raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,504
- 35,520
Ila kwa jojo sikutarajia maisha aliyo yachagua shule alikuwa kapole mwenyeweUna akili sana!
Hilia ndilo swali huwa najiuliza hadi kwa Jokate…
Wanawapendea nini watu maarufu wenzao? Wote ni wazuri, lazima kuna wanaume decent kibao wanawataka, kwanini wasichague kutulia wakaachana na hizo hekaheka za wanaume maarufu?
Siku wakija kuzijua raha tunazozipata kwa hawa wanaume low key, waliotuzidi umri kiasi watalia kwa kuchelewa!
ina maana hamkuwahi kuonana...?Chozi limenitoka wakati naandika hiyo post! Aliwahi kuniomba mara nyingi nionane nae nikamzungusha!
Apumzike kwa amani.
Kwa sasa hivi hatua aliyopo tena basii 😄 mkigusa hapo hii forum itageuzwa sehemu ya kutuma na kupokea pesa tuuuHuyo nae kuna siku yake, subirini tutamfikia 🤣🤣🤣
Tatizo haamini kuwa ameshakuwa mtu mzima bado anajiona ni binti tu ndio maana anaangaika na vijana pia acha apigwee matukio hadi maji aite mma..View attachment 2831270Ndoa ndoano! Mambo sio mambo!
Muigizaji aliyegeukia biashara, mwanadada Jackline Wolper Massawe ‘Wolper’ inaripotiwa kupata bwana mpya baada ya ndoa yake kukumbwa na sintofahamu nyingi.
Ikumbukwe Wolper alifunga ndoa takatifu na aliyekuwa baba wa mtoto wake Richard ‘Rich Mitindo’ 19/11/2022.
Wawili hao walioonekana kuwa na huba la moto, shatashata lililokolea nazi enzi za uchumba wao uliopelekea Wolper kufikia uamuzi wa kumzalia kabisa mtoto Rich hata kabla ya kufunga ndoa.
Mara nyingi walionekana wenye furaha na mapenzi tele, wakipop champagne kila uchwao na kushona sare!
Wambea na wenye husda walinyanyasika vya kutosha!
Jinamizi liliyasogelea mapenzi yao baada ya kufunga pingu za maisha, na Wolper kubarikiwa mtoto wa pili.
Ilianza kuripotiwa ndoa kuingia mdudu baada ya mumewe kuonekana akila maraha China, mbaya zaidi kwa kipindi kirefu aliendelea kubaki huko bila kurejea nchini ilipo familia yake kitendo kilichozua minong’ono!
Wolper alishindwa kujizuia, akaanza kuongea mengi ya uchungu hata alipopata nafasi ya kuhojiwa na waandishi aliongea ambayo wengi waliyatafsiri kama alama nyekundu ktk ndoa yao.
Baada ya kipindi kirefu cha mumewe kuwa nje ya nchi, ni wazi Wolper uvumilivu umemshinda nae kaamua kujipa ‘raha’ kwa kutoka kimapenzi na mwanaume anayefahamika kama Vincent Azrone almaarufu G Nex.
Mwanaume huyo imebainika kuwa ni meneja katika ukumbi maarafu wa starehe, Havoc Night Spot uliopo Masaki jijini Dar Es Salaam.
Wapenzi hao wameonekana mara nyingi pamoja, hadi katika sherehe ya kuzaliwa kwa mwaume huyo, wawili hao walikaa pamoja bila kificho!
Taarifa za uhakika ni kwamba G Nex yeye bado hajaoa, na kiumri anaonekana mdogo kuliko Wolper.
Mara nyingi ameonekana akiwa anaendesha gari yake Toyota Crown nyeusi.
My take; Wolper, najua ilivyo vigumu kuishi ktk stress za mapenzi na mwanaume asiyeeleweka.
Sitaki kukuhukumu kwamba ulikosea kuolewa na kijana mdogo kwako kiumri ambaye damu bado ya moto anahitaji kufanya mengi kama ambayo wewe ulifanya kwa wakati wako…
Nakuombea kheri, haya yawe ni mapito mpate kuyaweka sawa na mumeo, ndoa na iheshimiwe na watu wote!
Pichani ni mpenzi mpya mjini wa Jack Wolper, Vincent Azrone ‘G Nex’
Wenu katika ubuyu,
Nifah.
Saa hio itakuwa ttz sio yeye ttz mfumo 😄 utaenda na wewe sambambaLazima nihakikishiwe ulinzi kwanza, japo hanaga noma yule ameshazoea maisha ya umaarufu.
Haipendezei bn 😁😁Kuna sisi miili yetu membamba kama kagame afu warefu, unakuta yy mfupi mnene mkiwa bar atataka aoneshe unampenda sana kubabaqe utasumbuliwaSasa kwani kuna shida gani akideka jamani? Lols
Tena mfumo utatakiwa unishukuru kwa kumuweka sawa mtu wao.Saa hio itakuwa ttz sio yeye ttz mfumo 😄 utaenda na wewe sambamba
Sasa wewe unampangiaje mtu namna ya kuishi 😄Tena mfumo utatakiwa unishukuru kwa kumuweka sawa mtu wao.
Akiachana na huu ujinga wake wa kutoka na wanaume wa mjini washenzi kama Vunjabei, akatulia na mwanaume asiye na mengi ya kumpa stress, atakuwa kiongozi bora sana!
Sasa asipojiongeza kwa kudeka si unaweza kudhani uko na ki-simtank cha lita 200?Haipendezei bn 😁😁Kuna sisi miili yetu membamba kama kagame afu warefu, unakuta yy mfupi mnene mkiwa bar atataka aoneshe unampenda sana kubabaqe utasumbuliwa
akuwe slay queen till date while she got two beautiful kids..? Ama uslei kwini unapaswa uishe lini..!?Sema tu ni tabia za mtu binafsi 😇😇 sema unakuta hao ma slay queen 👑 wanakuaga na mambo mengi dats all😊😊
Wasalaam
Kwa Sasa +267
absolutely Sweets,Una akili sana!
Hili ndilo swali huwa najiuliza hadi kwa Jokate…
Wanawapendea nini watu maarufu wenzao? Wote ni wazuri, lazima kuna wanaume decent kibao wanawataka, kwanini wasichague kutulia wakaachana na hizo hekaheka za wanaume maarufu?
Siku wakija kuzijua raha tunazozipata kwa hawa wanaume low key, waliotuzidi umri kiasi watalia kwa kuchelewa!
UkoboajiNimekuja kugundua Wopler anapenda vivulana vidogo, wakubwa huwa ni madanga tu.
Refer Harmonize, kale kavulana sijui brown, mume Rich ndio hivyo nae mdogo…