Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,355
- 14,408
Wewe ni askari umeenda kwaajili ya mishe za uchaguzi?
Sent from my TECNO WX3 using JamiiForums mobile app
Sent from my TECNO WX3 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh kwahiyo sisi ni wajahidina?mabinti wanafundishwa wasimpe papa mjahidina!
Waulize Mchamba wima maana yake nini??Mgeni akifika Zanzibar, Watu wa huku ukiwatizama wanazuga kama hawana tyme nae!
Lakini lazima huwa wanamfuatilia nyuma nyuma kuona anaelekea wapi na ni mgeni wa nani!
Wakishajiridhisha mahala ulipofikia wakikuona tena!!
Utawasikia " Huyu si aishi pale kwa Ariiiiii!!" (Yaani mgeni wa Ally)
Wanawake huku Zanzibar waoga sana kusemeshwa njiani na mtu wa bara, yaani hata ukimsalimia anaitikia kwa sauti ya chini wala hasimami!
Huku Zanzibari;
Hakika huku Zanzibar ni tabu tupu nasubiri tarehe 30 nirudi zangu bara!
- Round about inaitwa (ikipinda) au (mviringo), kwenye daladala utasikia Shusha hapo ikipindaaah! Maana yake shusha round about
- Huku Zanzibar sufuria linaitwa dishi,
- Kisima cha maji kinaitwa kisima cha kuvuta
- Huku hakuna fundi bomba Bali kuna fundi mfereji, ukitaka maji ya bomba inabidi useme unaomba maji ya mferejini
- Pombe wanaita- moja moto moja baridi
- Ukitafta chupi utazunguka sana hupati hadi useme unatafta HAFU
- Shule huku zinaitwa skuli
- Ukitaka kununua chepe/koleo huku hawalijui hadi useme unataka Li-PAULO
Mkulungwa kupata papuchi kazi sana hadi upate mbara mwenzako!Duh kwahiyo sisi ni wajahidina?
Basi maisha yenu ni magumu sana huko
Inaonekana mnaishi kwa kufatiliwa sana yaani
Lakini si Luna wakulungwa waliokula hizo papuchi zao?
Una tabu shekhe hapo..Mkulungwa kupata papuchi kazi sana hadi upate mbara mwenzako!
Wanasema maeneo hayo yalikuwa na majani yenye miiba (mbigiri) enzi hizo kabla ya maji ya mfereji kuna, walikuwa wanachamba kwa kuburuza Makarios mchangani , sasa eneo hilo walishindwa kwasababu ya miba miba; Hivyo ikabidi wawe wanachamba wima kwa majani kama tissue! NDO PAKAZOELEKA MCHAMBA WIMA
What?!Si afadhali hata wangekuwa wanasema "shusha" sasa, wengi wanasema "tia"! Kuna sehemu inaitwa Dole konda akisema "Dole" anayeshuka hapo anasema "tia", au utasikia n'tie Dole hapo!
Yaani wale maneno mengi wanayoyaongea ukiyaleta kwa tafsiri ya bara unakuta ni Matusi
Lakini na wao wanashangaa eti majina ya baadhi ya mitaa ya bara ni mtihani!Una tabu shekhe hapo..
Vyakula vyao sana sana ni vipi?
Inaonekana bado wanaishi kiutamaduni kwanzia nyumba zao
OK!!!MKUU asante kwa ufafanuzi wakoWanasema maeneo hayo yalikuwa na majani yenye miiba (mbigiri) enzi hizo kabla ya maji ya mfereji kuna, walikuwa wanachamba kwa kuburuza Makarios mchangani , sasa eneo hilo walishindwa kwasababu ya miba miba; Hivyo ikabidi wawe wanachamba wima kwa majani kama tissue! NDO PAKAZOELEKA MCHAMBA WIMA
Huwa natamani aje Rais wa kusema Muungano basi. Kila mtu arudi na akae kwao. Tuone nani ataumia DadekiLakini na wao wanashangaa eti majina ya baadhi ya mitaa ya bara ni mtihani!
Mfano;
Bonyokwa, kigogo, kunduchi, charambe, Kinzudi n.k
Wanadai nayo ni matusi tupu
Ni ngumuHuwa natamani aje Rais wa kusema muungano basi.Kila mtu arudi na akae kwao.Tuone nani ataumia Dadeki
Karatasi wanaita NYANDANyanya zinaitwa tungule.
Video za X zinaitwa chonda.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Si afadhali hata wangekuwa wanasema "shusha" sasa, wengi wanasema "tia"! Kuna sehemu inaitwa Dole konda akisema "Dole" anayeshuka hapo anasema "tia", au utasikia n'tie Dole hapo!
Yaani wale maneno mengi wanayoyaongea ukiyaleta kwa tafsiri ya bara unakuta ni Matusi
Kwa kauli hii ya ntie dole nmeamini hakuna right and wrong lakini inategemeana na jamii husika ina define vipi jambo husika.Si afadhali hata wangekuwa wanasema "shusha" sasa, wengi wanasema "tia"! Kuna sehemu inaitwa Dole konda akisema "Dole" anayeshuka hapo anasema "tia", au utasikia n'tie Dole hapo!
Yaani wale maneno mengi wanayoyaongea ukiyaleta kwa tafsiri ya bara unakuta ni Matusi
Ukienda nishtue twende wote.La! La! La! La!
Nimepanga safari moja huko hata week 2 zitatosha.