Huku mtaani kwa sasa hakuna mwanasiasa maarufu kuliko Makonda

Huku mtaani kwa sasa hakuna mwanasiasa maarufu kuliko Makonda

Kwani Watanzania wanataka nini?

Mioyo ya Watanzania walio wengi, wanatamani saana kuona kiongozi mwenye kuwasemea na kuwatatulia matarizo yao

Watanzania si wasemaji sana hata kama wakiwa na lundo la matatizo, sasa inapotokea kuna mtu anaowajua, anawajali, matatizo yao anayachukua yeye na kuwasemea, inatosha kabisa kwao kumfanya ndiye kiongozi wao bora

Tusidanganyane, zaidi ya 80%ya watanzania, ni masikini na wenye hali ya chini mno, watu hao mara nyingi hukosa mtu wa kuwasemea matatizo yao

Inapotokea kama Makonda, kwao inakuwa lulu na haitajalusha makoandokando yake, hayo mtajua nyinyi wasomi na wenye maisha mazuri

Na kwa bamna hiyo, bado Tanzania inahitaji viongozi mfano wa kina Makonda nawenye chembechembe za kina Magufuli
 
Kwema Wakuu!

Sijui anatumia uchawi gani.
Sijui anatumia mbinu gani za kimedani.
Lakini huyu jamaa kwa sasa hakuna mwanasiasa yoyote ambaye anamsogelea kwa umaarufu hata kwa kilometa mia moja.

Kama ni riadha za siasa tunasema Makonda angeshatangazwa ndiye Mshindi kwa sababu tangu aingie kwenye riadha amewaweka wenzake wote pembeni na sio tuu pembeni bali mbali huko.

Jana kwenye Malumbano ya Hoja, ITV Makonda mbele.
Sokoni huko Makonda.
Bodaboda nao Makonda.
Kwenye Daladala Makonda.

Kwani Makonda kafanyaje?
Nilipofuatilia zaidi wengi wa washangiliaji wake wanasema kuwa Makonda ndiye Mtetezi wao, Makonda ndiye Magufuli wao.
Kwamba kwa nchi hii Watanzania waliowengi wanamchukulia Magufuli ndiye Masihi na sasa mrithi wake ni Makonda. Hayo ni mawazo na mtazamo wa watanzania hasa wa hali ya chini ambao ni zaidi ya asilimia 80 hivi.

Sio Chadema, sio ccm, sio Act hakuna mwanasiasa mashuhuri na mwenye ushawishi kwa Tanzania kumzidi Makonda. Hii inamaanisha nini? Kama hali itaendelea hivi basi Watu wataanza kumpenda na upendo siku zote uko na nguvu kuliko Mauti.

Ingawaje mimi sio mfuasi wa siasa za Makonda lakini nikiri kwa ukweli kuwa yeye ndiye amebeba kwa sasa siasa za nchi yetu. Jina lake likiwa kubwa na lenye kuandikwa na kusemwa na waliowengi.

Wasalamu
Hakika ila kwangu Mimi sio Maarufu.

Kitu kizuri Kwa ccm na Samia ni Makonda kuwafunika Machadema nao wanajaribu kurudi kwenye kiki Kwa maandamano ambayo yanapuuzwa 🤣🤣
 
Kwema Wakuu!

Sijui anatumia uchawi gani.
Sijui anatumia mbinu gani za kimedani.
Lakini huyu jamaa kwa sasa hakuna mwanasiasa yoyote ambaye anamsogelea kwa umaarufu hata kwa kilometa mia moja.

Kama ni riadha za siasa tunasema Makonda angeshatangazwa ndiye Mshindi kwa sababu tangu aingie kwenye riadha amewaweka wenzake wote pembeni na sio tuu pembeni bali mbali huko.

Jana kwenye Malumbano ya Hoja, ITV Makonda mbele.
Sokoni huko Makonda.
Bodaboda nao Makonda.
Kwenye Daladala Makonda.

