni kwa umeme, nalo ni jema. Vipi huduma za afya, elimu na huduma za kifedha?
Vibanda vya tigo pesa, mpesa na mengineyo hakuna?
Hakuna vikundi vya wakulima, vikoba n.k?
Zahanati hakuna?
 
Wapendwa watanzania wenzangu, salaam.

Kuna matukio naona yametoweka kabisa au kupungua sana huku Kwetu:

1.Ujambazi wa silaha
2.Ajali za barabarani, hasa mabasi na bodaboda
3.Migogoro ya wakulima na wafugaji
4.Vifo vya akina mama wajawazito na watoto wachanga
5.Mgao wa umeme
6.Dharau za watumishi wa umma kwa wananchi wa kawaida
7.Udhalilishaji, vipigo na usumbufu wa askari mgambo kwa wafanyabiashara wadogowadogo maarufu kama wamachinga
8.Rushwa

Ningependa kufahamu hali ikoje maeneo mengine ya nchi.

Kama mwendo ni huohuo basi nadhani itatupasa tusichulie poa, yaan "we shouldn't take things for granted" (Mheshimiwa Lissu atanisahihisha grammar hiyo) ni vyema kujiuliza nini kimetokea?

Mgosi nina kiu ya kufahamu.

Amani Msumari
Tanga
Sawa na tawire
 
Mkiichagua chadema hayo uliyo yaorodhesha yatatekelezwa kila pahala
 
Tatizo umri wako bado mdogo sana 90s
Ndugu Kambulanga. Naona hapo kuwa wewe ni new member, usifuatishe wale wengine.

Nawahakikishia Kama jukwaa hili litatumika vizuri Kama lengo lake lilivyo, basi lingekuwa ni moja ya sehemu ya viongozi wetu kuchukua mawazo.

Tuna watanzania wengi went uwezo mkubwa Sana wa kifikra. Hapa lingekuwa jamvi zuri Sana, Kubishana kwa hoja.
 
Hongereni kwa umeme, nalo ni jema. Vipi huduma za afya, elimu na huduma za kifedha?
Vibanda vya tigo pesa, mpesa na mengineyo hakuna?
Hakuna vikundi vya wakulima, viko a n.k?
Zahanati hakuna?
Hayo niyalinganishe toka lini?Au tokea uhuru?
 
Kwani Kuna mtangulizi yeyote wa jpm ambaye hayo yalimshinda? Msimpe sifa za mambo ambayo ni ya kawaida sana
Sexless Sexless Sexless,

Nimekuita mara tatu.

Kila kiongozi alifanya yake na kulikuwa na changamoto zake. Niliyoyataja yalikuwa ni miongoni mwa changamoto kubwa sana zilizotukabili Kama taifa. Nionavyo ni kuwa kwa kiasi kikubwa changamoto hizo zimeisha au kupungua sana.

Kujadili ukweli huo ni kujadili kuhusu maisha yetu. Umeme, huduma za afya, ajali za barabarani n k haziulizi uanachama wako. Haya ni kwetu ndugu zangu.
 
Kwani Kuna mtangulizi yeyote wa jpm ambaye hayo yalimshinda? Msimpe sifa za mambo ambayo ni ya kawaida sana
Sexless Sexless Sexless,

Nimekuita mara tatu.

Kila kiongozi alifanya yake na kulikuwa na changamoto zake. Niliyoyataja yalikuwa ni miongoni mwa changamoto kubwa sana zilizotukabili Kama taifa. Nionavyo ni kuwa kwa kiasi kikubwa changamoto hizo zimeisha au kupungua sana.

Kujadili ukweli huo ni kujadili kuhusu maisha yetu. Umeme, huduma za afya, ajali za barabarani n k haziulizi uanachama wako. Haya ni kwetu ndugu zangu.
 
Sexless Sexless Sexless,

Nimekuita mara tatu.

Kila kiongozi alifanya yake na kulikuwa na changamoto zake. Niliyoyataja yalikuwa ni miongoni mwa changamoto kubwa sana zilizotukabili Kama taifa. Nionavyo ni kuwa kwa kiasi kikubwa changamoto hizo zimeisha au kupungua sana.

Kujadili ukweli huo ni kujadili kuhusu maisha yetu. Umeme, huduma za afya, ajali za barabarani n k haziulizi uanachama wako. Haya ni kwetu ndugu zangu.
Ni kweli JPM ana mazuri yake. Lkn kama ilivyo kwa wanadamu mabaya hufunika mazuri. Ubabe, kiburi na lugha chafu ndiyo vinamharibia.
 
Back
Top Bottom