Umesema sawa. Ila kwa UPINZANI uchwara hawa ambao wanaweka mikakati ya kumuangusha DIAMOND bila kujua kundi la vijana wapenda miziki ya ngono liko nyuma yake HAKUNA KITU
Kuna wakati Mbowe akili ilikuwa vzr tu. Tena baada ya msiba akacheza kete vzr kwa kusema "tumepoteza kiongozi shupavu, pamoja na mapungufu lkn alikuwa anasimamia kile anaamini" na akasema ni kiongozi aliyekuwa na UTHUBUTU" Baadae wameanza kufukuza na kivuli cha marehemu muda wote ni UJINGA
Upinzani umekuwa kosoa kosoa tu hata yaliyo mema, huwezi kukosoa kila mradi mf JNHP, ujenzi wa Barabara kimara, STG , lkn kumbuka kuna Hosp zimejengwa na n.k wajue kupongeza na kukosoa sisi tusio na chama tunao upinzani wao ni upingaji.
Kwenye msiba wangeangalia hisia za walio wengi . Hivi watu wooote waliokuwa wanakimbia kufuatia msiba walilipwa? Kama sio cheza na hisia zao. Nini wanataka? Weka tumaini kupata kupitia nyinyi, mfikiria wanajiuliza kama kipenzi wao wamehujumiwa halafu unakuja kwa furaha NYIIINGI unategemea nini?
Mwisho suluhu ya nchi iko mikononi mwa wananchi wanamaamuzi, lkn kwa kutumia nchi za nje na Taasisi za nje wananchi wakiambiwa mmelipwa na mabeberu kwanini wasiamini?
Upinzani hautaki kukosolewa kwa kuujenga ukitak kuamini nenda TWITER Republic. Ukikosoa unakula BLOCK ile tabia ya kusifu waliyoikataa kwa JpM wanaitaka wao , usifu tu huko Twiter kimsingi walikuwa wanamuonea wivu marehemu kwa wapambe wengi kuwa wanamsifu hata kufannisha na mungu. Ila UPINZANI ukiwakosoa Block inakuhusu.
Ni WAJINGA hususani chama kile wengine wako 50/50.
Hawatashinda. Wamekosa ushawishi na SSH anapata ushawishi ambao hakuwa nao mtaani kupitia wao sasa