Kwani Makonda kafanyaje?
Nilipofuatilia zaidi wengi wa washangiliaji wake wanasema kuwa Makonda ndiye Mtetezi wao, Makonda ndiye Magufuli wao.
Kwamba kwa nchi hii Watanzania waliowengi wanamchukulia Magufuli ndiye Masihi na sasa mrithi wake ni Makonda. Hayo ni mawazo na mtazamo wa watanzania hasa wa hali ya chini ambao ni zaidi ya asilimia 80 hivi.

Sio Chadema, sio ccm, sio Act hakuna mwanasiasa mashuhuri na mwenye ushawishi kwa Tanzania kumzidi Makonda. Hii inamaanisha nini? Kama hali itaendelea hivi basi Watu wataanza kumpenda na upendo siku zote uko na nguvu kuliko Mauti.

Ingawaje mimi sio mfuasi wa siasa za Makonda lakini nikiri kwa ukweli kuwa yeye ndiye amebeba kwa sasa siasa za nchi yetu. Jina lake likiwa kubwa na lenye kuandikwa na kusemwa na waliowengi.

Wasalamu
Makonda the chosen one
 
Kwema Wakuu!

Sijui anatumia uchawi gani.
Sijui anatumia mbinu gani za kimedani.
Lakini huyu jamaa kwa sasa hakuna mwanasiasa yoyote ambaye anamsogelea kwa umaarufu hata kwa kilometa mia moja.

Kama ni riadha za siasa tunasema Makonda angeshatangazwa ndiye Mshindi kwa sababu tangu aingie kwenye riadha amewaweka wenzake wote pembeni na sio tuu pembeni bali mbali huko.

Jana kwenye Malumbano ya Hoja, ITV Makonda mbele.
Sokoni huko Makonda.
Bodaboda nao Makonda.
Kwenye Daladala Makonda.

Kwani Makonda kafanyaje?
Nilipofuatilia zaidi wengi wa washangiliaji wake wanasema kuwa Makonda ndiye Mtetezi wao, Makonda ndiye Magufuli wao.
Kwamba kwa nchi hii Watanzania waliowengi wanamchukulia Magufuli ndiye Masihi na sasa mrithi wake ni Makonda. Hayo ni mawazo na mtazamo wa watanzania hasa wa hali ya chini ambao ni zaidi ya asilimia 80 hivi.

Sio Chadema, sio ccm, sio Act hakuna mwanasiasa mashuhuri na mwenye ushawishi kwa Tanzania kumzidi Makonda. Hii inamaanisha nini? Kama hali itaendelea hivi basi Watu wataanza kumpenda na upendo siku zote uko na nguvu kuliko Mauti.

Ingawaje mimi sio mfuasi wa siasa za Makonda lakini nikiri kwa ukweli kuwa yeye ndiye amebeba kwa sasa siasa za nchi yetu. Jina lake likiwa kubwa na lenye kuandikwa na kusemwa na waliowengi.

Wasalamu
#makondaforpresident2025
 
Kwema Wakuu!

Sijui anatumia uchawi gani.
Sijui anatumia mbinu gani za kimedani.
Lakini huyu jamaa kwa sasa hakuna mwanasiasa yoyote ambaye anamsogelea kwa umaarufu hata kwa kilometa mia moja.

Kama ni riadha za siasa tunasema Makonda angeshatangazwa ndiye Mshindi kwa sababu tangu aingie kwenye riadha amewaweka wenzake wote pembeni na sio tuu pembeni bali mbali huko.

Jana kwenye Malumbano ya Hoja, ITV Makonda mbele.
Sokoni huko Makonda.
Bodaboda nao Makonda.
Kwenye Daladala Makonda.

