Huku wakiwapumbaza watanzania kwa Mpira, nyuma ya pazia wanauza Nchi

acha uongo bandari inakodishwa haiuzwi na dunia nzima wanafanya hivi
 
...mtanikumbuka kwa mema...
 
Nchi hii ina Wananchi wajinga sana
 
Watanzania ni wapumbavu sana!

Hata hivyo hayo ndio mliyokuwa mnayataka.

Mlionewa sana sasa mnapumua
Yes wamepumua
Mwenye kuiba wala hana wasiwasi na wala haulizwei na mamlaka ya uteuzi
 
Yeye mwenyewe anasimamiwa pale ni geresha hamna raisi pale
 
Nafikiri waombaji nao wako kazini. Mikataba ya ovyo ita replicate soon. Wahusika wote Mungu hatowaacha
 
Wewe maandiko yako bila kuwawekea lawama zako wamarekani hujisikii raha, ujinga wenu wenyewe, mliozoea kuufanya miaka yote, leo unakuja kusema kuna kila dalili CIA wanahusika kwenye hili, huu wako nao ni ujinga mtupu.

Kumbe CIA ndio wanawafanya viongozi wetu wawe mafisadi.!!
 
Hii nchi ukiwa serious nayo utakufa kwa presha. Ukiamka uko hai na u mzima wa afya fata mambo yako
 
Kwanini wanauza vya Tanganyika tu ? Huko visiwani hawana cha kuuza?
 
Mbona wanauza vya Tanganyika tu ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…