Huku wakiwapumbaza watanzania kwa Mpira, nyuma ya pazia wanauza Nchi

Huku wakiwapumbaza watanzania kwa Mpira, nyuma ya pazia wanauza Nchi

Kuongoza Tanzania ni rahisi Sana, leo tunapiga kelele kesho kimya
Uvivu wa kutafuta maarifa ni shida yetu, hizi kelele zote za hasira ni ukosefu wa upeo unaotokana na kutopenda kuelimika, hili ni tatizo lina umri wa miaka 62 sawa na uhuru wetu.
 
Back
Top Bottom