Huku Zanzibar kuna mambo ya ajabu sana

Wanajamii forum, naomba kuuliza. Hivi mtu huwa anajiskia raha gani kuongea uongo au kuongelea kitu ambacho hakijui ukweli wake? Kwanini kama mtu hajui maana au tafsiri ya kitu asiulize kwa wenye kujua? Au anapata faida gani kuongea uongo??
Dunia hii ukitaka kuwa "siriasi" utaumia, Mungu mwenyewe hayupo serious!
 
Sio Tanga ndio ilifaa kuwa sehemu ya mkoa wa Zanzibar?
Tanga ina jumla ya watu milion mbili (2) hivi , zanzibari ina watu 1.5 milion.
Tanga ina jumla ya 2,045,205 ukubwa wa eneo, zanzibar ina 2,332 ukubwa wa eneo.

Mdogo anamfuata Mkubwa!
 
Reactions: T11
Bomba la maji =mfereji kitambo sana Zenji nitarudi tena
 
si poro bali ni polo, kipolo.

kiporo, uporo (chakula kilichopikwa jana)
 
Waliopitapita skuli,kimba wanaita yams.
 
Vikapu Wana ita SUSU unakwenda wapi Wana ita were kana kwenda wapi kijijini wanaita shamba utasikia unafanyikazi shamba gani Kuna mashamba ya BWEJUU.NUNGWI,KIZIMKAZI,MAKUNDUCHI, FUMBA, KITOGANI, ,MATEMWE, PAJE, MAHONDA, KIWENGWA, UBAGO, MICHANVI, hivi ni vijiji vya Zanzibar vilivyopo pembezoni mwa bahari na Kuna mahoteli ya kufa mtu wao kufanya mpanzi wana ita kutiana na wao Gest Hawa endi ni pembezoni mwa bahari kwenye mchanga unaweza fanya harusi ndani ya wiki inavunjika

Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
 

sina kumbukumbu kama mleta mada amedai wazanzibari hawajui kiswahili.labda uonyeshe.

halafu inaonekana umekasirika hivi?kwanini!!
 
Umepelekwa kufanya nini huko kipndi hiki cha uchaguzi?
 
Dalada za huku niteremshe kwa marehemi .niweke mchina mwisho.nateremka bububu huku gari Aina dyna ndo daladala

Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
 
Kwenye harage we ukapindua na kuweka kisimi a.k.a king'amuzi
 
sina kumbukumbu kama mleta mada amedai wazanzibari hawajui kiswahili.labda uonyeshe.

halafu inaonekana umekasirika hivi?kwanini!!
Muda mwengine ficha ujinga mkuu! Mtu anapoponda lugha wanayotumia wengine hiyo inadhihirisha wazi kuwa anawaponda hawajui kiswahili sio lazima mpaka aongee direct!! Au Zanzibar wanaongea kiingereza?
Uzushi haufai!! Nimekasirishwa na uzushi.
 
Muda mwengine ficha ujinga mkuu! Mtu anapoponda maneno wanayotumia wengine hiyo inadhihirisha wazi kuwa anawaponda hawajui kiswahili kiswahili sio lazima mpaka aongee direct!!
Uzushi haufai!! Nimekasirishwa na uzushi.

wewe una mizuka yako tu,wapi ameponda maneno yanyotumika zanzibar!!!

mada nzima mleta mada anasema anashangaa wewe unasema ameponda!!!
 
wewe una mizuka yako tu,wapi ameponda maneno yanyotumika zanzibar!!!

mada nzima mleta mada anasema anashangaa wewe unasema ameponda!!!
Anza mwanzo wa uzi! Kwanini asingekuwa anaulizia maana?! Kitu kama hukijui kuuliza sio ujinga! Kipi cha kushangaza sasa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…