Huku wakiwapumbaza watanzania kwa Mpira, nyuma ya pazia wanauza Nchi

Watu wenyewe hatujielewi acha wajipigie tu maana tunaishia kundika makala tu twitter na jamii forum
 
Simba na yanga ndio cocaine ya wabongo walio wengi Sasa kila mitaa ya nchi hii ukienda ni midahalo ya simba na Yanga si wazee si vijana ,si asubuhi si mchana nahisi kuna spiritual implications katika haya si bure.
Sasa hivi vipindi vya michezo kujadili simba na yanga ni asubuhi mpaka usiku. Na ipindi vyote vina wasikilizaji wengi. Mambo muhimu kama haya hatapewi airtime.
 
Tatizo ni huyu Mkwere, ni Kiongozi wa hovyo haijawai pata kutokea. Ameipoteza nchi kwa sehemu kubwa na bado anaendelea kuipoteza.

Watu waliondoka mpaka na vyura wa kihansi kipindi cha utawala wake.​
 
Yaaani Maisha yanakwenda kasi sana!!!Hali imekuwa ngumu tunatafuta pesa ya kula tu kwasasa.
 
Nchi imeishauzwa,ilianza kuuzwa na mkapa,natamani tuingie vitani,tutandikwe jwtz yote ife,wamteke rais na ccm wote,wachapwe Shaba!!harsfu tuanze upya.
 
Nimesoma huo mkataba, yaani ndani ya huo mkataba hakuna hata kifungu kinachoeleza namna ya Kutransfer kutoka kwa mwekezaji kuja kwetu baada ya kuoperate kwa miaka, Hii maana yake siyo miaka 100 tu, hawa jamaa wanaweza kuimiliki bandari milele!
 
Sifa ya mtanzania ni kuorodhesha lawama, hana hoja yenye utatuzi hata moja!.

Spika kuolewa na bosi wa EWURA sio hoja yenye mantiki ndani yake, unataka kuniambia walianza uchumba mpaka wakaoana kabla hawajapata hivi vyeo?. Vipi kuhusu Kamala Harris ambaye ni wa pili kwa ukubwa kule Marekani na yeye kwa kushirikiana na mumewe wanaiibia nchi yao?.

Kwa sababu Spika kasoma na ni mwanamke basi asipewe cheo kisa uwepo wa maslahi binafsi?, hoja ya kitoto hii.

Mkataba haupo na haujaandikwa, ni makubaliano ya awali ya namna ya kuja kushirikiana katika siku zijazo.
Mpaka mada inafikia kuwa ni namna ya kuwa na mwekezaji wa kuendesha bandari hii ni aibu yetu ya kitaifa, kwamba hatuna uwezo wa kujiendesha na ni rahisi kwetu kutumiwa na wenye maslahi ya nje kwa faida yao huku tukiambulia pesa ndogo tu.

Waziri kutoa mitungi mia ya gesi naona kama ni maneno ya kuchafuana tu, yenye msingi wa wivu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…