Huku Tabora kilo moja ya mchele imefika 800 (mia nane)

Wauzaji wa containers

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2024
Posts
615
Reaction score
1,443
Nitashangaa kusikia MTU analalamika kuhusu njaa wakati mchele umeshuka Sana bei.

Nunua chakula cha kutosha uweke ndani itasaidia kuishi vizuri wewe na familia yako.

Tuwe Kama wazungu sio kila siku MTU unawaza chakula na kodi tujitahidi kuishi kwa mipango na mikakati ya Muda mrefu.
 
Kazi ya mama ni njema sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…