Yoav Gallant
JF-Expert Member
- May 23, 2023
- 2,122
- 4,699
Ila hiyo bei ni yakweli?Tabora hakunaga mchele mbaya.
Mchele safi tena hauhangaiki kuuchambua.
Weka pichaHuku niliko kilo 400
nitumie kilo 200 mkuuHuku niliko kilo 400
Nitumie kilo 500Mbona bei sana??
Huku bondeko 350
Tuma hela na ya kutolea 😹Nitumie kilo 500
Una maanisha bondelako au?Mbona bei sana??
Huku bondeko 350
Piga picha ya risiti uliyonunulia mchele kwa bei ya tsh mia nane au shut up for realy mimi nimechoka kuchukua muda wangu kusoma upuuzi...watu kama hawa wawe wanaleta ushahidi.. usikute ni bei za vyakula vilivyoisha muda wake mifugo ndio inalishwaNtashangaa kusikia MTU analalamika kuhusu njaa wakati mchele umeshuka Sana bei.
Nunua chakula cha kutosha uweke ndani itasaidia kuishi vizuri wewe na familia yako.
Tuwe Kama wazungu sio kila siku MTU unawaza chakula na kodi tujitahidi kuishi kwa mipango na mikakati ya Muda mrefu.
Tatizo HELA sasaNtashangaa kusikia MTU analalamika kuhusu njaa wakati mchele umeshuka Sana bei.
Nunua chakula cha kutosha uweke ndani itasaidia kuishi vizuri wewe na familia yako.
Tuwe Kama wazungu sio kila siku MTU unawaza chakula na kodi tujitahidi kuishi kwa mipango na mikakati ya Muda mrefu.
UMEANDIKA KITU CHA MAANA kabisaNtashangaa kusikia MTU analalamika kuhusu njaa wakati mchele umeshuka Sana bei.
Nunua chakula cha kutosha uweke ndani itasaidia kuishi vizuri wewe na familia yako.
Tuwe Kama wazungu sio kila siku MTU unawaza chakula na kodi tujitahidi kuishi kwa mipango na mikakati ya Muda mrefu.
Ndo alilima au?Kazi ya mama ni njema sana
Ni kweli Tabora Mchele unauzwa 800-1000kula vilivyoisha muda wake mifugo ndio inalishwa
Hapana la ukoo wenuuna maanisha bondelako au?
Utakuwa mbinguniHuku niliko kilo 400