Kwani Makonda kafanyaje?
Nilipofuatilia zaidi wengi wa washangiliaji wake wanasema kuwa Makonda ndiye Mtetezi wao, Makonda ndiye Magufuli wao.
Kwamba kwa nchi hii Watanzania waliowengi wanamchukulia Magufuli ndiye Masihi na sasa mrithi wake ni Makonda. Hayo ni mawazo na mtazamo wa watanzania hasa wa hali ya chini ambao ni zaidi ya asilimia 80 hivi.

Sio Chadema, sio ccm, sio Act hakuna mwanasiasa mashuhuri na mwenye ushawishi kwa Tanzania kumzidi Makonda. Hii inamaanisha nini? Kama hali itaendelea hivi basi Watu wataanza kumpenda na upendo siku zote uko na nguvu kuliko Mauti.

Ingawaje mimi sio mfuasi wa siasa za Makonda lakini nikiri kwa ukweli kuwa yeye ndiye amebeba kwa sasa siasa za nchi yetu. Jina lake likiwa kubwa na lenye kuandikwa na kusemwa na waliowengi.

Wasalamu
Jamaa anakubalika
 
Kwema Wakuu!

Sijui anatumia uchawi gani.
Sijui anatumia mbinu gani za kimedani.
Lakini huyu jamaa kwa sasa hakuna mwanasiasa yoyote ambaye anamsogelea kwa umaarufu hata kwa kilometa mia moja.

Kama ni riadha za siasa tunasema Makonda angeshatangazwa ndiye Mshindi kwa sababu tangu aingie kwenye riadha amewaweka wenzake wote pembeni na sio tuu pembeni bali mbali huko.

Jana kwenye Malumbano ya Hoja, ITV Makonda mbele.
Sokoni huko Makonda.
Bodaboda nao Makonda.
Kwenye Daladala Makonda.

Kwani Makonda kafanyaje?
Nilipofuatilia zaidi wengi wa washangiliaji wake wanasema kuwa Makonda ndiye Mtetezi wao, Makonda ndiye Magufuli wao.
Kwamba kwa nchi hii Watanzania waliowengi wanamchukulia Magufuli ndiye Masihi na sasa mrithi wake ni Makonda. Hayo ni mawazo na mtazamo wa watanzania hasa wa hali ya chini ambao ni zaidi ya asilimia 80 hivi.

Sio Chadema, sio ccm, sio Act hakuna mwanasiasa mashuhuri na mwenye ushawishi kwa Tanzania kumzidi Makonda. Hii inamaanisha nini? Kama hali itaendelea hivi basi Watu wataanza kumpenda na upendo siku zote uko na nguvu kuliko Mauti.

Ingawaje mimi sio mfuasi wa siasa za Makonda lakini nikiri kwa ukweli kuwa yeye ndiye amebeba kwa sasa siasa za nchi yetu. Jina lake likiwa kubwa na lenye kuandikwa na kusemwa na waliowengi.

Wasalamu
Labda una obsession na Makonda tu kama walivyo watanzania wengi zaidi ya 90% ambao ni wajinga.

Je ni kweli wananchi Wanasikilizwa ? Hilo pekee siyo suluhisho.

Hakuna mtu aliyeyatuliwa shida yake na Makonda mpaka sasa toka aanze ziara zake

Ukiamini katika uliyoyaandika unanithibitishia kuwa mfumo wa utendaji na utoa huduma wa Serikali umekufa.

Barack Obama alipotembelea Ghana Julai 11, 2009 alisema "Africa doesn't need strongmen, it needs strong institutions,”

Kwa kuwa strong men watakufa ila strong institutions zitadumu milele.

Na hiyo ambayo Barack Obama alikuwa anaiponda ndiyo "Magufulism". Nchi inamtegemea mtu mmoja kwa maguvu yake na akili zake, akifa na mfumo umekufa.

Kama unasema unasema Makonda ni mouthpiece ya prez, then the prez has shown weakness. Unawateua watendaji wewe mwenyewe, je unashindwaje kuwawajibisha hadi "mwenezi" ndiyo awafokee. ??
 
