Huku Tabora kilo moja ya mchele imefika 800 (mia nane)

Huku Tabora kilo moja ya mchele imefika 800 (mia nane)

Ntashangaa kusikia MTU analalamika kuhusu njaa wakati mchele umeshuka Sana bei.

Nunua chakula cha kutosha uweke ndani itasaidia kuishi vizuri wewe na familia yako.

Tuwe Kama wazungu sio kila siku MTU unawaza chakula na kodi tujitahidi kuishi kwa mipango na mikakati ya Muda mrefu.
Piga picha ya risiti uliyonunulia mchele kwa bei ya tsh mia nane au shut up for realy mimi nimechoka kuchukua muda wangu kusoma upuuzi...watu kama hawa wawe wanaleta ushahidi.. usikute ni bei za vyakula vilivyoisha muda wake mifugo ndio inalishwa
 
Ntashangaa kusikia MTU analalamika kuhusu njaa wakati mchele umeshuka Sana bei.

Nunua chakula cha kutosha uweke ndani itasaidia kuishi vizuri wewe na familia yako.

Tuwe Kama wazungu sio kila siku MTU unawaza chakula na kodi tujitahidi kuishi kwa mipango na mikakati ya Muda mrefu.
Tatizo HELA sasa
 
Ntashangaa kusikia MTU analalamika kuhusu njaa wakati mchele umeshuka Sana bei.

Nunua chakula cha kutosha uweke ndani itasaidia kuishi vizuri wewe na familia yako.

Tuwe Kama wazungu sio kila siku MTU unawaza chakula na kodi tujitahidi kuishi kwa mipango na mikakati ya Muda mrefu.
UMEANDIKA KITU CHA MAANA kabisa
tulipaswa tukulipe kwa kutupatia hii taarifa. ila wapo watakaokukejeli
huku tarime tunanunua kwa 1,700
 
Back
Top Bottom