Huku Tabora kilo moja ya mchele imefika 800 (mia nane)

Chezea mama Samia wewe. Maza noma yani tutanenepa balaa. Safi sana maza utawale hadi ukinai
 
β˜•β˜•β˜•β˜•β˜•β˜•β˜•β˜•
 
Kila mtu angetamani kufuata ushauri wako, lakini watanzania wengi mlo wake wa siku inafika mpaka mchana hajawa na uhakika wa siku hiyo kama atafanikisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…