Nsanzagee
JF-Expert Member
- Jun 28, 2023
- 2,209
- 4,769
Kwani Watanzania wanataka nini?
Mioyo ya Watanzania walio wengi, wanatamani saana kuona kiongozi mwenye kuwasemea na kuwatatulia matarizo yao
Watanzania si wasemaji sana hata kama wakiwa na lundo la matatizo, sasa inapotokea kuna mtu anaowajua, anawajali, matatizo yao anayachukua yeye na kuwasemea, inatosha kabisa kwao kumfanya ndiye kiongozi wao bora
Tusidanganyane, zaidi ya 80%ya watanzania, ni masikini na wenye hali ya chini mno, watu hao mara nyingi hukosa mtu wa kuwasemea matatizo yao
Inapotokea kama Makonda, kwao inakuwa lulu na haitajalusha makoandokando yake, hayo mtajua nyinyi wasomi na wenye maisha mazuri
Na kwa bamna hiyo, bado Tanzania inahitaji viongozi mfano wa kina Makonda nawenye chembechembe za kina Magufuli
Mioyo ya Watanzania walio wengi, wanatamani saana kuona kiongozi mwenye kuwasemea na kuwatatulia matarizo yao
Watanzania si wasemaji sana hata kama wakiwa na lundo la matatizo, sasa inapotokea kuna mtu anaowajua, anawajali, matatizo yao anayachukua yeye na kuwasemea, inatosha kabisa kwao kumfanya ndiye kiongozi wao bora
Tusidanganyane, zaidi ya 80%ya watanzania, ni masikini na wenye hali ya chini mno, watu hao mara nyingi hukosa mtu wa kuwasemea matatizo yao
Inapotokea kama Makonda, kwao inakuwa lulu na haitajalusha makoandokando yake, hayo mtajua nyinyi wasomi na wenye maisha mazuri
Na kwa bamna hiyo, bado Tanzania inahitaji viongozi mfano wa kina Makonda nawenye chembechembe za kina Magufuli