Kwema Wakuu!

Sijui anatumia uchawi gani.
Sijui anatumia mbinu gani za kimedani.
Lakini huyu jamaa kwa sasa hakuna mwanasiasa yoyote ambaye anamsogelea kwa umaarufu hata kwa kilometa mia moja.

Kama ni riadha za siasa tunasema Makonda angeshatangazwa ndiye Mshindi kwa sababu tangu aingie kwenye riadha amewaweka wenzake wote pembeni na sio tuu pembeni bali mbali huko.

Jana kwenye Malumbano ya Hoja, ITV Makonda mbele.
Sokoni huko Makonda.
Bodaboda nao Makonda.
Kwenye Daladala Makonda.

Kwani Makonda kafanyaje?
Nilipofuatilia zaidi wengi wa washangiliaji wake wanasema kuwa Makonda ndiye Mtetezi wao, Makonda ndiye Magufuli wao.
Kwamba kwa nchi hii Watanzania waliowengi wanamchukulia Magufuli ndiye Masihi na sasa mrithi wake ni Makonda. Hayo ni mawazo na mtazamo wa watanzania hasa wa hali ya chini ambao ni zaidi ya asilimia 80 hivi.

Sio Chadema, sio ccm, sio Act hakuna mwanasiasa mashuhuri na mwenye ushawishi kwa Tanzania kumzidi Makonda. Hii inamaanisha nini? Kama hali itaendelea hivi basi Watu wataanza kumpenda na upendo siku zote uko na nguvu kuliko Mauti.

Ingawaje mimi sio mfuasi wa siasa za Makonda lakini nikiri kwa ukweli kuwa yeye ndiye amebeba kwa sasa siasa za nchi yetu. Jina lake likiwa kubwa na lenye kuandikwa na kusemwa na waliowengi.

Wasalamu
Peleka ushuzi wako uko
 
Kwema Wakuu!

Sijui anatumia uchawi gani.
Sijui anatumia mbinu gani za kimedani.
Lakini huyu jamaa kwa sasa hakuna mwanasiasa yoyote ambaye anamsogelea kwa umaarufu hata kwa kilometa mia moja.

Kama ni riadha za siasa tunasema Makonda angeshatangazwa ndiye Mshindi kwa sababu tangu aingie kwenye riadha amewaweka wenzake wote pembeni na sio tuu pembeni bali mbali huko.

Jana kwenye Malumbano ya Hoja, ITV Makonda mbele.
Sokoni huko Makonda.
Bodaboda nao Makonda.
Kwenye Daladala Makonda.

Kwani Makonda kafanyaje?
Nilipofuatilia zaidi wengi wa washangiliaji wake wanasema kuwa Makonda ndiye Mtetezi wao, Makonda ndiye Magufuli wao.
Kwamba kwa nchi hii Watanzania waliowengi wanamchukulia Magufuli ndiye Masihi na sasa mrithi wake ni Makonda. Hayo ni mawazo na mtazamo wa watanzania hasa wa hali ya chini ambao ni zaidi ya asilimia 80 hivi.

Sio Chadema, sio ccm, sio Act hakuna mwanasiasa mashuhuri na mwenye ushawishi kwa Tanzania kumzidi Makonda. Hii inamaanisha nini? Kama hali itaendelea hivi basi Watu wataanza kumpenda na upendo siku zote uko na nguvu kuliko Mauti.

Ingawaje mimi sio mfuasi wa siasa za Makonda lakini nikiri kwa ukweli kuwa yeye ndiye amebeba kwa sasa siasa za nchi yetu. Jina lake likiwa kubwa na lenye kuandikwa na kusemwa na waliowengi.

