Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji12][emoji12]Si afadhali hata wangekuwa wanasema "shusha" sasa, wengi wanasema "tia"! Kuna sehemu inaitwa Dole konda akisema "Dole" anayeshuka hapo anasema "tia", au utasikia n'tie Dole hapo!
Yaani wale maneno mengi wanayoyaongea ukiyaleta kwa tafsiri ya bara unakuta ni Matusi
Kuna chupi na hafu na ni tofauti kwa hapa umeongopea.Huku hurambi bila usipoangalia unaweza rudi mkavu bara
Na wanaoita markiti labda watu/wazee wazamani.Sokoni waita markiti,
Zenji changudoa ni samaki tuMachangudoa wa Zanzibar huwa wanaililia balaa mboo ukiwa unawatomba
Unataka kusema hawapo ?Zenji changudoa ni samaki tu
Basi siku hizi safi, zamani gari za mizigo ndio ziliwekwa mabench kwa ajili ya kibeba abiria.!Lkn zinaenda kupungua mkuu Kuna mi kosta yakutosha.. hizo mbavu za mbwa zitakuwa za kubeba mizigo,lkn hata hivyo zile gari zipo njema sio mbavu za mbwa tu bali ziitwe roho ya paka.
Mtori mnaita UROJOSie nyanya huku twaita tungule. Soko twaita marikiti. Mpenzi twamwita babibi
Hizo fix sasa kakaMzee ananihadithia kuwa wazenji waliuana sana enzi za vita vya idd amin; unakuta wamejificha basi mwenzake akikohoa tu anaambiwa "webwana wataka twonekane tena wakohoa nini bwanaa?" Baada ya kusema hivyo anamshuti
Si afadhali hata wangekuwa wanasema "shusha" sasa, wengi wanasema "tia"! Kuna sehemu inaitwa Dole konda akisema "Dole" anayeshuka hapo anasema "tia", au utasikia n'tie Dole hapo!
Yaani wale maneno mengi wanayoyaongea ukiyaleta kwa tafsiri ya bara unakuta ni Matusi
Nyanya maji wanaita TUNGULE,Mgeni akifika Zanzibar, Watu wa huku ukiwatizama wanazuga kama hawana tyme nae!
Lakini lazima huwa wanamfuatilia nyuma nyuma kuona anaelekea wapi na ni mgeni wa nani!
Wakishajiridhisha mahala ulipofikia wakikuona tena!!
Utawasikia " Huyu si aishi pale kwa Ariiiiii!!" (Yaani mgeni wa Ally)
Wanawake huku Zanzibar waoga sana kusemeshwa njiani na mtu wa bara, yaani hata ukimsalimia anaitikia kwa sauti ya chini wala hasimami!
Huku Zanzibari;
Hakika huku Zanzibar ni tabu tupu nasubiri tarehe 30 nirudi zangu bara!
- Round about inaitwa (ikipinda) au (mviringo), kwenye daladala utasikia Shusha hapo ikipindaaah! Maana yake shusha round about
- Huku Zanzibar sufuria linaitwa dishi,
- Kisima cha maji kinaitwa kisima cha kuvuta
- Huku hakuna fundi bomba Bali kuna fundi mfereji, ukitaka maji ya bomba inabidi useme unaomba maji ya mferejini
- Pombe wanaita- moja moto moja baridi
- Ukitafta chupi utazunguka sana hupati hadi useme unatafta HAFU
- Shule huku zinaitwa skuli
- Ukitaka kununua chepe/koleo huku hawalijui hadi useme unataka Li-PAULO