Huku ndoa yake ikipumulia mashine, Jack Wolper apata bwana mpya!

Ila kwa jojo sikutarajia maisha aliyo yachagua shule alikuwa kapole mwenyewe
 
Tatizo haamini kuwa ameshakuwa mtu mzima bado anajiona ni binti tu ndio maana anaangaika na vijana pia acha apigwee matukio hadi maji aite mma..
 
absolutely Sweets,
wanatakiwa wakae zao low key wa-enjoy matunda ya huba lao kimya kimya..!!
'unakula kisha unafuta mdomo', zile za kula nyama nyamaza..!!😂😂
 
Wanawake wa kisasa sijui kuna lishe gani walikosa ambayo inasaidia ubongo kufanya kazi sawa sawa

Sasa huyu ni mtu ambaye wolper anaona ni sahihi kutoka nae katika umri huo wa miaka 37+. Yaani mtu umeshaolewa, unawatoto wawili unaacha kutulia kulea watoto, huyo kijana muache ajirushe kuna vitu anahitaji ili kichwa chake kifanye kazi sawa sawa ambavyo hauwezi mpa hata ufanyeje.

Wolper umri umeenda unaanza leta ligi na watoto wa kiume ambao ndio wapo kwenye prime, tangu lini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…