Wasalamu
Msanii mazuri
 
Labda una obsession na Makonda tu kama walivyo watanzania wengi zaidi ya 90% ambao ni wajinga.
Ikiwa 90% ni wajinga basi nawe ni miongoni mwa hao wajinga kwa sababu nilichoandika hata hujakielewa sio ajabu imetoa maelezo marefu yasiyohusiana na uzi

Je ni kweli wananchi Wanasikilizwa ? Hilo pekee siyo suluhisho.
Wapi nimesema wananchi wanasikilizwa? Hivi unajua kusoma kwa ufahamu au unasoma kama upo kwenye mashindano ya kusoma imla kwa haraka haraka kama kasuku?
Hakuna mtu aliyeyatuliwa shida yake na Makonda mpaka sasa toka aanze ziara zake
Soma tena uzi alafu uelewe uzi Unazungumzia jambo gani.

Ukiamini katika uliyoyaandika unanithibitishia kuwa mfumo wa utendaji na utoa huduma wa Serikali umekufa.
Hapa sio Kanisani au msikitini kwamba useme ninaamini au siamini. Mimi nimeeleza ninachokiona na kukisikia mtaani. Sio Masuala ya imani kama hadithi za NONDO mla Watu.
Barack Obama alipotembelea Ghana Julai 11, 2009 alisema "Africa doesn't need strongmen, it needs strong institutions,”

Kwa kuwa strong men watakufa ila strong institutions zitadumu milele.

Na hiyo ambayo Barack Obama alikuwa anaiponda ndiyo "Magufulism". Nchi inamtegemea mtu mmoja kwa maguvu yake na akili zake, akifa na mfumo umekufa.

Sasa kama unajua nchi inahitaji strong institution Kwa uelewa wako Unafikiri hiyo taasisi yenye nguvu inajengwa na nani kama sio kiongozi mmoja
Kama unasema unasema Makonda ni mouthpiece ya prez, then the prez has shown weakness. Unawateua watendaji wewe mwenyewe, je unashindwaje kuwawajibisha hadi "mwenezi" ndiyo awafokee. ??

Kwa kukurahisishia ni kuwa mada ilikuwa inasema Mpaka sasa Makonda ndiye mwanasiasa maarufu kuliko wote.
 
Kwema Wakuu!

Sijui anatumia uchawi gani.
Sijui anatumia mbinu gani za kimedani.
Lakini huyu jamaa kwa sasa hakuna mwanasiasa yoyote ambaye anamsogelea kwa umaarufu hata kwa kilometa mia moja.

Kama ni riadha za siasa tunasema Makonda angeshatangazwa ndiye Mshindi kwa sababu tangu aingie kwenye riadha amewaweka wenzake wote pembeni na sio tuu pembeni bali mbali huko.

Jana kwenye Malumbano ya Hoja, ITV Makonda mbele.
Sokoni huko Makonda.
Bodaboda nao Makonda.
Kwenye Daladala Makonda.

Kwani Makonda kafanyaje?
Nilipofuatilia zaidi wengi wa washangiliaji wake wanasema kuwa Makonda ndiye Mtetezi wao, Makonda ndiye Magufuli wao.
Kwamba kwa nchi hii Watanzania waliowengi wanamchukulia Magufuli ndiye Masihi na sasa mrithi wake ni Makonda. Hayo ni mawazo na mtazamo wa watanzania hasa wa hali ya chini ambao ni zaidi ya asilimia 80 hivi.

Sio Chadema, sio ccm, sio Act hakuna mwanasiasa mashuhuri na mwenye ushawishi kwa Tanzania kumzidi Makonda. Hii inamaanisha nini? Kama hali itaendelea hivi basi Watu wataanza kumpenda na upendo siku zote uko na nguvu kuliko Mauti.

Ingawaje mimi sio mfuasi wa siasa za Makonda lakini nikiri kwa ukweli kuwa yeye ndiye amebeba kwa sasa siasa za nchi yetu. Jina lake likiwa kubwa na lenye kuandikwa na kusemwa na waliowengi.

Wasalamu
Kataa wahuni #Polepole !
Ngoja tuone hizi mbio zisijekuwa ni zile za kuishi a ukingoni !
 
