steveachi
JF-Expert Member
- Nov 7, 2011
- 10,643
- 12,247
😘😘Ha ha haaa eti chupi inaitwa Hafu. Hatari sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😘😘Ha ha haaa eti chupi inaitwa Hafu. Hatari sana
Kitimoto huwa wanaitaje?[emoji1782][emoji1782][emoji1782]Nyanya zinaitwa tungule.
Video za X zinaitwa chonda.
Bigi Bigi Hevi HeviKitimoto huwa wanaitaje?[emoji1782][emoji1782][emoji1782]
Kule maisha yana gharama kwa kiasi chake hasa mjini sehemu za kitalii na za kihistoria ila kwa shamba sidhani! Kuhusu ajira au biashara nadhani ni hadi uwe na kitambulisho!Ntafika one day vipi kuhusu sekta za serikali kuajiriwa inawezekana?
Au nako ubaguzi mwingi?
Naskia tu huko vijana wengi hawafatilii shule kabisa
Unafuu wa maisha uko vipi?
[emoji16][emoji16] we ulisikia wapi
[emoji23][emoji23] Ni vituko vitupu[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Eti n'tie dole hapo.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16] we ulisikia wapi
Lakini mbona kwao kwenyewe kuna mji unaitwa Makunduchi! Tena nasikia kiswahili wanachoongea wa kule Makunduchi ndiyo balaa bora hata cha wa huko mjini!Lakini na wao wanashangaa eti majina ya baadhi ya mitaa ya bara ni mtihani!
Mfano;
Bonyokwa, kigogo, kunduchi, charambe, Kinzudi n.k
Wanadai nayo ni matusi tupu
Yes kwa nchi nyingi sana kuna maneno yanaingiliana ila tu yanakuwa na maana tofauti unakuta neno fulani kwa lugha fulani lina maana nzuri kwa lugha nyingine lina maana mbaya! Mfano South Africa neno "mkundu" (ashakum si matusi) ni jina la mtu na lina maana nzuri tu!kwa kauli hii ya ntie dole nmeamini hakuna right and wrong lakn inategemeana na jamii husika ina define vp jambo husika.
Eti "wali harage"[emoji3][emoji3] hawa watu bhana na hiyo lafudhi yao sasa ni balaa.[emoji23][emoji23] ni vituko vitupu
Siku hiyo nilikuwa forodhani nauliza eti maeneo haya huwa wanapika vyakula kama wali au pilau! Yule dereva wa bodaboda aliyenipakia akaniambia huku sana sana wanapika bites na seafoods hasa mida ya jioni ila ukitaka vyakula kama wali harage (hapo kwenye harage nilicheka) au sembe (ugali wanaita sembe) labda utafute maeneo mengine!
Nikawaza kwani angesema tu wali maharage angekufa? Ukiwa mgeni kama haujawazoea unaweza hisi wanafanya makusudi!
[emoji23][emoji23] [emoji1787][emoji1787]Eti "wali harage"[emoji3][emoji3] hawa watu bhana na hiyo lafudhi yao sasa ni balaa.
Kufundisha wanasema kusomesha!
Utasikia "mwl Zuberi asomesha skuli gani"? Hapo anauliza mwl Zuberi anafundisha shule gani.
Yani we acha tu! Nilisikia eti aliyewahi kuwa Rais wa South Africa Thabo Mbeki ana mtoto wa kike anaitwa Sito Mbeki ila hiyo nahisi watu walizusha tu mitandaoni![emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] hatari sana.
Just imagine mtu anatoka huko anakuja bongo halafu jina lake ni "Mkundu Kumalo"[emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] [emoji1787][emoji1787]
Makazi (Nyumba) wanaita Makalio
Utasikia mafuriko yameharibu makalio ya watu zaidi ya 600
Kubisha wanaita Kudinda
Utasikia mie nilimuambia fanya hivi usifanye vile yeye akadinda
Majina ya maeneo sasa ndiyo utacheka uzimie sijui Mchamba wima mara Kibanda maiti! Kuna sehemu inaitwa sijui Banda la Karafuu kata ya Pita na Zako!