To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
🤣🤣🤣🤣🤣 KabisakabisaHalafu bado Shilole anatuuzia sahani ya Wali njegere 15,000/= hii si sawa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣🤣 KabisakabisaHalafu bado Shilole anatuuzia sahani ya Wali njegere 15,000/= hii si sawa
Ulimudesi beeHuku niliko kilo 400
Chezea mama Samia wewe. Maza noma yani tutanenepa balaa. Safi sana maza utawale hadi ukinaiNtashangaa kusikia MTU analalamika kuhusu njaa wakati mchele umeshuka Sana bei.
Nunua chakula cha kutosha uweke ndani itasaidia kuishi vizuri wewe na familia yako.
Tuwe Kama wazungu sio kila siku MTU unawaza chakula na kodi tujitahidi kuishi kwa mipango na mikakati ya Muda mrefu.
Sisi hatulimi wala kumiliki ardhi, utakua umekoseaHapana la ukoo wenu
Wewe unasema 350 huku bonyokwa kwa sis wayahudi weusi bure.Mbona bei sana??
Huku bondeko 350
Basi tulia acha ushangingi 😹Sisi hatulimi wala kumiliki ardhi, utakua umekosea
☕☕☕☕☕☕☕☕Ntashangaa kusikia MTU analalamika kuhusu njaa wakati mchele umeshuka Sana bei.
Nunua chakula cha kutosha uweke ndani itasaidia kuishi vizuri wewe na familia yako.
Tuwe Kama wazungu sio kila siku MTU unawaza chakula na kodi tujitahidi kuishi kwa mipango na mikakati ya Muda mrefu.
Haina shida, just nilifikiri bonde lako linavunwa mchele kwa 350, nilitaka nikupe oda na offer ya 3,500Basi tulia acha ushangingi 😹
Bonde lenu limepunguza uzalishaji?? 😹😹😹Haina shida, just nilifikiri bonde lako linavunwa mchele kwa 350, nilitaka nikupe oda na offer ya 3,500
Kila mtu angetamani kufuata ushauri wako, lakini watanzania wengi mlo wake wa siku inafika mpaka mchana hajawa na uhakika wa siku hiyo kama atafanikisha.Ntashangaa kusikia MTU analalamika kuhusu njaa wakati mchele umeshuka Sana bei.
Nunua chakula cha kutosha uweke ndani itasaidia kuishi vizuri wewe na familia yako.
Tuwe Kama wazungu sio kila siku MTU unawaza chakula na kodi tujitahidi kuishi kwa mipango na mikakati ya Muda mrefu.
🤣🤣🤣🤣🤣Halafu bado Shilole anatuuzia sahani ya Wali njegere 15,000/= hii si sawa
😂 sisi hatujawahi kabisa kumiliki bonde kama lakoBonde lenu limepunguza uzalishaji?? 😹😹😹
Huwenda ikawa kweli.Ila hiyo bei ni yakweli?
Umeanza porojo madam😂😂😂😂Mbona bei sana??
Huku bondeko 350
Wakati wengine tunakula kwa buku jii huku kitaa[emoji2][emoji2][emoji2]Halafu bado Shilole anatuuzia sahani ya Wali njegere 15,000/= hii si sawa