Ikiwa 90% ni wajinga basi nawe ni miongoni mwa hao wajinga kwa sababu nilichoandika hata hujakielewa sio ajabu imetoa maelezo marefu yasiyohusiana na uzi


Wapi nimesema wananchi wanasikilizwa? Hivi unajua kusoma kwa ufahamu au unasoma kama upo kwenye mashindano ya kusoma imla kwa haraka haraka kama kasuku?

Soma tena uzi alafu uelewe uzi Unazungumzia jambo gani.


Hapa sio Kanisani au msikitini kwamba useme ninaamini au siamini. Mimi nimeeleza ninachokiona na kukisikia mtaani. Sio Masuala ya imani kama hadithi za NONDO mla Watu.


Sasa kama unajua nchi inahitaji strong institution Kwa uelewa wako Unafikiri hiyo taasisi yenye nguvu inajengwa na nani kama sio kiongozi mmoja


Kwa kukurahisishia ni kuwa mada ilikuwa inasema Mpaka sasa Makonda ndiye mwanasiasa maarufu kuliko wote.
Na huo ndio ukweli wenyewe !
JPM alizikonga nyoyo za watu wa hali ya chini hapa Nchini !!
Ndio maana hata anapotokea msanii akaigiza kama alivyokuwa akifanya Mwamba watu inakuwa ni rahisi kumwamini !
Ngoja Tusubiri tuone !!
 
Kwema Wakuu!

Sijui anatumia uchawi gani.
Sijui anatumia mbinu gani za kimedani.
Lakini huyu jamaa kwa sasa hakuna mwanasiasa yoyote ambaye anamsogelea kwa umaarufu hata kwa kilometa mia moja.

Kama ni riadha za siasa tunasema Makonda angeshatangazwa ndiye Mshindi kwa sababu tangu aingie kwenye riadha amewaweka wenzake wote pembeni na sio tuu pembeni bali mbali huko.

Jana kwenye Malumbano ya Hoja, ITV Makonda mbele.
Sokoni huko Makonda.
Bodaboda nao Makonda.
Kwenye Daladala Makonda.

Kwani Makonda kafanyaje?
Nilipofuatilia zaidi wengi wa washangiliaji wake wanasema kuwa Makonda ndiye Mtetezi wao, Makonda ndiye Magufuli wao.
Kwamba kwa nchi hii Watanzania waliowengi wanamchukulia Magufuli ndiye Masihi na sasa mrithi wake ni Makonda. Hayo ni mawazo na mtazamo wa watanzania hasa wa hali ya chini ambao ni zaidi ya asilimia 80 hivi.

Sio Chadema, sio ccm, sio Act hakuna mwanasiasa mashuhuri na mwenye ushawishi kwa Tanzania kumzidi Makonda. Hii inamaanisha nini? Kama hali itaendelea hivi basi Watu wataanza kumpenda na upendo siku zote uko na nguvu kuliko Mauti.

Ingawaje mimi sio mfuasi wa siasa za Makonda lakini nikiri kwa ukweli kuwa yeye ndiye amebeba kwa sasa siasa za nchi yetu. Jina lake likiwa kubwa na lenye kuandikwa na kusemwa na waliowengi.

Wasalamu

Kumbe ni maarufu, nilidhani ni mwanasiasa Bora. Umaarufu wake umesababisha umeme wa uhakika kupatikana, bei ya sukari imeshuka, treni ya mwendokasi imeanza juzi mwezi wa January. Unaweza kuwa maarufu kwa mambo ya kijinga, wenye akili zetu tunapima ubora na sio kiki.
 
Kwema Wakuu!

Sijui anatumia uchawi gani.
Sijui anatumia mbinu gani za kimedani.
Lakini huyu jamaa kwa sasa hakuna mwanasiasa yoyote ambaye anamsogelea kwa umaarufu hata kwa kilometa mia moja.

