Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naja bibie..😂[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Eti n'tie dole hapo.
Mbavu za mbwa zipo mkuu..😂Zile canter zimewekewa ma bench ndani bado zinasafrish abiria!!?
Kwenye tamthilia ya ISIDINGO Kuna actress alikuwa anaitwa "Mthombeni".Yes kwa nchi nyingi sana kuna maneno yanaingiliana ila tu yanakuwa na maana tofauti unakuta neno fulani kwa lugha fulani lina maana nzuri kwa lugha nyingine lina maana mbaya! Mfano South Africa neno "mkundu" (ashakum si matusi) ni jina la mtu na lina maana nzuri tu!
Maafisa vipenyo mmeshapiga kura au bado?
Hauvumi lakini umo[emoji23][emoji23][emoji23]Si afadhali hata wangekuwa wanasema "shusha" sasa, wengi wanasema "tia"! Kuna sehemu inaitwa Dole konda akisema "Dole" anayeshuka hapo anasema "tia", au utasikia n'tie Dole hapo!
Yaani wale maneno mengi wanayoyaongea ukiyaleta kwa tafsiri ya bara unakuta ni Matusi
Mbavu za mbwa zipo mkuu..[emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kazi kweli kweliK
Kwenye tamthilia ya ISIDINGO Kuna actress alikuwa anaitwa "Mthombeni".
Sasa shida Ni kwamba hiyo "tho" haitamkwi Kama ilivyoandikwa, inatamkwa "To"
Kule hakuna ni "Asalaam Alaykum" tu, ukitumia salamu kama "Shikamoo" au sijui "Za saa hizi" wanakujibu ila wanajua tu huyu mtu wa bara.Nafikiri Zanzibar salamu ya "shikamoo" hawaitumii
[emoji23][emoji23] [emoji85][emoji85]Hauvumi lakini umo[emoji23][emoji23][emoji23]
Daaah umenikumbusha mbali aisee, ila nimecheka Sana'a [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] shusha hapo ikipindaaMgeni akifika Zanzibar, Watu wa huku ukiwatizama wanazuga kama hawana tyme nae!
Lakini lazima huwa wanamfuatilia nyuma nyuma kuona anaelekea wapi na ni mgeni wa nani!
Wakishajiridhisha mahala ulipofikia wakikuona tena!!
Utawasikia " Huyu si aishi pale kwa Ariiiiii!!" (Yaani mgeni wa Ally)
Wanawake huku Zanzibar waoga sana kusemeshwa njiani na mtu wa bara, yaani hata ukimsalimia anaitikia kwa sauti ya chini wala hasimami!
Huku Zanzibari;
Hakika huku Zanzibar ni tabu tupu nasubiri tarehe 30 nirudi zangu bara!
- Round about inaitwa (ikipinda) au (mviringo), kwenye daladala utasikia Shusha hapo ikipindaaah! Maana yake shusha round about
- Huku Zanzibar sufuria linaitwa dishi,
- Kisima cha maji kinaitwa kisima cha kuvuta
- Huku hakuna fundi bomba Bali kuna fundi mfereji, ukitaka maji ya bomba inabidi useme unaomba maji ya mferejini
- Pombe wanaita- moja moto moja baridi
- Ukitafta chupi utazunguka sana hupati hadi useme unatafta HAFU
- Shule huku zinaitwa skuli
- Ukitaka kununua chepe/koleo huku hawalijui hadi useme unataka Li-PAULO