Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wazee wa mama zakia panua paja mti wajaa
Chupi inaitwa chupi (mitaani itaitwa KUFULI)Mgeni akifika Zanzibar, Watu wa huku ukiwatizama wanazuga kama hawana tyme nae!
Lakini lazima huwa wanamfuatilia nyuma nyuma kuona anaelekea wapi na ni mgeni wa nani!
Wakishajiridhisha mahala ulipofikia wakikuona tena!!
Utawasikia " Huyu si aishi pale kwa Ariiiiii!!" (Yaani mgeni wa Ally)
Wanawake huku Zanzibar waoga sana kusemeshwa njiani na mtu wa bara, yaani hata ukimsalimia anaitikia kwa sauti ya chini wala hasimami!
Huku Zanzibari;
Hakika huku Zanzibar ni tabu tupu nasubiri tarehe 30 nirudi zangu bara!
- Round about inaitwa (ikipinda) au (mviringo), kwenye daladala utasikia Shusha hapo ikipindaaah! Maana yake shusha round about
- Huku Zanzibar sufuria linaitwa dishi,
- Kisima cha maji kinaitwa kisima cha kuvuta
- Huku hakuna fundi bomba Bali kuna fundi mfereji, ukitaka maji ya bomba inabidi useme unaomba maji ya mferejini
- Pombe wanaita- moja moto moja baridi
- Ukitafta chupi utazunguka sana hupati hadi useme unatafta HAFU
- Shule huku zinaitwa skuli
- Ukitaka kununua chepe/koleo huku hawalijui hadi useme unataka Li-PAULO
Nyanya zinaitwa tungule.
Video za X zinaitwa chonda.
Kule ni makunduchi wana lugha tofauti kabisa wazanzibar wengine huwezi elewa Kama c mmakunduchi
Daah zenji siyo daah nilihisi Kama sipo Tanzania wale watu sijui wametokea wapi au waarabu walikusanya watu kutoka mataifa mbalimbali ya afrika maana si kwa lafudhi ile.
Nilienda maeneo ya kusini mwa unguja huko daah.
Me nilishawahi mpata mmoja, pindi anavua nguo aliniambia, ehee usinichungulieePisi kuipata ni ngumu sana, ni Mara mia demu akatafunwe na mwenye wake watatu kuliko kukupa Wewe mtu wa bara
Actually ni KUFILIWA.Kufiwa = Kufiriwa
Si afadhali hata wangekuwa wanasema "shusha" sasa, wengi wanasema "tia"! Kuna sehemu inaitwa Dole konda akisema "Dole" anayeshuka hapo anasema "tia", au utasikia n'tie Dole hapo!
Yaani wale maneno mengi wanayoyaongea ukiyaleta kwa tafsiri ya bara unakuta ni Matusi
Most probably maana sidhani kama wana sababu nyingine ya msingi 😏😏
Yeah mwaka 1972ONGEENI YOOOTE ILA MSISAHAU KWAMBA ZENJI NDO NCHI YA KWANZA KUWA NA TELEVISHENI YA RANGI AFRICA NZIMA.
Uwongo!Si afadhali hata wangekuwa wanasema "shusha" sasa, wengi wanasema "tia"! Kuna sehemu inaitwa Dole konda akisema "Dole" anayeshuka hapo anasema "tia", au utasikia n'tie Dole hapo!
Yaani wale maneno mengi wanayoyaongea ukiyaleta kwa tafsiri ya bara unakuta ni Matusi
Neno li... znz.. nawatumiiKomeo wanaita li-chacha
Eti "Li-Paulo" [emoji23][emoji23]
Hii nchi ni pasua kichwa sana 🤨🤨🤨Inasikitisha na kuudhi sana kusema kweli. Wavifute tu vyama vya upinzani tujue moja tu kuliko haya maafa ya kutisha.
Lkn zinaenda kupungua mkuu Kuna mi kosta yakutosha.. hizo mbavu za mbwa zitakuwa za kubeba mizigo, lakini hata hivyo zile gari zipo njema sio mbavu za mbwa tu bali ziitwe roho ya paka.[emoji23][emoji23][emoji23] Zenji basi yaajabu sana akati huku daladal ni yutong wao canter mitsubish.!
Kipind hicho Dar es salaam walikua wanapenda kkuita "BONGO.!"
Wabongo watu wa ajabu sana, badala ya kuwashangaa Wasukuma na kiswahili chao cha ajabu ajabu(maana hata hawajui matumizi ya R na L) eti wanataka kusema Zanzibar hawajui kiwahili! Aguju!!! Kwa taarifa tu kule kiswahili ndio lugha mama. Kama mtu ataongea lugha nyingine basi hiyo ni yakujifunzaNeno li... znz.. nawatumii
na komeo inaitwa komeo ..li chacha...labda ni ki mrima hicho!