Kwani Makonda kafanyaje?
Nilipofuatilia zaidi wengi wa washangiliaji wake wanasema kuwa Makonda ndiye Mtetezi wao, Makonda ndiye Magufuli wao.
Kwamba kwa nchi hii Watanzania waliowengi wanamchukulia Magufuli ndiye Masihi na sasa mrithi wake ni Makonda. Hayo ni mawazo na mtazamo wa watanzania hasa wa hali ya chini ambao ni zaidi ya asilimia 80 hivi.

Ingawaje mimi sio mfuasi wa siasa za Makonda lakini nikiri kwa ukweli kuwa yeye ndiye amebeba kwa sasa siasa za nchi yetu. Jina lake likiwa kubwa na lenye kuandikwa na kusemwa na waliowengi.

Wasalamu
Naunga mkono hoja Bado kuna ubishi kuwa hiki ni chuma? Je, chuma hiki ni chuma kingine ila ni kama kile au chuma hiki ni kile kile kimerejea kivingine?
P
 
Kwema Wakuu!

Sijui anatumia uchawi gani.
Sijui anatumia mbinu gani za kimedani.
Lakini huyu jamaa kwa sasa hakuna mwanasiasa yoyote ambaye anamsogelea kwa umaarufu hata kwa kilometa mia moja.

Kama ni riadha za siasa tunasema Makonda angeshatangazwa ndiye Mshindi kwa sababu tangu aingie kwenye riadha amewaweka wenzake wote pembeni na sio tuu pembeni bali mbali huko.

Jana kwenye Malumbano ya Hoja, ITV Makonda mbele.
Sokoni huko Makonda.
Bodaboda nao Makonda.
Kwenye Daladala Makonda.

Kwani Makonda kafanyaje?
Nilipofuatilia zaidi wengi wa washangiliaji wake wanasema kuwa Makonda ndiye Mtetezi wao, Makonda ndiye Magufuli wao.
Kwamba kwa nchi hii Watanzania waliowengi wanamchukulia Magufuli ndiye Masihi na sasa mrithi wake ni Makonda. Hayo ni mawazo na mtazamo wa watanzania hasa wa hali ya chini ambao ni zaidi ya asilimia 80 hivi.

Sio Chadema, sio ccm, sio Act hakuna mwanasiasa mashuhuri na mwenye ushawishi kwa Tanzania kumzidi Makonda. Hii inamaanisha nini? Kama hali itaendelea hivi basi Watu wataanza kumpenda na upendo siku zote uko na nguvu kuliko Mauti.

Ingawaje mimi sio mfuasi wa siasa za Makonda lakini nikiri kwa ukweli kuwa yeye ndiye amebeba kwa sasa siasa za nchi yetu. Jina lake likiwa kubwa na lenye kuandikwa na kusemwa na waliowengi.

Wasalamu
Makonda ndiyo habari ya mjini. Ana akili sana Makonda
 
Naona ukiingia YouTube trending kwenye top 20 makonda video zimejaa yeye tu kawapiku Mpaka wasanii.
 
Makonda ni ushahidi tosha huko CCM wananchi wana-miss aina ya uongozi kipindi cha Magufuli. Hawana mtu wa kumlilia shida.

Hao wapinzani wakati CCM inaachana na style ya uongozi badala ya wao kuziba gap kwa faida ya kisiasa ndio kwanza wakipata wasaa kwenye media yule mtu alikuwa hafai. Leo wamebaki kujitekenya na kucheka wenyewe wakijiaminisha wana support yenye nguvu nchini.

Watanzania hawana trust tena na uongozi wa upinzani na Makonda ndio anaenda kuudhofisha kabisa.

Siku Makonda anatangazwa katibu mwenyezi wengine tulishaiona hii move ya kisayansi inalenga nini na si ajabu msingi wake ni use of ‘big data’.
 
Back
Top Bottom