[emoji1787][emoji1787]Si afadhali hata wangekuwa wanasema "shusha" sasa, wengi wanasema "tia"! Kuna sehemu inaitwa Dole konda akisema "Dole" anayeshuka hapo anasema "tia", au utasikia n'tie Dole hapo!
Yaani wale maneno mengi wanayoyaongea ukiyaleta kwa tafsiri ya bara unakuta ni Matusi
Eeh geti wanaita Jitobo'…Niweke Tobo la pili…', maana yake akushushe kwny enntrace ya pili pale Michenzani unguja
I believe youSi afadhali hata wangekuwa wanasema "shusha" sasa, wengi wanasema "tia"! Kuna sehemu inaitwa Dole konda akisema "Dole" anayeshuka hapo anasema "tia", au utasikia n'tie Dole hapo!
Yaani wale maneno mengi wanayoyaongea ukiyaleta kwa tafsiri ya bara unakuta ni Matusi
Eti "Li-Paulo" 😂😂Mgeni akifika Zanzibar, Watu wa huku ukiwatizama wanazuga kama hawana tyme nae!
Lakini lazima huwa wanamfuatilia nyuma nyuma kuona anaelekea wapi na ni mgeni wa nani!
Wakishajiridhisha mahala ulipofikia wakikuona tena!!
Utawasikia " Huyu si aishi pale kwa Ariiiiii!!" (Yaani mgeni wa Ally)
Wanawake huku Zanzibar waoga sana kusemeshwa njiani na mtu wa bara, yaani hata ukimsalimia anaitikia kwa sauti ya chini wala hasimami!
Huku Zanzibari;
Hakika huku Zanzibar ni tabu tupu nasubiri tarehe 30 nirudi zangu bara!
- Round about inaitwa (ikipinda) au (mviringo), kwenye daladala utasikia Shusha hapo ikipindaaah! Maana yake shusha round about
- Huku Zanzibar sufuria linaitwa dishi,
- Kisima cha maji kinaitwa kisima cha kuvuta
- Huku hakuna fundi bomba Bali kuna fundi mfereji, ukitaka maji ya bomba inabidi useme unaomba maji ya mferejini
- Pombe wanaita- moja moto moja baridi
- Ukitafta chupi utazunguka sana hupati hadi useme unatafta HAFU
- Shule huku zinaitwa skuli
- Ukitaka kununua chepe/koleo huku hawalijui hadi useme unataka Li-PAULO
Komeo wanaita li-chachaEti "Li-Paulo" 😂😂
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]pole sanaMgeni akifika Zanzibar, Watu wa huku ukiwatizama wanazuga kama hawana tyme nae!
Lakini lazima huwa wanamfuatilia nyuma nyuma kuona anaelekea wapi na ni mgeni wa nani!
Wakishajiridhisha mahala ulipofikia wakikuona tena!!
Utawasikia " Huyu si aishi pale kwa Ariiiiii!!" (Yaani mgeni wa Ally)
Wanawake huku Zanzibar waoga sana kusemeshwa njiani na mtu wa bara, yaani hata ukimsalimia anaitikia kwa sauti ya chini wala hasimami!
Huku Zanzibari;
Hakika huku Zanzibar ni tabu tupu nasubiri tarehe 30 nirudi zangu bara!
- Round about inaitwa (ikipinda) au (mviringo), kwenye daladala utasikia Shusha hapo ikipindaaah! Maana yake shusha round about
- Huku Zanzibar sufuria linaitwa dishi,
- Kisima cha maji kinaitwa kisima cha kuvuta
- Huku hakuna fundi bomba Bali kuna fundi mfereji, ukitaka maji ya bomba inabidi useme unaomba maji ya mferejini
- Pombe wanaita- moja moto moja baridi
- Ukitafta chupi utazunguka sana hupati hadi useme unatafta HAFU
- Shule huku zinaitwa skuli
- Ukitaka kununua chepe/koleo huku hawalijui hadi useme unataka Li-PAULO
Ya ZenjiDawa gan mkuu
Watumia hafu za Zenji mama?Ha ha haaa eti chupi inaitwa Hafu. Hatari sana
Duh nikisikia huko Zenji huwa nawaza kuwa ni sehemu ya kipekee sana.Si afadhali hata wangekuwa wanasema "shusha" sasa, wengi wanasema "tia"! Kuna sehemu inaitwa Dole konda akisema "Dole" anayeshuka hapo anasema "tia", au utasikia n'tie Dole hapo!
Yaani wale maneno mengi wanayoyaongea ukiyaleta kwa tafsiri ya bara unakuta ni Matusi
Inawezekana maana wamejaa tele 😏😏Nyie ndiyo wajeda mlioperekwa huko,kuibeba Ccm?
Wanapelekwa huko usiku kwa usiku.Inawezekana maana wamejaa tele 😏😏
Pisi kuipata ni ngumu sana, ni mara mia demu akatafunwe na mwenye wake watatu kuliko kukupa wewe mtu wa baraDuh nikiskia huko zenji huwa nawaza kuwa ni sehemu ya kipekee sana.
Lafudhi kama hizo vyakula tofauti vyao,mavazi,
Kama hujui unaweza mtia dole kweli.
Vipi mkuu pisi zipo huko zinatafunika?
Watu wanaingia na pigo gani?
Tumemteua wenyewe Dodoma lazima tumtetee akakae MaisaraInawezekana maana wamejaa tele 😏😏
Kiukweli ni pazuri na pa kipekee sana asikuambie mtu!Duh nikiskia huko zenji huwa nawaza kuwa ni sehemu ya kipekee sana.
Lafudhi kama hizo vyakula tofauti vyao,mavazi,
Kama hujui unaweza mtia dole kweli.
Vipi mkuu pisi zipo huko zinatafunika?
Watu wanaingia na pigo gani?
Hivi kwanini ni wabaguzi sana hawatupendi sisi ikiwa Dada zetu wanawatafuna?Pisi kuipata ni ngumu sana, ni Mara mia demu akatafunwe na mwenye wake watatu kuliko kukupa Wewe mtu wa bara
Nitafika one day vipi kuhusu sekta za serikali kuajiriwa inawezekana?Kiukweli ni pazuri na pa kipekee sana asikuambie mtu!
Kuhusu pisi sijui mkuu mimi ni KE ila kuhusu lafudhi na lugha yao kwa sisi wabara tulivyo na vichwa vibovu huwa tunaishia kushangaa na kucheka wanavyoongea vile maana sisi tunaona kama matusi kumbe wenzetu kule kwao hayo maneno ni ya kawaida tu!
Mabinti wanafundishwa wasimpe papa mjahidina!Hivi kwanini ni wabaguzi sana hawatupendi sisi ikiwa Dada zetu wanawatafuna?
Hao jamaa wamekaa kivyao vyao sana
Mjomba wangu huko alipoenda akarudi kabadili dini anaitwa alli
Kama hujui wallah dhakari inaweza simama kwa tayari kwa mashambulizi'…Niweke Tobo la pili…', maana yake akushushe kwny enntrace ya pili pale Michenzani unguja
Hadi uwe na kitambulisho cha mzanzibari mkaaziNtafika one day vipi kuhusu sekta za serikali kuajiriwa inawezekana?
Au nako ubaguzi mwingi?
Naskia tu huko vijana wengi hawafatilii shule kabisa
Unafuu wa maisha uko vipi?